Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kwa mara nyingine tena inabidi niukubali ukweli na kumeza uchungu wa kupoteza nafasi ya kuleta mabadiliko nchini. Ni kweli kuwa mimi nimeweka wazi hapa kuwa ni mpinzani wa CCM na sitangojea kwa...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Majuzi tumepokea salamu za mshikamano kwenye kongamano la wanafunzi lililoitishwa na CHADEMA kutoka kwa mtu anayejiita M.M. Mwanakijiji. Lakini hatukuambiwa kwamba huyu bwana ni nani na ametuma...
0 Reactions
59 Replies
8K Views
Mmoja alipokonywa gari na ofisi KUJIUZULU Kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) Dk. Idris Rashidi, pamoja na mambo mengine, kunaelezwa kutokana na msuguano wa muda mrefu...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
KUna wakati mgodi wa Mwadui ulielezwa kwamba haukua ukiilipa serikali mgawo kutokana na hisa zake.. Sasa sina hakika kama wameanza kulipa na kinachofanyika sasa ni HUJUMA ili mgodi uonekana...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Kumbe CHADEMA haina imani na Zitto! WIKI iliyopita, nilizungumzia kwa kirefu sababu zangu ambazo mimi binafsi niliziona ni za msingi katika suala la kumtaka mzee Benjamin Mkapa asijitokeze...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
JK baada ya kudhani kumleta mzungu wa Canada itakuwa msada kwake kurudisha hadhi yake miongoni mwa Watanzania sasa haya yameibuka .Hebu semeni JK alifikiria nini kumleta huyu mzungu ghafla hivi ...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wabunge Canada wahoji ziara ya Waziri Mkuu wao nchini Tanzania Na Mwandishi Wetu Mwananchi Posted Date::11/28/2007 ZIARA ya Waziri Mkuu wa Canada Stephen Harper nchini, imeibua mambo mapya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Posted Date::11/28/2007 Kamati ya madini yageuka kama maigizo *Mwingine aandika barua ya kujitoa *Aliyejitoa wa kwanza, wa pili wahudhuria * Iddi Simba ahamaki waandishi kuwako ndani * Bomani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MegaPyne
Na Daniel Mjema, Moshi, Mfanyabiashara wa mabasi yanayofanya safari kati ya Moshi na Kilema, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumpiga risasi dereva wa basi la Flora Coach kwa madai ya ugomvi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Zimbabwe to take mining stakes Mr Mugabe says the population should benefit directly from mining Peter Greste BBC News Zimbabwe's government has published new legislation that would force...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Hivi Hosea si alisema Ph.D yake alifanyia USA? Au aliacha kule na kuja kuanza upya UDSM. Maelezo aliyoyatoa kwenye tuhuma zake huenda yana utata. Jamaa ana Ph.D ya rushwa TZ na bado mambo ya...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
WanaJF waliojitoa na kutokuwa na imani na serikali ya JK, Hasara nitakuwa wa kwanza kutokana na yanayoendelea katika uongozi wake, na kuwa na washauri wabaya. Nimejitoa kuanzia leo.
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Ingawa taarifa ninazopata zinaonyesha kuwa kinachoendelea ndani ya CHADEMA ni mjadala mkali na wala sio mgogoro kama magazeti ya Mwizi na mkoloni Rostam Aziz yanavyoripoti nyumbani, bado kuna...
0 Reactions
67 Replies
10K Views
Naam zifuatazo ni baadhi ya wuote ambazo nimezitoa katika vyombo viwili tofauti (gazeti la majira na tanzania daima la mbowe) "Binafsi sioni umuhimu wa kuundwa kwa kamati hii, kwa ajili ya...
0 Reactions
86 Replies
11K Views
MegaPyne
Kwa habari nilizozipata sasa hivyi zinasema Meneja mkuu wa Tanesco Dr. Rashid Idrisa kabadili msimamo wake na kwamba hata jiuzulu tena. Habari zaidi zitawajia baadaye Stay tuned!
0 Reactions
100 Replies
13K Views
Posted Date::11/23/2007 Matatizo ya Tanesco, serikali yatupiwa lawama Ramadhan Semtawa na Patricia Kimelemeta Mwananchi UAMUZI wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), kuomba kupandisha...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Posted Date::11/23/2007 Mkurugenzi Tanesco abadilisha uamuzi wa kujiuzulu * Aandika barua kwa bodi kubatilisha * Kuzungumza na waandishi wa habari Jumatatu Na Tausi Mbowe Mwananchi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Na Aristostariko Konga Raia Mwema. Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe anawaona wanaombeza uteuzi wake kwenye kamati ya kuchunguza mikataba ya madini wanacheza na uelewa wake wa mambo...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Last updated : 14 Nov 2007, Kampala Museveni's witchdoctors cause embarrassment at State House Museveni believes and practices witchcraft and black magic and this is not new. We are told that on...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Ninataka niamini kuwa ni kweli kuwa CHADEMA kuna mgongano kuhusu uteuzi wa zitto kwenye kamati/tume/jinalolote ya JK ya madini. Kama hizi habari ni kweli, basi hii ni dalili nzuri sasa kuwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom