Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Na Jackson Odoyo MGONJWA Emmanuel Didas aliyefanyiwa upasuaji wa kichwa badala ya mguu Novemba Mosi, mwaka huu katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) amepooza upande mmoja wa mwili...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
wafanyakazi mgodi Bulyanhulu wagoma toka asubuhi ya leo
0 Reactions
74 Replies
11K Views
Uingereza waafrika kwa visa.Pesa zinatotumika katika huu mkutano zinaweza kujenga hospitali ngapi?Jee commonwealth inamsaidiaje raia wa kawaida Tanzania? Mini naona commonwealth ni opportunity...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Robin Szolkowy alizaliwa 17 Julai 1979 huko Greifswald, Mecklenburg-Vorpommern, Ujerumani. Yeye na patna wake Aljona Savchenko, ndio wanashikilia medali ya shaba ya dunia na mabingwa wa ulaya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mawaziri matumbo joto Mwandishi Wetu Novemba 14, 2007 Raia Mwema MABADILIKO katika Baraza la Mawaziri sasa ni suala la muda tu kwani wakati wowote Rais Jakaya Kikwete atatangaza timu...
0 Reactions
72 Replies
10K Views
Pongezi za CCM kwa Richard wa BBA 2 zimetushangaza Tahariri Tanzania Daima TUMESHANGAZWA na kitendo cha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuibuka haraka haraka kumpongeza mshindi wa shindano la Big...
0 Reactions
37 Replies
6K Views
Ni sehemu ya maneno ambayo Balozi Mmoja wa nchi za Magharibi alianza kuyatumia alipotaka kuonesha ni jinsi gani nchi wafadhili zimeanza kuwa na shaka na uwajibikaji wa serikali ya awamu ya nne...
0 Reactions
73 Replies
12K Views
MegaPyne
Katibu Mkuu wa wizara ya Utalii Tanzania Bibi Blandina Nyoni juzi alikesha katika banda la Tanzania akiuza utalii na kutoa huduma kwa watu mbalimbali waliofika katika banda hilo kwa kuwafahamisha...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
MegaPyne
SERIKALI YATENGA TSH BIL 3.4 KUNUNULIA KOROSHO Serikali imetenga shilingi bilioni 3.4 kwa ajili ya chama cha Ushirika cha Ilulu ili kumaliza tatizo la ununuzi wa korosho. Rais Jakaya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Closed
Posted Date::11/17/2007 Wanafunzi waibana CCM viongozi kujilimbikizia madaraka *Wahoji iweje mtu awe na vyeo vitano *Walalamikia rushwa, matajiri kukiteka chama *Msekwa akiri chama...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jengo refu kuliko yote jijini Dar es Salaam limepewa jina la rais mstaafu Benjamin William Mkapa kinyume na matarajio ya wengi kuwa jengo hilo lingeendelea kuitwa Mafuta House. Kwa wadadisi wa...
0 Reactions
50 Replies
8K Views
heshima yenu wana JF. ni maoni yangu kuwa JF ina watu wenye vipaji na proffessions mbalimbali. mimi siko kwenye uchumi kielimu. ila baada ya kupata maoni namna ambavyo BOT imechafuka, tukianza na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi jamani mimi natatizwa sana na utendaji kazi wa Bunge letu tukufu. Wakati Zito anatoa hoja ya Kuundwa Kamati ya Bunge juu ya buzwagi, wote tunafahamu walivyokuwa wanapondwa na...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari kutoka Mwananchi zinasema ukaguzi wa 'ufisadi' BoT umekamilika. Soma zaidi hapa chini: Ukaguzi wa tuhuma za ufisadi BoT wakamilika Na Ramadhan Semtawa WAZIRI wa Fedha, Zakia...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
MWASISI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyekuwa Katibu Mtendaji wa pili wa chama hicho, Balozi Daudi Mwakawago amewashauri viongozi wa serikali wanaotuhumiwa kwa ufisadi wajiondoe katika nafasi...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
BALOZI Daudi Mwakawago, ambaye ni mwasisi na Katibu Mtendaji wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) asema chama hicho kinabidi kiongeze muda wa kufanya mkutano wake mkuu ili kuweza kuwapa wajumbe muda wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Na mwandishi wetu Mazungumzo ya Rais Jakaya Kikwete na Rais George W. Bush wa Marekani, yamezua mtafaruku nchini Kenya, hasa baada ya kubainika kuwa moja ya ajenda katika mazungumzo hayo...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Ndugu wana Bodi kumekuwa na hoja nyingi ambazo zimejizokeza hasa la madaraka ya Urais waNchi yetu,Kuna watu wamnampigia chepuo Wazitri Mkuu Lowassa na wengine wanasema kitendo cha Membe kung;ara...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Askofu mstaafu Dkt. Mushemba Akizungumza kwenye hafla hiyo, Askofu Mkuu Mstaafu wa KKKT Dkt. Samson Mushemba alimpongeza Rais Kikwete kwa kufafanua chanzo cha mjadala huo na kusema ni salamu...
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Habari ambazo zimeingia sasa hivi ni kuwa wananchi wa jamii ya Kimasai huko Kilosa wamejikuta wakichomewa nyumba zao kwa amri ya Mkuu wa Gereza la Mbigiri. Amri hiyo imetekelezwa bila kufuata...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom