Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Wadau naomba kujua bei ya cement ya Nyati kwa jumla kwa Dar. MNatanguliza shukrani.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
BASHUNGWA AITAKA TANROADS KUPANDA NA KUHUDUMIA MITI KATIKA MAENEO YA BARABARA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameuagiza Wakala wa Barabara (TANROADS) kuendelea kupanda na kuhudumia miti...
0 Reactions
0 Replies
281 Views
Swalamaa? Hasa kwa wakazi wa Dar, nyakati hizi za mvua kubwa ndio muda sawia wa kuangalia wapi ununue kiwanja. Kuna kiwanja nilionyeshwa mwaka jana hapa Dar ila nkatuliza Ili nisubiri kuona...
1 Reactions
4 Replies
726 Views
SERIKALI KUJENGA BARABARA NA DARAJA LA ZEGE - RUVUMA, KUUNGANISHA TANZANIA NA MSUMBIJI. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Serikali ipo katika hatua za mwisho ya kusiani mkataba na...
0 Reactions
4 Replies
691 Views
Tanzania na Korea Kusini Zakubaliana Kuboresha Mandhari ya Jiji la Dodoma Imeelezwa kuwa ushirikiano uliopo kati ya Tanzania na Korea Kusini umechochea kwa kiasi kikubwa utekelezaji wa miradi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waziri Mhagama Aagiza Huduma za Kijamii Zilizoathiriwa na Mafuriko Morogoro Zirejeshwe Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uraribu Mhe. Jenista Mhagama ameagiza kurejeshwa kwa...
0 Reactions
0 Replies
265 Views
"Kaka yangu Aloyce Kwezi amekuwa akinielekeza tatizo la maji hapa Usinge. Sasa Kwezi asipoongea itakuwaje. Mnatakiwa kumshukuru na kumpongeza sana, Mbunge wenu ni katika wabunge walio makini sana...
0 Reactions
0 Replies
345 Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amesema kuwa Serikali inakwenda kuanza ujenzi barabara ya Kibena - Lupembe (km 42) kwa kiwango cha lami ili kuufungua mkoa huo kiuchumi hasa kutokana na...
0 Reactions
2 Replies
737 Views
RAIS SAMIA AMEDHAMIRIA KUJENGA MADARAJA KUSIKOFIKIKA: BASHUNGWA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imejipanga...
0 Reactions
0 Replies
288 Views
Habari! Kuna eneo nmeoneshwa na rafiki angu bei nzuri kdogo. Sina uzoefu na ujenzi (sijawah kujenga). Baada ya kupaona kama sijaridhika napo japo bei ni nzuri . Nahofia kuna uwezekano pakawa...
2 Reactions
39 Replies
4K Views
Wakuu naombeni ushauri wenu nitumie mbinnu gani zirud kuwa mpya?
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Wachina wameleta mapinduzi ya uezekaji kwa aina mpya ya bati za plastic na sifa kedekede kama kupoza nyumba, kurecycle yakichakaa, uimara, kutovuja kupitia misumari, bei ndogo, kutunza hewa safi...
8 Reactions
38 Replies
10K Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameagiza kuondolewa kwa Mhandisi Mshauri LEA Associaties anayesimamia ujenzi wa barabara ya Kitai - Lituhi sehemu ya Amani Makoro-Ruanda (km 35) kwa kiwango...
0 Reactions
0 Replies
255 Views
Hizi nyumba mpya za tofali za bloku mbona kama zina kuta nyembamba sana? Zinaweza kuhimili uzito wa nyumba na mikiki mikiki ya hali ya hewa? Standard inataka ukuta wa nje wa nyumba uwe na unene...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Mlalo wa kawaida sio hii ya kwenda juu sana? Nisaidieni makadirio wakuu. Nyumba yenye size Square mita 76.5 sio milioni 76.
0 Reactions
4 Replies
782 Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali inatarajia kuanza kujenga upya barabara ya Songea – Njombe - Makambako kwa kiwango cha lami kutokana na barabara hiyo kuwa nyembamba na...
1 Reactions
0 Replies
342 Views
BILIONI 113 KUJENGA KM 50 BARABARA YA ZEGE KUELEKEA LIGANGA NA MCHUCHUMA. Serikali imeanza kutekeleza ujenzi wa barabara ya Itoni-Lusitu (km 50) kwa kiwango cha zege, ambayo itagharimu kiasi cha...
0 Reactions
0 Replies
438 Views
BASHUNGWA AMBANA MKANDARASI AVIC, ATOA WIKI TATU MITAMBO NA WATALAAM KUFIKA ‘SITE’ Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa wiki tatu kwa Mkandarasi wa kampuni ya China National...
1 Reactions
1 Replies
385 Views
WAZIRI BASHUNGWA AMBANA MKANDARASI CHICO, UCHELEWESHWAJI WA MIRADI 
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (Mb), amemuagiza Mkandarasi wa kampuni ya CHICO anayejenga barabara ya Makutano ya Ntyuka...
0 Reactions
0 Replies
328 Views
BASHUNGWA ATOA POLE, AAGIZA MAWASILIANO YA BARABARA DAR KUREJESHWA HARAKA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Eng. Godfrey Kasekenya kufika katika...
0 Reactions
0 Replies
351 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…