The CCM and their politicking would determine what would happen and
who becomes what, they have their own basis of choosing who flies
their flag but Tanzania is bigger than the CCM and options...
Kwa tabia yake ya kutostushwa na jambo lolote hata liwe baya kiasi gani, Kikwete ameonyesha ni bonge la Amiri Jeshi Mkuu. Kwa kutumia nguvu nyingi kuhalalisha mishahara "kiduchu" kwa wafanyakazi...
Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro anaetoka Maeneo ya Turiani Bw Marcussy Mgweno (pichani) Ametangaza nia ya kuomba ridhaa ya wananchio wa Jimbo la Uchaguzi...
WanaJF Naomba ushauri
Nimepitia budget ya 2010/11 nimeona hakuna jipya ndo mana nikajiuliza hivi kwanini serikali haitumii Think Tank kama wataramu wetu wa vyuo??
Tatizo la Serikali yetu...
Chama cha Jamii kikiendelea kuonesha dhamiri yake ya kutokukubali kusukumwa pembeni kimetangaza jana baadhi tu ya ajenda zake ambazo ndio kiini cha kuwekewa mizengwe ya kupata usajili wa kudumu...
Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Kabwe Zitto ambaye amekitupia lawama Chama Cha Mapinduzi kwa kushindwa kupunguza umaskini nchini
Exuper Kachenje, Dodoma na Leon Bahati
MBUNGE wa Kigoma...
Haya ni baadhi tu ya orodha ya majaribio ambayo binafsi nayaona yanaweza kumfanya JK akose raha hata kama atakuwa bado ana kiburi cha kuendelea na awamu nyingine ya Uongozi.
Mikopo kwa...
Miaka yote tz tunajua wakati kama huu waganga wa kienyeji ndio wanatajirika kwa pesa toka wa wanasiasa....hivi ni lini tutafuta kabisa huu upupu unatuchafulia sifa taifa letu?....jamani mimi hata...
Takribani mwezi mmoja uliopita kulikuwa na tangazo kwenye blogs na hapa JF kwamba kuna dada yetu mmoja alipotea na akawa anatafutwa na ndugu zake.
Taarifa iliyotolewa kwenye local TV stations za...
Exuper Kachenje, Dodoma
KAULI ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe kuwa uanzishwaji wa Chuo Kikuu cha Dodoma haumo katika Ilani ya CCM na kuwa chama hicho kimeshindwa kufikia hata nusu ya...
Safari za kwenda Marekani za Rais.
XP: Watazamaji wa Television ya luninga, leo tena tunawaletea mahojiano yasio rasmi ya viongozi wetu vijana, yaliofanyika Ikulu nyeupe kule kwa bwana...
Mh!waziri wa wizara ya mambo ya ndani, Mr. Masha amesema "Sijui idadi ya magereza off my head", leo at 07:47 katika 'Power Breakfast' kipindi cha asubuhi cha Clouds FM.
Waziri ameulizwa Tanzania...
Katika Kipindi cha Maswali na ya papo kwa papo leo kwa Waziri Mkuu, Mbunge wa Tarime. Mhe. Charles Mwera, ameuliza swali kuhusu vitendo vya udhalilishaji, unyanyasaji na uvunjaji mkubwa wa haki za...
Wanabodi,
Nimekuwa nikifuatilia kipindi cha maswali na majibu ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu Pinda Bungeni leo asubuhi.
Kumeulizwa jumla ya maswali 5 tuu badala ya 10, na yote ni kutoka...
MWENZENU TAFSIRI YA HUU WIMBO JAMBO ULIKUWA UNALENGA AMANI LAKINI ULILKUWA NA MAANA ZAIDI YA HAPO HASA MAMBO YALIVYO SASA, VILIO VYA WATANZANIA VIMEJIDHIHIRISHA KWENYE MENGI NA KUKUMBUKA UTAWALA...
Nimeamka na mlio wa ka'nzi' kunidokeza kuwa kuna mkutano wa Wakurugenzi wote wa Wilaya nchini huko CCP - Moshi. Wakurugenzi wa wilaya wana nafasi ya pekee katika uchaguzi. Ka "nzi" kameuliza tu...
Nilijiuliza sana, inakuwaje mkuu aliyetajwa kuandaa mazingira ya Kagoda apewe ukurugenzi TIB?
Ninajiuliza hizi fedha TZS 100 billion anazopewa anawezaje kuzisimamia kwa ukamilifu ukiondoa...
Kampuni ya Zongh Tong imechukua eneo la iliyokuwa TAMCO (nadhani Tanzania Motors Company). Hii kampuni ya Zongh Tong wanatengeneza mabasi ya abiria na kuuza. Nadhani wengi mtakuwa mmeona matangazo...
Kuh: Nyerere na Misingi ya Taifa
Taifa imara linajengwa juu ya misingi imara, siyo juu ya nusu ukweli na nusu uongo. Picha ya Nyerere tuliyolelewa nayo ni ya upande mmoja tu, yaani kiongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.