Wanakwetu kuna mtu ameshakisoma kitabu cha kisiasi nilichoona kwenye tv kinazinduliwa wiki mbili zilizopita?
kama yupo kuna nini ndani yake jamaani, naomba kujua
A long but good read. Nothing new really, we all know the same old issues of corruption, incompetence and bureaucracy. This article just sums up madness.
Tanzania: Electricity in the Grip...
wakati kesi ya mgombea binafsi inategemewa kuskilizwa tarehe 8 April mbele ya majaji saba mahakama imemteua DPP wa Zanzibar bwana Othman Masoud kuwa rafiki wa mahakama. rafiki huyu mpya ataungana...
Sipendi kuona Watanzania kazi yao kudanganywa tu!!
Sitaki kuona raisi wetu kazi yake ni kuzurura tu!!
Sipendi kuona maisha ya watu + na watu Tanzania!!
Sipendi kuona Tanzania ikitawaliwa na...
Baada ya kushindwa kwa sera ya Azimio la Arusha ya Ujenzi wa Vijiji vya Ujamaa vijiji vingi vya ujamaa vilikufa na wananchi wakarudia maisha yao ya jadi. Hii yote inasadikika ni jinsi gani Mwalimu...
CHADEMA yaendeleza harakati za ukombozi wa raslimali za umma dodoma, wakazi wajitokeza kwa wingi kuunga mkono, wa muahidi MBOWE wapo tayari kwa lolote litakalo tokea kwa mabaya au kwa mema mpaka...
Jan, tar. 12 tulishuhudia askari wetu wakipita mbele ya mgeni rasmi Mh. Karume wakitoa heshima kwa mkuu. Lakini Mh. mwingine ambaye ni Rais wa jamhuri ya Muungano wa TZ alikuwepo.
Mpaka leo sipati...
Mh.Dk Slaa rafiki wa watanzania wote wakiwemo wana CCM wasafi na kuacha wachache wachafu na wasio na heshima wala upendo na Tanzania yangu , CCM Arusha wanakuundia kashfa nzito ili waweze kuitumia...
Waandshi wetu wa habari wamenishangaza kweli kwa hatua yao ya kukaa kimya dhidi ya tuhuma kuwa wanakula rushwa kwa ujumla wao tuhuma zilizotolewa na raisi wa Tanzania ndugu Kikwete. Yaani huwezi...
Tunahitaji kuweka CVs(resumes) za January Makamba,Lazaro Nyalandu,Zitto Kabwe na vijana wengine wote watakao kuwa wanagombania public office ili tufanye upembuzi yakinifu..na kuwaeleza nini...
- Ndugu zangu wananchi wote wa Tanzania mnaoishi mjini New york na vitongoji vyake, kwa niaba ya Mwenyekiti wa Muda Ndugu Khaji, ninaomba kuwatangazia tangazo la tangulizo kuhusu kusajiliwa kwa...
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Jamii (CCJ), Richard Kiyabo (kulia), akiangua kilio baada ya yeye na Katibu Mkuu wake, Renatus Muabhi, kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la hayati Baba wa...
KATIBU wa CCM wa Wilaya ya Tarime, Livingstone Lusinde, amelalamikia viongozi wa chama hicho wilaya ya Chamwino, Dodoma kumruhusu mbunge wa Mtera, John Malecela 'kukampeni' kabla ya wakati...
Inasemekana kuwa Kampeni za ubunge zimeanza kwa mbunge wa jimbo la Monduli kugawa tisheti makanisani. Ilikuwa jumapili ya tarehe 21/3/2010 niliposhikwa na butwaa kuona Lowasa, mkewe Rejina na...
Ninajiuliza kila siku, hasa baada ya mwenendo wa Mrema kutokueleweka kisiasa.
Kuanzia pale alipoamua kuwa upande wa CCM wakati wa Msiba wa Marehemu Chacha Wangwe, na kuwa kinyume na Chadema...
President Jakaya Kikwete
President Jakaya Kikwete left for Namibia yesterday afternoon for a three-day state visit during which, among other things, he is scheduled to attend the...
Nimepokea habari hizi za unyeti wa ndugu yetu Dr. Aziz Ponary Mlima ambaye nusura aukwae ubalozi wetu kwenye mojawapo ya nchi za Scandinavia. Bahati mbaya (sijui ni kwake au kwa nchi) ni kuwa...
Chanzo muhimu cha maji kwa wakazi wa Manispaa ya Arusha kimefungwa. Chanzo hicho chenye uwezo wa kutoa lita za maji 110,000 ( Mita za ujazo 110) kwa saa kimefungwa baada ya maji yanayotoka hapo...
Mwalimu Samwel Nyamsangya, wa Shule ya Msingi Saranga iliyopo Kimara Temboni, jijini Dar es Salaam, akiwafundisha wanafunzi 200 wa darasa la pili jana huku wakiwa wameketi chini kutokana na...
Licha ya kuongoza Afrika Mashariki, Tanzania inashika nafasi ya 12 katika ya nchi 50 za barani Afrika na nafasi 97 duniani kati ya mataifa 167. (Nukuu gazeti la mwananchi leo).
Pamoja na mbembwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.