Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Awali katika uchunguzi huo wa kina wa waandishi wetu ambao walifanikiwa kumkuta Mahimbo akiwa amejificha juu ya ghorofa, nyumbani kwa kigogo mmoja wa serikali hapa jijini Dar es Salaam...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hii hapa imeripotiwa na IPP kutoka Musoma jana. “Tangold ambayo tulielezwa ni ya serikali ilisajiliwa Mauritius na mmoja wa wanahisa ni Andrew Chenge, lakini tunaambiwa mwenye hisa anaweza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ukifuga mbwa akiuma watu njiani unashtakiwa wewe mfugaji. Sasa ukichagua viongozi wabovu, wezi na wasiojali umma wa watanzania kama inavyoonyesha, utakuwa umeshiriki moja kwa moja kuharibu nchi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Japo mie mgeni Kunako jamvini Si wa fikra asilani Hilo nataka mbaini Enyi wana wa nchi Nchi yenu i uchi Mabedui wanaisachi Toka enzi i bichi Wameishika pabaya Waichezea ka' malaya Mwasikia enyi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mkutano wa Bilal wakosa watu, Magari yakodishwa kuuokoa Fukuto la kura za maoni lingali linachemka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiasi cha kuathiri mahudhurio ya wanachama kwenye mkutano wa...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
Hivi mwandishi gani wa TBC yuko kwenye msafara wa Dr SLAA,? maana, lipumba ameambatana na NOELI MWAKALINDILE, Kikwete amepewa pia mwandishi.Naombeni msada wenu .
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Hata baada ya tuhuma lukuki za rushwa na ubadhilifu, familia ya mwanasiasa wa kinyantuzu, Andrew Chenge, imezidi kujiimalisha kisiasa baada ya mkewe kupitishwa na chama chake kuwania ubunge viti...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Tanzania and Malawi are neighbours whose borders were artificially drawn up by colonial masters as they shared among themselves Africa’s main resource - the land - like a wedding cake. Had it not...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
1. Dr. Slaa na CHADEMA wanaunga mkono ushiriki wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye EAC; ushiriki ambao ni kinyume na katiba. 2. Dr. Slaa na CHADEMA wanaunga mkono ushiriki wa Jamhuri ya...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
huyu jamaa ni noma wazee, kafanya interview moja bomba sana,ni sawa na ile aliyoifanya DK SLAA wiki mbili zilizopita na george kanuti njogopa wa claus ingawa sikuwahi kuirekodi lakini ya huyu...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Ruling party playing 'dirty' ahead of polls - Chadem Jakaya Kikwete on the campaign trail. Picture by Leonard Magamba Monday, September 13 2010 at 17:36...
0 Reactions
4 Replies
933 Views
Hivi imetokea sasa kwamba CHADEMA hiyoo imechukua nchi,hivi vyombo vya habari hasa vya serikali TBC,Habari leo vitajificha wapi? maana waliyekuwa wakimponda na kumrushia vijembe ndio amekuwa bosi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, Nilikua nawaza sana kuhusu midahalo ya Urais kabla ya uchaguzi mkuu. Pamoja na kwamba SISIMU imekataa mdahalo kwa nini tusiwe na mdahalo wa vyama vingine vilivyobaki? Mdahalo live uandaliwe...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mgombea Mweza CCM, Dk. Mohammed Gharib Bilal Fukuto la kura za maoni lingali linachemka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiasi cha kuathiri mahudhurio ya wanachama kwenye mkutano wa kampeni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
UME ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imeitaka CCM) kung’oa mabango ya picha za mgombea wake wa urais, Jakaya Kikwete zilizopigwa kwenye maeneo ya Ikulu. Mwenyekiti wa Nec, Jaji Lewis Makame...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
With all due respect, Mr Seif Sharif Hamad, tell us the truth on: "We have a lot of Zanzibaris in the Diaspora. If CUF wins this election we are going to put them into use and help the country...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dr SLAA, yes we can, huyu ni mtanzania wa pili kwa nyerere kuchukia ufisadi kwa vitendo, ni mtanzania wa pili kuchukia umaskini wa watanzania kwa vitendo, ni Dr. Slaa aliesimama mnazi mmoja kutaja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii ni mara ya pili Mama Salma Kikwete anaingilia mikutano(msafara) wa mgombea urais wa Chadema Dr. Slaa. Mara ya kwanza ni wakati ratiba ya mikutano ya Slaa ilikuwa inaonyesha angekuwa Mbulu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mgombea wa ubunge kupitia CCM njombe kaskazini Jah people ambaye elimu yake ya ni darasa la PILI SIYO LA SABA kama yeye alivyo jinadi amewakera wabena wa njombe na hivyo kudiriki kusema kura zao...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom