Najua tupo 2010 na hata uchaguzi wa mwaka huu hauja isha. Najua bado watu wapo katika hali ya furaha na matumaini mapya kusikia Mh. Slaa ana gombea uraisi. Najua wengi wetu tuna tamani muda uwe...
Muda mfupi nimetoka kwenye mkutano wa Dr. peter W. Slaa hapa Iringa. Kaongea mengi sana. Lililonigusa ni sana ni hilo neno '' yeye kasema hataki kura zenu, mimi nazitaka'' Sijui nyinyi mnasemaje?
Wadau mimi natamani makombati ya CHADEMA hasa wakati huu wa mapambano. Je, wanaweza shona na kuniuzia? Wana-CHADEMA tafadhalini shoneni mengi watu tutinge vitani...kumbuka yanaamsha morali ya...
Na Makumba Mwemezi - Majira
RAIS Jakaya Kikwete amewekewa pingamizi kortini kugombea urais mwaka huu kwa madai ya matumizi mabaya ya madaraka na ufujaji wa fedha za umma katika safari zake za...
Written by GODFREY KAMBENGA
Wednesday, 4 August 2010
The Tanzanian government will spend over US$66.67 million to conduct the forthcoming national population census scheduled for August...
Kura zimejitokeza 1,000 eneo la msitu wa Mabwepande.
Wanachama wa CCM wakiwepo baadhi wa wagombea wamepanga kuandamana leo baada ys kura karivia 1,000 kujitokezaeneo la msituni wa Mabwepande...
Nilizaliwa kabla Tanganyika haijapata uhuru.
Nilikuwa na akili zangu na kutambua vizuri siku Tanzania ilipopata uhuru.
Niliouona muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Niliona kuanzishwa kwa...
Hawa watu wana mizaha sana, lakini kwanini hotuba za Kikwete hazina nguvu wala msisimko kama zile za Mwalimu?
Hata kiutendaji Nyerere alimzidi sana Kikwete.
Je kulikoni kwenye kambi ya Kikwete?
Si wabunge wote nawaongelea hapa, Mbunge kama Sleeliii, Kimaro na wengine, natamani wajiunge na kambi ya Dr.slaa. kwanini wasikaribishwe?...na, nimefurahi sana kwa malecela na bakari mwampachu...
Nimeguswa sana na mwanasiasa huyu jinsi ambavyo anahangaikia maslahi ya wana wa nchi hii. Hivi ndugu Mtikila ni wa wapi kwa maana ya mkoa wilaya, kipindi fulani nilisikia anatokea Ludewa ni kweli...
A South African court has sentenced former national police commissioner Jackie Selebi to 15 years in jail for corruption.
Selebi, a former president of Interpol, was convicted in July of...
Je hatuoni umuhimu wa Kuwa na ThinkTank za aina mbalimbali nchini kote, au katika kila fani ya maisha yetu?
ThinkTank hizo zingeweza kuiamusha au kuishtua serikali yoyote iliyoko madarakani, kama...
Hongereni sana kwa kazi kubwa mnayofanya ya kuikomboa nchi yetu.
Kama Mtanzania naomba, PAMOJA NA MAMBO MENGINE, mniruhusu kupendekeza yafuatayo ili yawasaidie katika kutimiza ndoto ya kushinda...
HABARI TOKA JIMBO LA MTERA LINASEMA MGOMBEA LIVINGSTONE LUSINDE AMEMSHINDA MH. JOHN SAMWEL MALECELA KATIKA KURA ZA MAONI NA ANATEGEMEA KUWA NDIYE ATAYEPITISHWA KUGOMBEA UBUNGE KWA TIKETI YA CCM...
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Capt. George Huruma Mkuchika, amepita katika kura za maoni
-------
Naibu Katibu Mkuu wa...
Ndiyo, nimeshinda kwenye kura za maoni tena nimewaacha mbali sana wapinzani wangu. Sina shaka na kupitishwa na chama kwani sikupata tuhuma zozote zinazothibitika za rushwa ama nyinginezo...
Mungu ibariki Afrika
1.
Mungu ibariki Africa
Wabariki Viongozi wake
Hekima Umoja na Amani
Hizi ni ngao zetu
Afrika na watu wake.
Chorus:
Ibariki Afrika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.