Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
How opinion polls get it all wrong UDSM LAW PROFESSOR DISMISSES LATEST REDET POLL AS UNRELIASTIC By ThisDay Reporter 12th October 2010 THE much-criticised opinion poll by the state-run...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kibosile wa TBC1 leo asubuhi alikuwa na wakati mgumu wa kutetea utafiti wao ambao alidai ni wa kitalaamu lakini alishindwa kujibu hoja za kimsingi kutoka kwa mwanahabarishaji wa TBC1 Bw. Gabriel...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Kikwete amefanya uamuzi wake, na Watanzania wafanye wa kwao! Fanya uamuzi wako wa busara
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nilibahatika kuwapa lift Askari wawili wa JWTZ waliokuwa wanatoka kazini huko Monduli. Kwa kuwa kuna joto la Uchaguzi Wajeshi hao walikuwa na interest sana kujua tutampigia kura nani kwa Urais...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Siku ya kuapishwa Dr Slaa nitakua Dar na DJ wa wimbo huu, vijana kwa wazee wataufurahia. http://www.youtube.com/watch?v=4FLhAlmePvI whoa oh whoa oh whoa oh whoa yeah whoa yeah whoa oh whoa oh...
0 Reactions
0 Replies
776 Views
Hii nimeiokota kutoka Michuzi: Tamko la TCRA kuhusu ujumbe wa simu unaowachafua baadhi ya wagombea wa Uraisi 2010 Mamlaka ya mawasiliano nchini Tanzania...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
KATIKA miezi ile ya mwanzo baada ya kuingia Ikulu, Rais Jakaya Kikwete aliwashangaza wengi alipoitangazia dunia kwamba haelewi ni kwa nini Tanzania ni masikini. Huo ukawa ndiyo mwanzo wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
tusimpe nafasi shetani ya kulimeza taifa lenye amani kwa udanganyifu wa sera zisizotekelezeka wanazotoa upinzani. pasipo kikwete na ccm taifa hatarini my take hii msg wamenitumia ccm kama nusu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna habari za kuaminika kuna watu mamluki wametumwa na Kamati ya Kinana ya CCM (Kampeni) kuwa wajiandikishe Jamii Forums na kazi yao ni kuipigia CCM tu ili kuhakikisha by 31st October Mzushi JK...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana jamii,nimewaza sana bila kupata jibu.Je watu wote wanaohudhuria kampeni za Urais wa SISIMU wanaenda kusikiliza na kufuta nini.Mi nadhani kwa mtu mwenye uelewa mzuri hana haja ya kusikiliza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimefuatilia kwa karibu timu ya propaganda ya chama cha chadema, magazeti wanayotumia,forum wanazotumia, ni kweli kwamba chadema wanao mtambo wa kutunga uongo. Staili ambayo Hitler yule dikteta wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau nawapatia picha yangu ya Souvenir ya Uchaguzi wetu was 2010. Nawatakia kila la heri mnapotumia haki yenu a kupiga 'kula'!
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Hivi nini hasa nchi hii inahitaji?Msije kuniambia siasa na uongozi maana woooooooooooooote wezi! Nimeuliza hili swali watu wengi sana ila sijapata jibu zaidi ya kuzunguka zunguka.Nimekuja hapa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kukubalika kwa CCM kuna sababu kuu tatu Chama kina sera nzuri Mgombea wake anakubalika na ana mvuto Kimuundo na historia ya kutetea wanyonge na kuleta maendeleo. Sera za CCM ni zile ambazo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
TABIRI WALIOMO NDANI YAKE! ccm ccm ccm
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kikao cha kamati kuu ya CCM kilifanyika siku ya jumapili hapo ikulu. Wana JF naomba mwenye fununu ya agenda zilizojadiliwa na yaliyojiri kwenye kikao hiki atujulishe.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
WanaJF mie ninapata mashaka kama kweli katika nchi yeyote nusu ya watu wake wakawa wamejiandikisha kupiga kura, maana tunaambiwa Watanzania tunakadiriwa kufikia milioni 40 huku vijana wakikadiriwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
JK kwenye kampeni zake leo Songea, kwa kujisahau au makusudi kwa kujua watanzania ni majuha, amezidi kutoa ahadi kwa mambo ambayo bunge limeshayapitisha. Leo anasema akiwa rais ataipandisha hadhi...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Siku kadhaa zilizopita nilibahatika kumsikia Waziri mwenye dhamana na Elimu ya juu, Prof. Maghembe akitamka kupitia vyombo vya habari. Miongoni mwa mambo aliyotamka ni pamoja na kuwa "wanafunzi wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WanaJF, ningependa kubainisha wazi kuwa nimekuwa mwanachama wa CCM lakini nimeamua kwa hiari yangu kabisa kutumia haki yangu ya kikatiba kumpigia kura Dr Slaa (Urais) na Bw Mnyika (Ubunge)...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom