Kutokea kuanza kwa Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2010, mgombea urais wa CCM Mhe Jakaya Kikwete na wapiga debe wake wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kukwepa hoja zinazosababisha umaskini wa...
'' Vi 'Inzi" Vilivyotangulia mitaa ya obwere ka bwana Shirati Rorya Ngome ya Mwasisi wa Mageuzi Nchini Hon Learned Mabere Nyaucho Marando (Juock Ping) vinadokeza kuwa Wananchi wa Shirati...
CCM sasa ni ya matajiri, maskini wakafie mbele!
Wengi wakimbilia Ubunge, Udiwani kuficha maovu yao
Agizo la kutenganisha biashara na siasa lawekwa kapuni
Na Daniel Mbega...
Ilani ya CCM yadanganya
Ilami ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2010 imesheheni takwimu zinazoikinzana, imegundulika.
Katika ilani hiyo, ambayo anatumia mgombea Jakaya Mrisho...
Katika pita pita yangu sijaona matangazo wala picha za Mgombea urais wa CHADEMA na Wabunge wa Chadema kwenye Bango lolote!!! Si mijini wala vijijini.
Chadema imekuwaje kwani, maana watu wa...
Kuna taarifa kuwa Synovate wapo njiani kutoa matokeo ya maoni ya watanzania kuhusiana na uchaguzi 2010.
Wasiwasi wangu ni kuwa bado watatumia sampuli ya watu 1,000 - 2,000 ambapo huenda wasipate...
Wadau, kuna yeyote ambaye anaweza kupata ratiba za Wagombea Urais- Dk. Slaa. Prof Lipumba na Kiwete?
Mtubandikie hapa ili tuweze kujua lina wagombea hao watatembelea mikoa yetu twende...
Serikali ya kijiji CCM yahamia Chadema
Na Anceth Nyahore
15th September 2010
Yumo Mwenyekiti na wajumbe wake sita
Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Mwabagimu, Kata ya...
nduzu zanguni kwani watanzania wote ni ccm?ukipitita barabara ya sam nujoma utakuta watu wanaweka bango katikati ya barabara,mi nauliza hizo sehemu kweli ni kwaajili ya mabango au ndio ccm...
Kutoa maagizo kwa mkuu wa mkoa wa Mara, Mafuru, awaambie wana usalama wampeleke yule mjane ikulu ndogo ili amweleze shida zake ni sahihi kweli? Kwa nini asitoe maagizo kwa mwenyekiti wa UWT? Hivi...
Jamani nimesoma kwenye magazeti kuwa wabunge waliomaliza muda wao bado wanapokea mishahara na posho zao kama kawaida wakati bunge limeshavunjwa. Hii imekaaje si ufujaji wa mali ya umma.
Itakuwaje Dr Slaa asipochaguliwa kuwa rais? Agombee uspika? ili kuendelea kutetea wanyonge bungeni? Aelekeze nguvu kwenye chama ili ifikikapo 2015 Chadema kiwe imara zaidi?
Najiuliza tu nini...
HII KWANGU NI AJABU!
nilichoona cha ajabu jana kwenye taarifa za habari itv,star tv na tbc1 ni kuwa.................tbc1 ilionesha kuwa mkutano wa chadema kulikuwa watu wachache saaan wakati itv...
Naomba nieleze kwa ufupi mambo muhimu yafuatayo, ambayo kama taifa inabidi tuwe serious nayo,kipindi hiki si cha mzaha kama baadhi ya watu wanavyodhani; Dr. Slaa ameeleza vizuri sana kuhusu ahadi...
Hivi NEC na Tendwa mko wapi? JK amekuwa anagawa pesa huko Tunduma kwa wapiga kura kwa kisingizio cha kusaidia walemavu, je huku sio kununua kura za hao walemavu? Sheria ya gharama za uchaguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.