Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Katika chaguzi nyingi kuanzia za ujumbe wa nyumba kumi,serikali za mitaa ubunge na Uraisi wasomi waliobobea sana wamekuwa wakibwagwa na wasiosoma sana. Nakumbuka Raisi Nyerere aliwahi kuulizwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kampui ya simu tanzania imeingia kwenye matatizo ya ufisadi baada ya wafanyakazi wake kudaiwa kuiba Tshs Bil 5 zilizotakiwa kupelekwa TRA. Inasemekana ufusadi huu ulifanywa na wafanyakazi wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Safari inaendelea..
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Serikali imebaini kuwapo mpango mchafu wa kutaka kuvuruga ziara ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-moon nchini, imeelezwa.Akizungumza jana Dar es Salaam, Waziri wa Mambo ya Nje na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zaidi! Majaji waonywa kesi za mafisadi Theopista Nsanzugwanko Daily News; Wednesday,February 25, 2009 @19:41 Jaji Kiongozi mpya, Fakih Jundu ameapishwa na kuwataka majaji na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Uwajibikaji ni kitu muhimu sana kwa nchi ye yote ile inayotaka maendeleo na ustawi wa kiuchumi. Kila mtendaji au kiongozi katika eneo lake la kazi anatakiwa awe na dhamana ya yale yote yanayotokea...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hizi ni picha za jana baada ya mvua kunyesha katikati ya Dar (picha kwa hisani ya MICHUZI JR wakati huo huo, Hapan ni Kihesa huko Iringa... Pamoja na hayo, watu tuliopiga kambi kwenye...
0 Reactions
145 Replies
17K Views
Na. M. M. Mwanakijiji KATIKA makala yangu ya wiki mbili zilizopita nilielezea jinsi wabunge wetu wanavyolindwa au kuhakikishiwa usalama wao kwa namna inavyowezekana kibinadamu. Nilitoa mifano...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
EXCITING CAREER OPPORTUNITY WITH TANZANIA POSTAL BANK 2. CHIEF OF HUMAIN RESOURCES - One (1) Post Reporting to Head of Human Resources Procurement and Administration DUTIES AND...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) anatarajia kufanya Ziara ya kikazi Nchini Tanzania kuanzia wiki ijayo,Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mkazi wa UN -Tanzania Bw. Fernandez Taranco inaonyesha...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hivi mtu kama huyu ambae anataka kuwashauri waTanzania juu ya kuendelea kuichagua CCM tumuelewe vipi ? Ni kweli wakatoliki wanaridhika na uongozi wa CCM ,Pengo kwa maoni yake ya kujipendekeza...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kawaida wananchi tunawakilishwa bungeni na waheshimiwa wabunge, lakini pia namna gani mbunge anatuwakilisha huko bungeni, inabaki kuwa ni kitendawili. Mh. Dr. Shukuru Kawambwa, ninachukua fursa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KUMEKUCHA KARIBU UCHAGUZI WA 2010 UKO MLANGONI NA YALE YALIOZOELEKA KUTOKEA YAMEANZA SASA TUSEMEJE NA TUFANYEJE ? Nyumba 600 zabomolewa Zanzibar,Cuf yalaani Na Salim Said SERIKALI ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
A group of politicians and traders who benefited from shady deals executed during the third phase regime are now planning a secret mission targeting the anti-corruption czar and the Director of...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
SOURCE:SAUTI TA WATU TANZANIA DAIMA-salehe moohamed MWANZONI mwa wiki hii, Rais Jakaya Kikwete, aliamua kumfukuza kazi Mkuu wa Wilaya ya Bukoba, Albert Mnali, kwa kosa la kuwachapa viboko...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
  • Closed
Habari zilizo patikana hivi punde ya kuwa Liyumba ametoroka na wadhamini wawekwa rumande baada ya kushindwa kumleta mshatiwa mahakamani!!!!
0 Reactions
480 Replies
64K Views
Waziri Kiongozi wa SMZ ameamua kuwa mfagiaji wa barabara katika Halmashauri ya Manispaa ya Zanzibar. Hatua yake hii imetokana na barabara katika halmashauri hiyo kukithiri wa michanga kiasi cha...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Waomba DC wao aondolewe 2009-02-21 11:19:32 Na Pendo Fundisha, Mbarali Baadhi ya wakazi wa Kata za Chimala na Ubaruku, Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya, wameiomba serikali kumuondoa Mkuu wao...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Nimepata taarifa kuwa wafadhili kadhaa wakubwa wamekata msaada wao kwa taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation. Ni wazi hili litakuwa pigo kubwa kwa Mzee Ben lakini pia kwa watanzania ambao walikuwa...
0 Reactions
22 Replies
9K Views
Kutokana na info zilizonifikia, rais Jakaya Kikwete ameshangazwa na support aliyopiwa DC Albert Mnali kutoka kwa sehemu kubwa ya jamii kwa kitendo cha kuwatandika mboko walimu wazembe wilayani...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom