Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Tuliwaambia CCM haina kiongozi mwenye pure intelligence yaani AKILI NA UTASHI wa kubadili resources za Tanzania kuwa hela . Ni Majanga hilo Taifa. Huyu Biteko aliingia kwenye Uwaziri na...
9 Reactions
42 Replies
1K Views
Tanzania ya kesho haitajijenga yenyewe – inajengwa na sisi, vijana wa leo. Katika dunia inayobadilika kwa kasi, hatuwezi kuendelea kuwa watazamaji wa hatima yetu. Lazima tuamke, tutafakari, na...
0 Reactions
0 Replies
44 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameonesha heshima na kumkumbuka Profesa Philemon Sarungi kama mtu mwadilifu na mtumishi wa umma aliyeitumikia nchi kwa...
28 Reactions
116 Replies
5K Views
  • Redirect
Nimeshangaa sana na huu mpango wa kununua umeme kutoka Ethiopia. Mnannua umeme wakati mnazalisha zaidi ya mahitaji ya ndani maradufu. Kwa nini umeme usishuke bei? Maana tulitegemea Bwawa la...
0 Reactions
Replies
Views
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo kwenye hatua za mwisho za kusaini mikataba ya kununua umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini ili Mikoa hiyo ipate umeme wa uhakika...
17 Reactions
300 Replies
6K Views
Yeye ndie na hakuna mwenye mamlaka juu yake na uwepo wake unadhihilika bila shaka wakuu wangu na waungwana sana wana JF ( sio machawa). Wana JF amani ya Bwana na ikawe juu yenu popote mlipo kila...
2 Reactions
5 Replies
437 Views
Bila shaka hakuna asiyejua madhara ya TANESCO, iwe mjini au kijijini, awe kiongozi au raia asiye na cheo, awe kijana au mzee, awe msomi au asiyeenda shule kabisa, awe mwenye kiwanda au mmiliki wa...
39 Reactions
151 Replies
5K Views
Tanzania ni muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanz. Bara mtu ana huru wa kula wakati wowote kipindi cha ramadhani lakini Zanzibar hairuhusiwi na mtu akifanya hivyo kuna sheria ya kubana. Je...
0 Reactions
11 Replies
269 Views
  • Redirect
Tundu Lisssu alisema kwamba atahakikisha anaweka ukomo wa viti Maalum. Punde si punde nyinyiemu nao wakasema nao wamechoka viti Maalum. Siku zote Tundu Lissu yupo Mbele. Ni kama maji...
0 Reactions
Replies
Views
Mara nyingi viongozi wakigusiwa jambo hili hutoa wito kwa mashirika mengine ya umma kuongeza ubunifu na uzalishaji ili nao walipane vizuri. Kuna mashirika ya umma Kuna taasisi za umma Kuna...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Kuanzia saa 11 unusu jioni hii imepita mvua kidogo tu Arumeru-Arusha umeme umekata, jamani hii miundombinu imejengwa na nini? Hii ni aibu! Kwa hiyo gizani mtindo moja
3 Reactions
20 Replies
225 Views
Wakuu, Wameona wamtengee kabisa Tulia jimbo asipate tabu ya kusumbuana na Sugu, maana wanajua ataibika! ==== Halmashauri ya Jiji la Mbeya imependekeza kuanza mchakato wa kuchunguza na...
1 Reactions
11 Replies
625 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Wilaya na viongozi wengine katika serikali za mitaa kutoa taarifa mapema kama wana...
0 Reactions
20 Replies
865 Views
Nafahamu kwa Mada za Nyama choma ya Makonda kule Arusha ziko nyingi sana humu JF, % kubwa za mada hizo zikiwa ni za kusifia, hili la kusifia chakula cha Bure si geni kwa Wabongo kutokana na dhiki...
13 Reactions
69 Replies
2K Views
  • Redirect
Ccm yakubali mapendekezo ya kuweka ukomo wa viti maalum, mihula miwili kuanzia 2030.
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Kudumu Chama Cha Mapinduzi Tunakwenda na wakati Dalili za ushindi wa kishindo
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
TAARIFA KWA UMMA
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Nukuu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akifungua Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) Ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma, leo tarehe 11 Machi, 2025
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC) imefanya mkutano muhimu chini ya Mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan, kujadili masuala mbalimbali yanayohusiana na maendeleo ya chama na uchaguzi...
1 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom