Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Waraka mzito wa maaskofu kwa JK na Kulwa Karedia Tanzania Daima~Sauti ya Watu MAASKOFU wa makanisa kadhaa kupitia kile wanachokiita Ushirika wa Maaskofu Tanzania, wameandika waraka maalumu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Muda si mrefu ujao Bunge letu litajadili mswada wa mortgage (neno la Kiswahili au kiarabu sina) ili kurahisisha watu kupata mikopo ya kununua/kujenga nyumba zao wenyewe. Binafsi sijauona lakini...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Kifo cha Gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Daudi Balali kinaonekana kugeuzwa kuwa mtaji wa kisiasa miongoni mwa vyama vya siasa nchini. Kwa mfano, vyama vilevile na wanasiasa...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kati ya vitu ambavyo vimenisumbua binafsi na kunifanya kurudia tena wito wa kuifanyia marekebisho sheria ya Majukumu na Kazi za Mwanasheria Mkuu (Office of the Attorney General - Discharge of...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Wanajamii hebu tulijadilini hili. Toka amefariki Dkt Daudi Ballali kumekuwa na mijadala mbalimbali kwenye vyombo mbalimbali vya habari, wanasiasa na hapa JF ambapo kuna post nyingi sana. Lakini...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Mnyika amwaga radhi Magu na Osoro Nyawangah, Magu MKURUGENZI wa Vijana wa Chama cha Demokrasia na Mendeleo (CHADEMA), John Mnyika, ameitaka serikali kufuta jeshi la jadi, maarufu kama...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Siku nyingi nimekuwa nikisikia kauli kadha wa kadha, mathalani "mavazi haya ni kinyume cha maadili ya mtanzania", au kitendo alichokifanya juma cha ni "kinyume cha utamaduni wa Mtanzania". lakini...
0 Reactions
4 Replies
12K Views
MAFISADI YALIYOKUBUHU SERIKARI AWAMU YA NNE Ndugu JK…..Watu wananchi wanasema hivi: (1). Tanzania ni nchi yenye rasimali na utajiri wa hali ya juu Afrrica na ulimwenguni, lakini ni...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Yes its PM and not AM kwa sababu najua 3 am atakuwa analala tuu but be honest Can you really trust this guy with our national security? Personally i wouldnt trust him with anything. He is not...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Washughulikie kwanza waliokwishajulikana badala ya kudai wakikamatwa nchi italipuka Posted Date::5/28/2008 Pinda aomba msaada kukabili mafisadi Na Kizitto Noya Mwananchi SERIKALI...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
‘Mzimu wa Ballali’ waitesa Ikulu na Tamali Vullu Tanzania Daima~Sauti ya Watu MZIMU wa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), marehemu Daudi Ballali, bado unaisumbua Ofisi ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
duh hawa jamaa sio utani,yaani kila safari timu ya taifa kiongozi anatoka TFF,ukiachilia ile ya burkina faso. uonhoziw a juu wote unaenda australia hakuna hata kiongozi kutoka ZFA. mafisadi kweli...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimekuwa nafuatilia malumbano yaliyoshamiri baina ya chama cha CUF na CCM kuhusu mapendekezo ya vyama vyote viwili kutaka kuwe na Serikali ya Mseto Visiwani Zanzibar. Wakati katika upande wa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
This Day (Lagos) 28 May 2008 Damilola Oyedele Abuja The Federal Government yesterday said it would seek appropriate compensation for properties lost by Nigerians during the xenophobic...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Karamagi vows to stick to his words By Mkinga Mkinga THE CITIZEN Former Energy and Minerals minister Nazir Karamagi said yesterday that he stood by his account of the ownership of the...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
CUF haikubali kuitishwa kwa kura za maoni Apinga Pemba kujitenga Ufisadi, Balali ‘vyamliza’ http://tzuk.com/ http://www.haki-hakingowi.blogspot.com/
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nimesoma tetesi kuwa Marehemu Ballal atachomwa moto na sio kuwa atazikwa. Kwa nini watanzania walioko US wasiwasiliane na mwanasheria mkuu au kuomba mahakama izuie kuchomwa kwa Ballal mpaka mwili...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Mimi nina swali ambalo nimekuwa nikitaka kuuliza watu humu ktk hii foramu, nalo ni kwamba, hivi ni kwanini ktk kila habari ninyosoma watu wanalalamika tuu kuhusu nchi yetu na watu wetu? Hakuna...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ebu Oneni Picha Kwa Kubwa Japo Si Nzuri ,naona Sasa Kama Tunapelekwa Kwenye Ukabila Pole Pole Na Watu Hawa Walioishiwa Sera Na Mitaji Ya Kisiasa,ebu Angalia Lowasa Alipotemwa Akaenda Jimboni Kwake...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
What happened? why did it happen? do you have any idea who did it and why? do you believe it. What next!? KLHN will air a Live Show on Sunday at 2:00PM EST (1:00PM CST, 9:00PM East African Time)...
0 Reactions
79 Replies
8K Views
Back
Top Bottom