Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mtandao wa jamiiforamu, umejaa vichwa makini Wengi upitia soma humu, uchambuzi ulio kamili fisadi utishiwa hukumu, uongozi wao unapo katili sote twajaa na ulazimu, kujadili mikataba batili...
0 Reactions
46 Replies
7K Views
Nauli kupanda baada ya bajeti madereva jeuri kufutiwa leseni Dar Na Kizitto Noya SERIKALI imesema itaongeza nauli ya magari ya abiria nchini ikiwamo daladala zinazotoa huduma jijini Dar es...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Baada ya Serikali kupeleka wrong message kwa wananchi , hapa majuzi nimeona malalamiko makubwa lakini wafanya biashara toka mikoani waliambiwa walete mali zao na zitanunulika .Sijajua kama...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Mama, mtoto wafia mapokezi ya hospitali kwa kukataliwa huduma * Ni baada wauguzi kukataa kumhudumia mjamzito Na Jackson Odoyo MAMA mjamzito, Teddy Kimoso amefia katika mapokezi ya...
0 Reactions
58 Replies
8K Views
Kama una access na TV turn to Channel Ten Now Mods pls kipindi kikiisha mwaweza kuiclose hii thread
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Wajasiriamali wamtimua Waziri Nagu na Mwandishi Wetu Tanzania Daima~Sauti ya Watu WAJASIRIAMALI zaidi ya 500 kutoka mikoa 17 nchini na nchi jirani za Kenya na Uganda, jana walimtimua kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mkutano wa Sullivan: Al Bashir afananisha waasi na magaidi Na Daniel Mjema, Arusha RAIS wa Sudan, Omari Hassan Al Bashir, amesema waasi wanaoendeleza mapigano Jimbo la Darfur nchini humo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Tarehe 8 mwezi wa Tano Mwafrika wa Kike aliandika thread hii akionyesha kuridhishwa na jitihada za Rais Kikwete za kupiga vita ufisadi. Katika post hii Mwafrika wa Kike anaahidi kumpa Rais Kikwete...
0 Reactions
31 Replies
7K Views
Posted Date::5/30/2008 Ufisadi BoT chamtoto *Ripoti yabaini Sh 700 bilioni zachotwa kila mwaka *Hii ni sawa na robo ya makusanyo ya kodi *50% ya akinamama hujifungua kwa wakunga wa jadi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Thomson Financial News Aminex says Kiliwani North-1 well test results successful, exceeds expectations 06.04.08, 7:33 AM ET LONDON (Thomson Financial) - Aminex Plc. said the test results...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Waziri Mkuu Pinda ageuka mbogo Dodoma Ma Michael Uledi, Dodoma WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amewajia juu wananchi waliolipwa fidia maeneo ya viwanja vilivyochukuliwa na Chuo Kikuu cha...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Kutoka daily news: Serikali ya Tanzania itapata dola zisizopungua milioni 24 za Marekani (zaidi ya Sh bilioni 24) katika miaka mitatu ijayo kwa kuwa bandari ya Dar es Salaam itatumika...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
WanaJF, Katika pitapita zangu nimeona hatuna thread ya Political cartoons. Sometimes we need humour hata katika yale yenye kutuumiza kiakili. Kwa hiyo nimechukua fursa hii kuiazisha thread hii...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kwa kuwa lengo la kwanza la CHADEMA wakiingia madarakani ni kuitisha mkutano wa Katiba sasa na kwa matazamo wangu nadhani kama hilo ni lengo wa kwanza basi CHADEMA haina sera kwa sasa. Kwa nini...
0 Reactions
91 Replies
9K Views
Yaani Kama mchezo wa kuigiza vile! Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. Imefikia wakati sasa wananchi wa Tanzania ambao wamekuajiri kuwa rais wao wapewe heshima na usikivu wanaostahili. Mambo...
0 Reactions
60 Replies
8K Views
Okay! Habari kwamba kuna watu wanatoa vitisho huko serikalini kuwa watabomoa serikali ya Kikwete kama akiwashughulikia kwa makosa yao ya ufisadi zimefikia kipimo cha juu kabisa cha uvumilivu...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Jana afisa habari wa CHAMA CHA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF) Frolian Kaijage, Alifanya press conference na kutangaza viingilio vya mechi ya TAIFA STARS NA CAMEROON, cha ajabu hawa jama wa TFF...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WAkati ule ulikuwa ni wakati wa "UKWELI na UWAZI" Kauli yako hii ndiyo Azimio lako utabaki nalo milele na kamwe itakuwa hivyo kama Mwl Nyerere alivyotetea Azimio la Arusha hadi sasa. Sisi wananchi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama kawaida yao wapinzani wanakosoa tu kila kitu ccm inachofanya. Badala ya kujenga vyama vyao vya kikabila kama chadema, tlp, na nccr mageuzi na kile cha kidini cha cuf, wao wanajazana kwenye...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
MARA NYINGI KUMEKUWA NA KULAUMU UPANDE WA SERIKALI YA KARUME KAMA NDIO KISIKI CHA MAPATANO YOYOTE YA MUAFAKA KATI YA CCM ZANZIBAR NA CUF. LAKINI UKWELI NI KWAMBA CCM DODOMA NDIO WENYE MPINI WA...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom