Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

...waziri wa michezo na utamaduni ni john mkuchika ..huyu ni kati ya wale marafiki wa kikwete alioingia nao jeshini akiwamo..marehemu capt.ukiwaona ramadhani mwinshehe ditopile mzuzuri,luteni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wataznania Wote mnakumbuka adha ya Loliondo na watu wa kule , mnakumbuka wanyama kusombwa kwenda Arabuni na Ulaya , mnakumbuka Utalii kukabidhiwa wageni yote haya kwa kiasi kikubwa yalifanywa na...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Kwa siku kadhaa sasa machafuko dhidi ya wahamiaji yamepamba moto huko Afrika ya Kusini. Hadi hivi sasa wananchi wa nchi kadhaa za Kiafrika wameuawa na idadi yao imefikia karibu 40 hivi. Miongonni...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
DOUBLE NATIONALITIES Serikali imekataza kuwa na uraia zaidi ya uraia mmoja. Yaani kama wewe ni mtanzania huruhusiwi kuwa na uraia zaidi ya Utanzania. Inasemekana Balali alikuwa na uraia mwingine...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mafia, name for an open-ended association of criminal groups, sometimes bound by a blood oath and sworn to secrecy. The Mafia first developed in Sicily in feudal times to protect the estates of...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
KATIKA GAZETI LA LEO MWANAHALISI KUNA HABARI ZA KUWA MAKAMBA AMELAZWA HOSPITALI YA APOLLO HUKO NEW DELH, mwenye data amwage hapa isije ikawa wameshamkolimba hawa, manake hawaaminiki...
0 Reactions
57 Replies
7K Views
wengi wetu ni kiwa mimi ni mmoja wapo simjui vyema Marehemu aliekuwa Gavana wa nchi yetu Tanzania. kwa mara ya kwanza kumsikia na kuwa na intention ya kumsikiliza ni pale wimbi la wizi wa fedha...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Heshima wakuu Nawapongeza CUF kwa kutafuta haki za wapemba huko visiwani zenj. Watz wote wanatambua lengo kuu la mupambano huu ni kubaguliwa kwa wapemba na serikali ya zenj iliyojaa waunguja.Ni...
0 Reactions
130 Replies
13K Views
We Fisadi Mkono acha hizo za kuropokaropoka!...What about Fisadi Mkapa, Fisadi Chenge, Fisadi Lowassa, Fisadi RA, Fisadi Mzindakaya, Fisadi Mramba and many others mafisadi including yourself? Why...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), Rais Jakaya Kikwete amesema nchi za Afrika zina utashi wa kuwa na serikali moja lakini zinatofautiana katika masuala machache ambayo yanaweza kutatuliwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamanie, hivi ni kweli kuwa yule muhehe Balali kafariki? Kusema kweli, kama amefariki, mimi nawapa pole sana wanandugu wake. kwasababu anaweza kuwa alitumika kama chambo tu kwa mafisadi walio na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Baada ya kuwa na tetesi kuhusu chanzo cha kifo cha Ballali ambapo tangu nijiunge na JF nimekuwa nikisoma kwamba huyu marehemu walim-poison muda mrefu baada ya harakati za kuvuna fedha pale BoT...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Achana na hizi alinacha JK! Serikali moja ya Afrika Mashariki nanga inapaa tutaweza Serikali moja ya Afrika nzima kweli!? :confused: Cha muhimu ni kuwa na currency moja kwa Afrika nzima na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
POLISI wamekubali kuwaachia kwa dhamana Wapemba inaowashikilia pamoja na kusisitiza kwamba kitendo cha wao/na yeyote kudai kujitenga kwa Wapemba ni kosa la Uvunjaji wa wazi wa KAtiba ya Jamhuri...
0 Reactions
53 Replies
6K Views
If Balali died in the State of Maryland: Overview When someone dies suddenly, is found dead or is killed, family members and police investigators have many questions...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimetafakari wasifu wa aliyekuwa Gavana wa BoT Dr. Daudi Timoteo Saidi Balali, na sijaweza kuona sababu ya mtu aliyekuwa na wasifu na kipato kizuri sana (hata kabla ya huo ugavana) kujihusisha na...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Moses Mujibila aachia ngazi 2008-05-22 11:42:10 Na Mary Edward, PST Dodoma Hatimaye Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Tawala Tanzania Bara, Bw. Moses Mujibila aliyetoa shutuma nzito kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama ilivyoada kwa mafisadi wengi hujitutumua sana kwa ajili ya kujionyesha kwamba wanamshiko wa nguvu wakaweza kujenga ama kununua majumba ya kifahari ama kununua magari ya kifahari, huyu Ballali...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
CUF's letter to JK By Polycarp Machira THE CITIZEN The opposition Civic United Front yesterday disclosed that they had sent a letter to President Jakaya Kikwete asking him to personally...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana JF ni muda si mrefu nimetoka kuzungumza na ubalozi wetu wa hapa Marekani! Sikufurahishwa sana na maongezi yetu! Hata hivyo kabla ya kusema lolote...Naomba tujadili ni nini hasa...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Back
Top Bottom