Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kikwete kazi kwako, omba pesa zote za mafisadi katika bank za nje ya nchi na hata ndani ya nchi zirudishwe Treasury. Swiss return first Abacha funds BBC News Online Friday, 19 December...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Swiss return first Abacha funds BBC News Online Tuesday, 14 December, 1999, 13:08 GMT Sani Abacha ruled Nigeria from 1993 until his death in 1998 Officials in Switzerland have approved...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huu si ndio ule unaodaiwa kuwa ni wa mkapa?? Mkapa umefikia hatua hii??? WANANCHI waliohamishwa kupisha ujenzi wa Mgodi wa Buzwagi, wilayani Kahama jana walitawanywa kwa risasi na mabomu...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
KITUO cha Seria na Haki za Binadamu (LHRC) kimemtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda kufuta kauli yake ya kuwa Serikali inashindwa kuwachukulia hatua za kisheria watuhumiwa wa ufisadi waliojichotea...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
UKWELI KUHUSU YA MATUKIO YA VURUGU YA 17 NA 22 FEBRUARI NA 11 APRILI 2008 KATIKA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM UTANGULIZI: Tarehe 15 Aprili 2008 Chuo kikuu cha Dar es Salaam kilitoa taarifa...
0 Reactions
36 Replies
6K Views
Historia haijafikia tamati Jenerali Ulimwengu Aprili 23, 2008 Raia Mwema~Muungwana ni Kitendo KUKOSEKANA kwa mwelekeo ndani ya chama si ugonjwa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) peke yake...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waheshimiwa, Nimeamua kuanzisha leo Mkakati Kazi (Action Plan) wa Vita Dhidi ya Ufisadi. Mkakati huu unaanza kwanza kwa kufuta mazingira ambayo yanafanikisha ufisadi, kwa kupeleka kesi za...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wind of change blows in Tanzania By Daniel Dickinson BBC News, Singida, central Tanzania They have seen the future - but will it work? A group of villagers gather at the local bicycle...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nyufa zimezidi, nyumba hatarini kuanguka Johnson Mbwambo Aprili 23, 2008 Raia Mwema~Muungwana ni Kitendo MARA kwa mara napenda kuwaambia marafiki zangu (wanapojali kunisikiliza) kwamba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
KAMPUNI ya Maji safi na Maji Taka mkoa wa Dar es Salaam (Dawasco) jana ilianza tena oparesheni maalum ya kukata maji kwa wadaiwa sugu 112, wakiwemo waliowahi kuwa mawaziri katika Serikali ya Awamu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
JAMANI KAMA IMESHAWEKWA MAHALI BASI Moderator iunganishe. Nimeipata kwenye email........... Habari Ndio Hiyo…….. Ndugu JK.....Watu wananchi wanasema hivi: (!).Tanzania...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwenye msiba wa familia moja iliojikusanya pale Dar na kwenda Hedaru kwa mazishi, palikuwa na watu kibao tangu Alhamisi ya April 17 2008 mpaka mazikoni. Kama kawaida ya jamii zetu, ndugu jamaa...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Ukubwa wa baraza la mawaziri ni ufisadi mkubwa sana, nasema hivi kwa sababu nchi zilizoendelea tena zinazochangia bajeti yetu zina baraza dogo la mawaziri kuliko TZ. Kenya nchi ambayo hakuna...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
XXV. ENEZA TAARIFA NA ELIMU YA URAIA: Ukichambua kwa makini utagundua kuwa chanzo kikuu cha matatizo mengi miongoni mwa wananchi ni kukosa taarifa ama elimu ya uraia. Wapo wananchi wanaonyanyashwa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Katibu Mkuu wa CCM, Bw. Yusuf Makamba, alipoulizwa CCM imepokeaje uamuzi wa Bw. Chenge alionekana kutokuwa tayari kuzungumzia suala hilo. "Uwaziri wa Bw. Chenge mimi unanihusu nini, Uwaziri...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Baada ya kupata kichefu chefu kilichosababishwa na mafisadi hadi wengine kuachia ngazi mwenzenu nimebaki na swali moja ambalo jibu lake sijalipata naomba Wana JF nisaidieni. Swali lenyewe ni hili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani Chenge kaachia ngazi,kafuata nyayo za Lowassa,Karamagi na Msabaha.Mpooo? Mimi bado nashindwa kuelewa hao wanaompongeza chenge kama walivyompongeza Lowassa wana maana gani?kujiuzulu kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana JF, Tume ya maadili imekataa kutoa forms za maadili za viongozi mbalimbali ambao wanatuhumiwa kwa ufisadi nchini. Mimi nashauri JF tuingie kazini na kuzitafuta hizo forms hata kama...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Posted Date::4/21/2008 Rais Kikwete lichambue upya Baraza lako la Mawaziri Mwananchi HATIMAYE aliyekuwa Waziri wa Miundombinu, Andrew Chenge, ameachia ngazi baada ya vyombo vya habari...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Stoltenberg confronts problems in Africa Prime Minister Jens Stoltenberg was greeted by a cannon salute and waving Norwegian flags when he arrived in Tanzania on Monday, but plenty of problems...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom