Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

I wrote this piece almost 2 years ago. It still holds its value the only thing I would have added was Ufisadi. Lakini I am sticking to the core theme, Taifa being Lost in Transition, hence...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Niliwahi kusikia kwamba Kigoda alipokuwa Waziri katika sirikali ya Mkapa alikuwa akipita nchi mbali mbali za magharibi kutafuta makampuni ya uchimbaji wa dhahabu yaingie mkataba na yeye na Mkapa...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Mtu - Jakaya Mrisho Kikwete Rafiki zake: - Marehemu Ditopile Ukiwaona Mzuzuri (alijiuzulu baada ya kutuhumiwa mauaji) - Edward Lowassa (alijiuzulu kutuhumiwa matumizi mabaya ya cheo) -...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Waungwana, hawa wabunge wa CCM wanaonyesha upumbavu wao wa hali ya juu na kutaka kuwatumia lawama watendaji wa TANESCO ambao hawahusiki kabisa na matatizo ya shirika hilo. Uendeshaji wa TANESCO...
0 Reactions
51 Replies
7K Views
Member of Parliament demand audit findings on four companies By Damas Kanyabwoya, Dodoma THE CITIZEN MPs yesterday asked the Government to explain why audit reports on three controversial...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
JAMANI WATANZANIA NINATAKA KUJUA HUYO NDIO BEN WA KIWIRA NA WA KWENYE BBC 1997 NI MMOJA? SOMA ZAIDI NA WEWE ULINGANISHE Source http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/monitoring/29741.stm Excerpt...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
JAMANI HIZI HELA ZILIFANYA KAZI ZAKE AU ZIKO MIFUKONI MWA MAFISADI? Source http://news.bbc.co.uk/1/hi/business/1535800.stm Monday, 10 September, 2001, 15:53 GMT 16:53 UK...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zinazoingia mida hii zinasema kuwa aliyekuwa waziri wa Nishati na Madini na mbia mkubwa wa Mgodi wa Kiwira Bw. Daniel Yona amejitokeza na hatimaye kuzungumzia madai kuwa yeye pamoja na Rais...
0 Reactions
41 Replies
7K Views
Bob Mkandara, ni mtu ambaye amejikwamua kiubunifu na kujijenga kiuchumi. Ni juhudi zake mwenyewe na kutokukata tamaa au kutafuta njia nyepesi na rahisi kujipatia pesa kukimu maisha yake ndiko...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii habari hapa chini toka Raiamwema ni uwongo mtupu. Mwandishi ameshindwa hata kutambua jambo rahisi la kujua kwamba Dr. Mwakyembe sio mjumbe wa NEC ya CCM. Acheni kuutumia mkoa wa Mbeya...
0 Reactions
65 Replies
9K Views
Wazalendo mimi binafsi naamini huu ni wakati Katika chuo kikuu cha Dar es saaam,Baada ya uchaguzi wa wanachuo kuaanza ilionekana kuna mgombea alie chaguliwa tayari na viongozi sijui ni wakinanani...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wazalendo mimi binafsi nadhani sasa ni WAKATI. Katika chuo kikuu cha Dar es saaam,Baada ya uchaguzi wa wanachuo kuaanza ilionekana kuna mgombea aliyechaguliwa tayari na viongozi,sijui ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Posted Date::4/23/2008 Waziri Mkuu Pinda atakiwa kufuta kauli yake kuhusu mafisadi Na James Magai Mwananchi KITUO cha Seria na Haki za Binadamu (LHRC) kimemtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Time for Mr Clean to `come clean` -Ex-president said to be preparing long-awaited response to simmering corruption charges THISDAY REPORTER Dar es Salaam FORMER president Benjamin...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ORODHA YA MAFISADI (LIST OF SHAME) KANUNI/ VIGEZO VILIVYOTUMIKA A. USHIRIKI WA MOJA KWA MOJA KATIKA VITENDO VYA UFISADI Katika kundi hili wamo viongozi na/au maafisa wa umma na/au...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nani kumfuata Chenge? (Tanzania Daima) na Mwandishi Wetu KUNA kila dalili kwamba, mkakati maalum wa kuwasafisha kwa zamu mawaziri wanaoandamwa na tuhuma za kifisadi ndani ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
LET'S hear it for Tanzania. Despite being one of the world's poorest nations, it has become a role model in how to reach global targets for reducing death rates of children and mothers - putting...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Hivi, Nani amewaambia Jumanne magimbi na Mukandara kuwa kufukuza wanafunzi ni solution? Hivi, fuju huwa inajibiwa kwa fujo?kama ndo hivyo, mbona tumeone failure nyingi sana kwa US kufikiri ataleta...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wana jamvi JF, Nimekuwa nikifuatilia sakata la Habari coorperation kutaka kutumia waandishi/magazeti yake kusafisha MAFISADI na Atilio tagalile akawa hayupo tayari kwa hiyo. Naona gazeti la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dk. Slaa aigomea sheria ya maadili na Salehe Mohamed Tanzania Daima~Sauti ya watu MBUNGE wa Karatu na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom