Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Usanii mwingine huu! Eti wanataka kuilazimisha Tanesco iombe leseni kwa kufanya hivyo waruhusu makampuni yao ya kifisadi nayo yazalishe, kusambaza na kuuza umeme. Hawa hawa mafisadi na sera zao za...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Na Tausi Ally MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imetupilia mbali ombi la upande wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jana nimeona M7 akishuka kwenye ndege ya rais wa TZ?? na akapokewa na Kibaki kwa furaha sana,hii ilinifanya kutafakari hapo nyuma M7 alipokuwa kiongozi wa kwanza kumtambua Kibaki bila woga wowote...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hongereni kwa jitihada waja JF Nimetaka kuleta hii mada ya kauli potofu za viongozi waandamizi na jinsi walivyoudanganya Umma na hatimaye kuumbuliwa na ukweli. Ningeomba tuweke kauli...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Badala ya kuomba msaada watutengenezee Barabara sie tumeona bora tujengewe uwanja wa Taifa Hii ndiyo hali halisi ya barabara kuu ya KIGOMA,leo ni siku ya tatu kukiwa hakuna kutoka kuelekea...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi karibuni kumekuwa na ufunuo (usio kamili) wa ufisadi uliondelea huko Benki Kuu. Katika ufunuo huo, wananchi tulielezwa kuwa Rais amekasirishwa na ufisadi huu na akaamua mambo kadhaa, ikiwemo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Stock Markets Plunge Worldwide By TOBY ANDERSON – 8 hours ago LONDON (AP) — Stocks fell sharply worldwide Monday following declines on Wall Street last week amid investor pessimism over the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
What are you waiting for? When will you be ready to say anything? :confused: two years, three years or 10 years? These inefficient officials they don't deserve to be in those important positions...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Msanii Mapunda aitosa CCM na Agnes Mlundachuma MSANII wa muziki wa Kiafrika, Fullgency Mapunda 'Mwana Cotide' ameamua kujitoa katika bendi ya Tanzania One Theatre inayomilikiwa...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Kuna habari kwamba wananchi wa Mbweni wamevamia mashamba ya Ballali na kugawana. Polisi wameenda kuwatimua. Hii kali kweli, wananchi wanachukua kilicho chao. Wenye habari zaidi tujulisheni.
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Ndugu Zangu wana JF siku zote nimekuwa ni msikilizaji tu wa mambo humu ndani zaidi ya kuchangia threats zinazowekwa na wanamapambano wenzangu. Labda nianze kwa kusema kuwa wengi wenu mnaifahamu...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Source ITV News, Wananchi waishio eneo la Mbweni wamevamia mashamba ya Dr.Balali na kuanza kugawana kwa madai kuwa yanatokana na pesa za ufisadi pesa ambazo wameziita kuwa ni mali yao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nakuuliza mheshimiwa JK....JF members na wa-TZ wenzangu wote HAKUNA MZANZIBARI MWENYE SIFA YA KUCHAGULIWA KUWA GAVANA WA BoT???? haaaaaa ametoka,dr idrissa rashid(mtanganyika) amekuja...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
2008-01-17 09:43:23 By Correspondent Felister Peter President Jakaya Kikwete has called upon donors to continue providing assistance to Tanzania, saying that the billions of shillings...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Nimewaza sana na kujiuliza nini Tofauti ya Mtanzani na Mhindi(Mtanzania mwenye asili ya India).Inaonekana Serikali na makampuni mengi ya yamekuwa yakipiga deal na wahindi kuibia fedha na mali za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mawaziri wahojiwa Mwandishi Wetu Januari, 16, 2008 Raia Mwema HALI si shwari ndani na nje ya Serikali kuhusiana na matukio ya Benku Kuu (BoT) na sasa imebainika kwamba baadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
2008-01-16 09:15:23 By Guardian Reporter The Minister of Finance, Zakia Meghji, has appointed an eleven-member board of directors for the Bank of Tanzania (BoT). In her appointment made...
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Maneno ya J.Ulimwengu ----------------------------------------------------------------- UKWELI wa vyama vyetu kuwa bandia umedhihirishwa na matendo ya wanasiasa wetu wenyewe. Ukitazama mwenendo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kikwete ampa John Cheyo milioni 120/- Hivi kuna ndoa gani kati ya John Cheyo na serikali ya CCM? Na Gladness Mboma SERIKALI imetoa sh. milioni 126 kama mchango wake kwa ajili ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom