Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

BAADA ya Mbunge wa Karatu (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa kuibana serikali kuhusu vipengele vilivyoongezwa kinyemela katika muswada uliosaniwa na Rais Jakaya Kikwete kwa mbwembwe wiki iliyopita...
0 Reactions
102 Replies
10K Views
Wadau, Serikali ipo katika mchakato wa kuandika MKUKUTA na karibuni rasimu itatotlewa kwajili ya kupokea maoni ya wadau. Nimeambatanisha rasimu ya kwanza inayoonyesha maeneo ya kipaumbele...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hakika hakika ni lazima tuwe na tahadhari kubwa kama si angalizo .Wiki iliyopita mgogoro wa ardhi kati ya Jeshi la kujenga Taifa na wananchi umezuka hapa wilayani, maswali ya kujiuliza Hawa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
FAMILIA ya aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Daniel Yona, iko katika mvutano unaomhusisha aliyekuwa Balozi wa Marekani nchini, Mchungaji Charles Stith. Katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zanguni habari nzito na ushahidi zinaonyesha jinsi gani CCM na Seeikali za Mitaa yaani Tamisemi wanavyo weka mbinu za wizi wa kura katika uchaguzi mkuu .Madiwani wote na watumishi wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Watabiri wengine mnasemaje? Mwenzetu kwa kutabiri ujinga ujinga, anapata kila aina ya misaada toka kwa viongozi wetu.
0 Reactions
59 Replies
6K Views
SISI wakazi wa Dar na vitongoji vyake tunajua leo wenye daladala wameamua kufanya unyama wao na kuonyesha kukosa utu na ubinadamu wao. Tunaikubali shida hii ya leo, na tunawapa moyo SUMATRA kuwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
baada ya kukaa ng'ambo kwa mda mrefu nimerudi na kukuta zoezi la kuandikisha kupiga kura na leo ndio siku ya mwisho. nimekwenda kituoni kwa nia ya kujiandikisha lakini watu ni wengi sana. mpaka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwanza inabidi niweke wazi kuwa nimeweka jina la Dkt Slaa kwenye kichwa cha habari kwa vile ni mwana-JF mwenzetu na anatembelea hapa mara kwa mara.Otherwise,dukuduku langu linaihusu Chadema kwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Katika hali isiyo ya kawaida kwa viongozi wa juu nchini kuonekana katika kumbi za starehe tena katika sare sambamba na waimbaji wa bendi, Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Profesa Juma...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Kabwe, juzi alikuwa miongoni mwa abiria walionusurika kupigwa baada ya wananchi katika eneo la Kabuku...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu wana JF, Tafadhali naomba kufahamishwa: - - Tanzania tuna majimbo mangapi ya uchaguzi?, majimbo mangapi yako chini ya chama tawala na mangapi yako chini ya upinzani?.
0 Reactions
8 Replies
7K Views
MAPINDUZI YA FIKRA!! Ni muda sasa tangia kadhia ile ya refa alipoamua kukwatua! Na mi kwa sababu moja ama nyingine nikaamua kujikalia kando na kuwa msomaji tu wa kawaida. Lakini hali hile...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari za siku nyingi ndugu wanaJF Nimefanya safari nyingi sana ndani ya jimbo langu la uchaguzi ninalodhamiria kugombea na paoja na mambo mengine nilitangaza rasmi dhamira yangu hiyo. katika...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Baadhi ya wagonjwa wakiwa wamelala chini katika hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wodi namba 17 Sewa Haji kunakosababishwa na upungufu wa vitanda katika hospitali hiyo. (Picha na Peter Twite...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
CALL FOR ACTION IN NORTH MARA GOLD MINE Dear Colleagues and partners, Greetings from North Mara in Tarime. I wish to share with you some photos of the current situation in...
0 Reactions
98 Replies
18K Views
BAADA ya Rais Jakaya Kikwete kusaini Sheria ya Gharama za Uchaguzi wiki iliyopita, Serikali imependekeza matumizi kwa mgombea urais yasizidi Sh bilioni moja kuanzia kwenye mchakato wa kuteuliwa na...
0 Reactions
83 Replies
7K Views
- Wakuu JF, tuna habari za huzuni kwamba Mwanasiasa wa siku nyingi sana toka enzi za Mwalimu, amefariki dunia leo asubuhi sana. Tutawaletea habari zaidi za msiba na matayarisho ya mazishi. -...
1 Reactions
62 Replies
14K Views
  • Poll Poll
Comrades & compatriots, What questions would you ask our beloved President, Jakaya Kikwete, if you would get a rare opportunity for one-to-one interview? JK is one of the most important...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MNAJIMU wa Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahya Hussein amemwelezea Spika Samuel Sitta kuwa ni kiongozi ambaye kwa sasa yuko juu na kwamba, hakuna atakayeweza kumgusa kwa lolote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom