Ndugu,
Ndio kwanza narejea kutoka mkoani Kagera. Nimefika majimbo ya Nkenge, Bukoba Mjini, Bukoba Vijijini na Muleba Kaskazini. Watu nilioongea nao, wengi takribani 60% wameonyesha na kutamka wazi...
CCM imekodi HELIKOPTA TATU kutoka Nairobi, Kenya, ambazo zinatumika kwenye kampeni ya kutafuta Urais ya JK. Gharama za kukodisha helikopta hizo ni Dola za Kimarekani 5,000 kwa kila saa moja...
nilitegemea JK kampeni zake za kipindi hiki kuwa za utulivu zaidi ya zile za 2005 kwa sababu tayari ameshakuwa madarakani na ametekeleza yale aliyoahidi. kwamba hana sababu ya kuwa na hofu kwa...
Wakuu naona chadema na NCCR wanachuana kweli
they are both very intelligent, disciplined and well articulated to the province problems
Nimeipenda sana na naamini kwamba hili jimbo zuri...
*Slaa asema wanazo nyaraka za utafiti wao.
*Adai kuna mbinu za 'kuchakachua' matokeo.
Na Tumaini Makene
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeivaa kampuni utafiti ya Synovate...
Habari nilizozipata kutoka wilaya ya BUKOMBE, Shinyanga zinasema kuwa mkutano wa JK wa kampeni, uliofanyika leo hapo Bukombe umevyunjika baada ya wananchi kuanza kumzomea JK na mgombea ubunge...
Itakapofika October 31 mimi na familia yangu na jamaa zangu wa karibu hatutakua mmoja wa;
wale watakaopigia kura wala kuunga mkono chama kilekile kinachokumbatia ufisadi.
wale watakounga mkono...
Kikundi cha kigaidi cha Mafia kina njia moja ya kunyamazisha upinzani wowote ule uwe wa ndani au wa nje kwa kutoa kinachojulikana kama an offer one cannot refuse ! Kwa tafsiri nyepesi ni kuwa...
Huyu Dr Kawambwa anaPhD ni msomi mzuri kabisa, anaweza kuishi bila kunyenyekea na kujidhalilisha kiasi hiki! Amepigia magoti picha duu kazi hizi sintoweza zifanya!
Huyu dada naye nashindwa...
Kwanza kabisa Ukweli ni kwamba kura inapigwa kwa siri.
Watanzania wengi sasa wanajua upi Ukweli na upi uongo
Yaliotendwa na CCM yanajulikana (in black&white), hata hayakuhitaji Spika au Mabango...
In about 2 days Kinana anazungumza kwamba kama Chadema itatekeleza suala la elimu bure basi hiyo itakuwa sawa na 70% ya bajeti ya serikali as of now. Wakuu are we that poor? Au takwimu hizi...
Hivi mikutano ya CCM bila kuwa mwanachama au T-shirt, kofia au khanga ya kijani na njano hurusiwi kuhudhuria mikutano yao?? Nimefuatilia picha kibao humu ndani lakini tofauti na CHADEMA mikutano...
source - Habari Leo
Kikwete aahidi kutokomeza malaria kwa kuua mbu kila nyumba
Imeandikwa na Mgaya Kingoba, Musoma;
Tarehe: 26th September 2010
MKOA wa Mara utaanza kampeni ya kunyunyizia...
Ni jambo la wazi kuwa Kikwete anajaribu sana kuweka familia yake katika utawala wa nchi hii. Hili linaonekana wazi kwa jinzi Salma Kikwete amavyojitokeza kwa nguvu siku hizi kuongelea maswala ya...
Ridhiwani Kikwete akiwa na mwalimu aliyemsomesha darasa la kwanza 1987 katika Shule yaMsingi Matangini Mwl. Sophia Makong'o, alipomtembelea nyumbani kwake mjini Nachingwea. Kulia ni mtoto wa...
Yapo maneno mengi saana yanatamkwa na waomba na wanaowaombea Kura.
Mfano;
1. JK wakati yupo Iringa baadhi ya vyombo vya habari vilimkariri akisema; Chagua CHAMA na si mgombea. Wakati huu alikuwa...
Wapiga debe na hoja zisizojaa mkononi
Godfrey Dilunga Septemba 22, 2010 (Raia Mwema)
WILLIAM Penn Adair, maarufu kama Will Rogers, mwigizaji na mtunzi wa filamu wa Marekani wakati...
Ndugu zangu, jana ilikuwa siku yangu ya nne nikiwangalia JK katika mikutano yake ya hadhara "ya kampeni" lakini ukimsikiliza haongei kama mgombea bali Rais. Kwa mfano jana katika ITV alisema...
JAKAYA MRISHO KIKWETE
1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.
2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)
3.Mtu pekee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.