Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
someni hiyo makala then tushauriane, ni kwanini wagombea hawakuzungumzia hali hii tete ya usalama huko Hanang'? Je hao 'majangili' wamejitangazia jamhuri yao? kama ndio huu si uhaini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za UHAKIKA 100% zilizonifikia hivi punde ni kuwa Shehena nzito ya FULANA, PICHA ZA MUUNGWANA ZA SIZE TOFAUTI, MAGARI, KHANGA, NK vinamaliziwa kufanyiwa clearance na kampuni ya Whind Freight...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Slaa kufyeka wizara, kufuta ukuu wa Mkoa Slaa kufyeka wizara, kufuta ukuu wa Mkoa Imeandikwa na Halima Mlacha; Tarehe: 26th August 2010 MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
0 Reactions
72 Replies
7K Views
yuele mkurugenzi wa wilaya ya hai bwana mtega sasa yamemfika baada ya kutemwa rasmi wiki hii kwa maelekzo ya makamba na celina kombani! amehamishiwa makao makuu tamisemi bila shaka kumkomoa...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Na haya aliyasema "UCHAGUZI wa mwaka huu kuna watu wa ajabu ndani ya CCM ambao hawafanani na chama. Watu wengi wenye kasoro wamejiingiza na kukichafua chama. Sasa CCM kimekuwa kama kokoro...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ahoji Zanzibar kutofaidika na madini ya Bara Na Salum Vuai, Maelezo MGOMBEA ubunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika jimbo la Kigoma Mjini Zitto Kabwe, amesema iwapo atarudi...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa kiakili, tena asiye na utando wa buibui wala tongotongo za ufisadi...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Mpango wa kuchangia ni mzuri. Naomba Chadema iwe wazi kujulisha wapenzi wake kuwa imepata michango kiasi gani mpaka sasa na michango hiyo imesaidiaje kwenye kampeni zinazoendelea. Hilo linaweza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Joseph Lyimo, Simanjiro MGOMBEA wa urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa kuwa gumzo kwa wakazi wa Mkoa wa Manyara imezidi kuwapa maumivu makali...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Tume ya uchaguzi imeondoa taarifa kuhusu namna ya kupiga kura na kuhesabu kura kwenye mtandao wao www.nec.go.tz . Hii ni makusudi kuwanyima wanachi taarifa hizo kwani taarifa nyingine zipo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Bukoba mjini jana amewaijia juu wale wanaolalamikia kupanda kwa bei za vitu na kupanda kwa gharama za maisha katika miaka mitano. Akihutubia katika...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
alishawahi kutoa kauli kwamba watoto wa shule za kata wanapata mimba tokana na kiherehere chao,waungwana tukajua mtu mzima alipitiwa na kuchukulia kama bahati mbaya,jana tena kwenye kampeni zake...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
SERIKALI YA UMOJA ZANZIBAR KUDHOOFISHA UWAJIBIKAJI Hivi CUF na CCM watakapokaa mezani na kuongoza serikali ya Zanzibar ni nani atakagua utendaji serikalini kama kweli unamhudumia raia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ukifuatilia kwa undani kampeni za wagombea wa udiwani, ubunge na urais kupitia chama cha ma.....CCM utagundua yafuatayo: 1. Wanazungumzia barabara, umeme, kilimo, ajira, maji na amani na utulivu...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Pakua ujionee na kisha nakuomba mpelekee na mwenzio kwa njia ya barua pepe. Na ukiweza print A4 ubandike ukutani dukani, mtaani na popote waliko WADANGANYIKA. Salaamu zangu kwenu............
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jana 29/09/2010 James Mbatia, mgombea ubunge jimbo la Kawe kwa tiketi ya NCCR – Mageuzi alikuwa akifanya Mkutano wa kampeni Tegeta zaidi ya saa 12.00 jioni (12.31). Hivi James atawafaa kweli...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Makachero watumwa kumdhibiti Dk. Slaa Mwandishi Wetu Septemba 29, 2010 MGOMBEA Urais wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa ametangaza kuwapo kwa mkakati mahususi wa kulazimisha ushindi kwa mgombea wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimechoshwa na ubabaishaji wa wabunge waliopita na aliyepo wa CCM, Shekifu kawa mbunge kwa vipindi viwili lushoto lakini bado huduma kwa jamii kama maji, shule, zahanati na barabara sio nzuri na...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Nyerere anakumbukwa kwa mengi katika historia ya Tanzania, lakini kubwa linalomtofautisha na maraisi wenzie ni kuwa aliondoka madarakani wakati angeliweza kuendelea, ukimwacha Abdul Wakil wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi kwa nchi maskini kama yetu tunapata wapi ujasiri wa kutuma fedha nyingi kiasi hiki kwa ajili ya matangazo makubwa (na mengi), bendera na tshirt nyingi kiasi hiki??inatia huzuni sana ukienda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom