Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Huyu bwana alikua mstari wa mbele sana katika kumtengenezea muungwana njia ya kuelekea ikulu na tafiti zake zilizokuwa zimejaa uzushi. Sasa najiuliza kipindi hiki ambacho muungwana anamhitaji ze...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
iko wazi By Now Kwamba Kuna Group Zimeanzishwa kwa Nia ya kukigawa Chama,flag Bearers wanajulikana. swali Linakuja, Ra Kama Mmoja Ya Viungo Muhimu Kwenye Siasa Za Kifisadi,yuko Upande Upi? ra...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Miundombinu waziri ni kawambwa,naibu wake chibulunje. Mawasiliano waziri ni msola, kilimo waziri ni wasira na tamisemi waziri ni celina kombani. Sioni jipya
0 Reactions
130 Replies
16K Views
Ndiyo nimeibuka kutoka hapa Kurasini kwa Baraza la Maaskofu wa Katoliki Tanzania na maneno ya kichwa cha habari hicho ndiyo maneno nimeambiwa nimweleze Mh. Zitto kupitia njia yeyote ile. Kwa kuwa...
0 Reactions
55 Replies
7K Views
kama hicho kiwanda kitasaidia wananchi, wanaohangaika wanatamani tu hata hao flamingo wangekuwa karibu wawakamate wawachinje walau wale nyama tu manake maisha magumu, sioni kama kuna umuhimu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
UFISADI: Viongozi wameiweka CCM kwenye Auto-Pilot? Johnson Mbwambo Mei 7, 2008 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo WENGI wetu tunafahamu kwamba ndege kubwa ya abiria inayosafiri masafa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau imejiri kwamba serikali inawabana watu wasiwazomee mafisadi na wakulu wa matawi ya juu wameshatangaza kula sahani moja na wanaozomea mafisadi. Hizi ni dalili za kidikteta na zisipokemewa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Shamhuna na kadhia ya uhuru wa habariNa Jabir Idrissa ALI Juma Shamhuna ni Waziri wa Habari katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Ni mjuzi wa mambo na anajua huwa anajua hasa maana ya kile...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Naiweka hapa ili watu mjue kuwa inaanza. Kila ukitaka kuanziaha hoja mpya (Thread) basi utakutana na Prefix hivyo itumie kwa adabu. Wengine wanaweza kuweka Very Important: kumbe ni issue ya...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Wakili Tundu Lissu aliwaaibisha waliofungua kesi hii dhidi ya Dk Slaa, hivyo kama sheria zikifuatwa Dk Slaa atashinda na walalamikaji kuamriwa kumlipa gharama zote za kesi hiyo. Kama mjuavyo...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Malumbano haya ya CCM na CUF hayatufikishi kokote Mhariri Daily News; Thursday,May 15, 2008 @00:01 Katika kipindi cha siku nne zilizopita tumeshuhudia malumbano, lawama na makombora ya maneno...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Uamuzi wa Serikali kupeleka chakula cha msaada wilayani Kyela kwa ajili ya waathirika wa mafuriko makubwa yaliyotokea wilayani humo, unamuumbua RC wa Mbeya ambaye kwa mwezi mzima sasa amekuwa...
0 Reactions
85 Replies
11K Views
Madiwani wapewe meno kudhibiti watendaji David Azaria Daily News; Tuesday,May 14, 2008 @21:01 Majuzi madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita mkoani Mwanza na wabunge wao watatu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Save Afican's Flamingos- campaigns Dear Travellers, Birdlife, Animals and Natural Resources Conservator! Please, read this article and take serious action by Serving Lasser Flamingos at Lake...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Cheyo: Don't fete suspects By Mkinga Mkinga THE CITIZEN An Opposition legislator, who chairs the Parliamentary Local Authorities Accounting Committee, Mr John Cheyo, yesterday criticised...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Majuzi watu walipata shida sana kulisoma gazeti la TD on time.Wakaanza majungu hapa mara wamenunuliwa , oh mara waoga , oh mara hawana pesa.Wengi tukasema ulikuwa ni upuuzi maana hatuwasaidii TD...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
EYE SPY : His Excellency the 'fisadi' Adam Lusekelo THIS DAY DAR ES SALAAM POLICE in Dar es Salaam have goofed again. They have arrested the wrong guys. They have arrested five young men...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Na Ndimara Tegambwage WIKI iliyopita kulikuwa na taarifa katika vyombo vya habari juu ya vijana waliokamatwa kwa madai ya “kumtukana” rais mstaafu Benjamin Mkapa. Kutukana ni kosa la jinai...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Waungwana, Hivi chama chetu makini cha CHADEMA kwa nini kisiingie kuwasuluhisha CCM na CUF? Mimi nadhani ndio wakati muafaka. Ahsanteni
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama hili ni kweli, basi hawa CUF wanataka kutuletea balaa kubwa sana CUF watishia kujilipua na Mwandishi Wetu, Pemba Tanzania Daima~Sauti ya Watu MWENENDO wa mambo visiwani Zanzibar...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Back
Top Bottom