kwa tathmini nyepesi ya yanayojiri kichwani mwa mh. augustine mrema ambaye ni mwenyekiti wa TLP, mnadhani ya urais wa JMT atampigia nani mwaka huu, JK (CCM), DR slaa (CHADEMA) au mutamwega...
Kikwazo kikubwa cha kuleta mabadiliko ya kweli nchi hii ni wasomi na wakaazi wa maeneo ya mjini. Nimesoma kwenye threads nyingi hapa, watu wengi wenye mashaka kuwa DR Slaa hatapita ni watu ambao...
Na Mwandishi Wetu, Mbeya
Baadhi ya waumini wa makanisa mbalimbali mkoani hapa, wako katika kilio kufuatia kitendo cha mgombea Ubunge wa CHADEMA aliyerudisha fomu, George Mtasha (50) kudakwa na...
Wakuu,
Leo nachukua fursa hii kutangaza rasmi kwamba nimechoka kuwa vuvuzela na badala yake naingia ulingoni kugombea udiwani katika kata moja ya huko Kwetu kwa tiketi ya Chadema.
Hivi...
RAIS Jakaya Kikwete ameushangaza umma wa Watanzania baada ya kuanza kukiuka misingi iliyokiunda Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya kuwaheshimu Wakulima na Wafanyakazi pale alipokutana na wazee wa MSkoa...
Katika hatua nyingine, wagombea wawili wa udiwani walizimia kwa nyakati tofauti baada ya kusomewa matokeo ya kura zilizopigwa, huku yakionyesha wao hawakupata kura hata moja licha ya kujipigia...
wadau mimi nipo kahama na ni mwanajamii sasa nataka kupata uhakika hili jimbo analogombea lembeli lipo au wamemfanyia usanii wamtosee? hebu wenye taarifa na sio tetesi watuweke wazi maana haya...
Katika hali kushangaza mtangazaji wa TBC1 Marine Hassan Marine wakati anamalizia kipindi chake cha jambo leo asubuhi ametangaza kuwa Kikwete ndio mshindi wa urais na Dr. Slaa na Prof. Lipumba...
WanaJF naomba mnijuze...
Asubuhi ya leo nilimsikia Mnyika akisema kuwa mchakato wa kumpata mgombea ubunge Rombo umekamilika na ulikuwa mkali sana. Nani kashinda?
HOTUBA YA MWENYEKITI WA KAMATI YA TAIFA YA BARAZA LA VIJANA WA CHADEMA
(BAVICHA) JOHN MNYIKA AKIFUNGUA MKUTANO WA WAWAKILISHI WA WANAVYUO VIKUU VYA
MKOA WA DAR ES SALAAM KATIKA VIWANJA VYA...
Jamani mbona sijamskia Wilfed Lwakatare kama amechukuwa fomu? na anagombea jimbo gani? kile kifaa mbona kiko kimya namna hii? Huko Kagera ina maana Chadema haina mikakati ya kuzoa majimbo?
Wana JF mimi Binafsi nimefurahishwa sana na suala la CHADEMA Kumteua Dr. wetu achuane na "mbayuwayu" katika uchaguzi mkuu mwaka huu. Nimefurahishwa kwa sababu atatoa changamoto na kama siyo...
Kuna tetesi kuwa Shigongo (wa Global Publishers) na Meya Kimbisa wamechukua form kutafuta nafasi za ubunge.
Shigongo inasemekana anakwenda jimbo la Buchosa na Meya Kimbisa anaenda Jimbo la...
kwenye uchambuzi wa magazeti wa radio mbalimbali leo tumepata kusikia ya kwamba mkurugenzi wa uchaguzi rajabu kiravu amekanusha uwepo wa jimbo jipya la ushetu.
siku za karibuni imepata kusemwa...
Nimekuwa nikifuatilia vyombo vya habari muda mrefu na watu mbalimbali wakilaumu kwamba watendaji wa JK wanamwangusha na hawaendani na "kasi yake". Ninashindwa kujua nini maana ya kasi hii kwa...
MKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Rajab Kiravu amesema hana taarifa za tume hiyo kutangaza jimbo jipya la uchaguzi la Ushetu mkoani Shinyanga.
Kiravu alisema hayo wakati...
Gwynne Dyer
MONKEY see, monkey do. Soon after Frances National Assembly passed a law making it illegal to wear a full-face veil in public, British MP Philip Hollobone announced a private...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.