Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mchakato wa kampeni za uchaguzi wa mwaka huu unaonyesha ccm na hasa kikwete imepata upinzani mkubwa sana ambao hawajawahi kuu-experience na wala hawakuutegemea, imekuwa 'surprise' nakuleta ' a...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa nini viongozi wa ngazi za juu serikali nyumba zao zipo sehemu fulani tu ? Je usingekuwa ubunifu wa kuwa karibu na wananchi kama kwa mfano serikali ikawa na nyumba mbili za watendaji sinza...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kulikuwa na tetesi kuwa Karatasi za kura katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu zinachapwa Uk, zina serial numbers kwa ajili ya control na haziwezi kuchezewa (kuchakachuliwa) lakini punde nimepata...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kama tukiendelea kutawaliwa (sio kuongozwa) na CCM, tunaelekea kuzimu kwani tukijashtuka hatuna madini tena (yote yamechukuliwa na "wawekezaji"), hatuna gesi tena, tumeua mbuga za wanyama (maana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jukwaa, Leo ndio siku mwenge ulitinga katika mji wa Bukoba. Moja ya miradi iliyoibuliwa na mwenge ni jengo la kibiashara la gorofa mbili linalomilikiwa na mfanya biashara ambaye ni mwenyeji...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Kigumu chama cha mapinduzi kushinda mwaka huu! VIGUMU! Kwa jinsi walivyokataa kuwawajibisha mafisadi na hata kuwakumbatia! NI NGUMU FIKRA ZA MWENYEKITI! NI NGUMU Kudhania kuwa familia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Gazeti moja la kila siku limeandika leo kuwa Mkapa amewashangaa Wazanzibari kukubali kuunda serekali ya mseto ya umoja wa kitaifa. Alikuwa anahojiwa na BBC. Binafsi nimeshangazwa na kauli ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
naam nimekutana na hii habari hebu tuisomeni kwa makini kisha tuanze kuichangia jee yapo ya kujifunza humu ? Mgogoro wa kikatiba Tanzania: Chanzo ni nini? Makala ya Kiongozi wa...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
hivi ndivyo tulivyomchoka jk
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NOW IT IS UP TO PRESIDENT KIKWETE TO FINISH WHAT HE STARTED MUHARRAM MACATTA We are troubled by people who...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mtazamo wangu: kizaza cha CCM cha kuanzia miaka ya 1960 ni kiovu na hakina uadilifu wa kuongoza. Hawa wanachochewa na baadhi ya vizee ambavyo vishakuwa vishenzi ktk nji hii kama Shimbo na Kingunge.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimehakikishiwa kuwa bendera za CCM sasa ni dili kwani baadhi ya madereva wa Daladala Arusha wanakunja shilingi elfu 10 kwa kukubali kupeperusha bendera za CCM kwenye Magari yao! Mgombea wa CCM...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani nimelazimika kuandika haya baada ya kufutlia ahadi za wagombea nyazifa mbalimbli katk uchaguzi ujao. Nilichogundua ni kua bado wananchi wengi wengi haswa wa maeneo ya vijijini hawajui nin...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Na tuweni wakweli? Katika wagombea URAIS bila kuangalia chama..ukiambiwa pigia kura "UADILIFU, HAKI na UZALENDO nani anastahili? Jibu lako nani apewe uongozi wa nchi? Mtanzania yeyote Mzalendo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mkapa, Malecela, Sumaye wamkimbia Kikwete Na Saed Kubenea - Imechapwa 29 September 2010 VIGOGO waastafu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali, wamekacha kampeni za mgombea urais...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wadau mnaotambua kwa undani katiba ya nchi na pia mnaoifahamu demokrasia ya vyama vingi naomba mnipe elimu kidogo.................nimefatilia kampeni za uchaguzi kwa makini sana haswa vyama vya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Siku ile ya tareh 5/5/2010 akiwa mbele ya wazee wa Dare s alaam JK huku akiwaita wafanyakazi mbayuwai, alitamba sana akisema. Namnukuu, “Mimi ndio mwajiri wa wafanyakazi wote hivyo atakaye goma...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tukapige kura tarehe 31 octoba sio maneno tukatumie demokrasia yetu vizuri tahnzania yenye neema tele inawezekana
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom