Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wakuu si ushabiki ila nasema ki ukweli kabisa for the first time katika uchaguzi huu tunaona CCM - Ikiweweseka, juzi na jana nilikuwa Arusha nimezunguka sana mjini, talk of the town ilikuwa CCM...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Wadau samahani kuiweka hapa, Mods please iondoe after 1 day ili tupate na kama ipo same mada, please iunganisheni.. ..Tumekuwa tunawasiliana na ndugu na jamaa zetu waliopo nje ya TZ kwa sms, lkn...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tulisikia kuwa wakati wa utawala wa mkapa,hakuna aliyenyongwa.je kuna mwenye kujua kama kikwete kanyonga au lah? Na vipi vifo kama cha yule trafic suzana wa musoma!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Haya majimbo vipi, naona kimya sana jamani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimeangalia leo ITV baada ya taarifa ya habari Dr Slaa alikuwa kiongea, ghafla alipoanza kuzungumzia ufisadi, akakktishwa na baada ya matangazo wakaweka kipindi cha igizo! kweli huyu shujaa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimejiuliza leo, ni nani na NAMNA gani wahusika wanachagua sehemu ya kufanyia Swala ya EID? Nakumbuka Kinana aliwahi kusema Mgombea uraisi wao atarudi Dar kwa ajili ya mapumziko na kushiriki Eid...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Bongo... bado uko vile ??? ...maendeleo yahitaji wataalam, si wanandugu... big ups mamaland
0 Reactions
0 Replies
997 Views
wakuu habari za Sikukuu?jamani nimekaa nikafikiria kuna sababu kubwa sana ndani ya SiSi Njemu kukataa Debate kwa Mkulu wao na hii ni shinikizo la makamba(The Fataki),Kikwete alianguka Jangwani...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
TBC: We will continue with TV debates Thursday, 09 September 2010 23:29 By...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa niaba yangu binafsi, mgombea mwenza, timu nzima ya uongozi wa Chadema na Chama chetu tunawatakia heri ya Siku Kuu ya Eid El Fitr ndugu zetu Waislamu pote Tanzania wanaposherehekea kumalizika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ningependa kufahamu kipindi kama hiki cha uchaguzi mkuu serikali inakuwa wapi na majukumu ya rais ni yapi na mipaka yake ni ipi. Nadhani wengi tungependa kufahamu hili. Nimeuliza hivi maana leo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
dalili hizi ni tosha kuwa chadema sasa imeshakamata nchi dalili ya kwanza ratiba ya kampeni ya ccm imebadilishwa ambapo mgombea urais sasa hatapumzika dalili ya pil ccm wameshaonesha...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Only time will tell.(lakuvunda halina Ubani)
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ninapenda kuongea na mashabiki wa CCM. Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana hasa ni nini CCM INACHOTAFUTA? Nimefahamu na kugundua kuwa CCM inachotafuta ni ulaji tu na sio kweli kuwaletea...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Niko Bongo kwa muda, nimejaribu kuzunguka maeneo ya Mjini,Upanga, Mchafukoge,Kariakoo...n.k.Nimekutana na mabango makubwa ya ccm yenye wagombea wa udiwani na baadhi ya Wabunge yote yana picha za...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
"...NENDENI KWA WAKUBWA WENZENU, ACHENI WASICHANA WASOME" JAKAYA KIKWETE/CCM 09/09/2010 1 Comment(s) Jakaya Mrisho Kikwete /CCM akihutumia Muheza, Tanga Mgombea urais kwa tiketi ya CCM...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jana mitaa ya huku kwetu Mabibo kulikuwa na mkutano wa kampeni za uchaguzi wa udiwani na ubunge ilifanyika hapa kigogo-luanga kwa biti kahenga,kiukweli kabla ya muh. Julius Mtatiro kuingia,yule...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
KIJANA Mohammed Ali Mohammed amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na mmoja wa walinzi wanaolinda nyumba ya makamu wa rais Dk Ali Mohammed Shein Maisara Mjini Unguja. Mtu ambaye anatuhumiwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Hii nimeiona Michuzi blog: Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, ambaye pia ni Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Jakaya Kikwete, ameendelea kuvua wafuasi toka vyama shindani katika mikutano ya...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Umewahi kuwasikia hawa, labda tungekuwa na sampuli kama za hawa nchi yetu ingekuwa tofauti Fred Rwigyema Alex Kanyerengwe Sir Agathon Rwasa Pasteur Bizimungu Faustin Twagiramungu Jean-Bosco...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom