Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Natafuta chumba Cha kupanga maeneo ya boko basihaya, chasimba, tegeta dawasco na maeneo ya karibu na hapo. Nataka Cha 40k au 50k
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna kipindi nyumbani tulikuwa tunajenga nyumba ya familia, Ikaanza kila tukinunua sementi unakuta mifuko inapungua, kumbe kibarua akichanganya mchanga na sementi, anapakia mchanganyiko kwenye...
1 Reactions
4 Replies
924 Views
Wadau wa ujenzi mnaonaje ubora wa bati za Kiboko? Zina ubora unaokidhi?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kwanini nchi nyingine bei ya nyumba iko chini sana na nyumba zao ni nzuri sana kuliko Tanzania? Je, kupanga bei ya kuuza nyumba kupitia madalali wasio na ujuzi wala elimu yoyote ya ardhi na...
6 Reactions
32 Replies
2K Views
Mbunge wa Jimbo la Kaliua Mkoani Tabora, Mhe. Aloyce Kwezi ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Hassan Suluhu kwa kutoa fedha kiasi cha Shilingi Bilioni 1.162...
0 Reactions
0 Replies
728 Views
JIMBO LA IGUNGA Tumepokea Fedha kutoka Serikalini kwa ajili ya ujenzi wa Miundombinu ya Sekta ya Elimu kwa mchanganuo ufuatao; Tshs. 814,900,000/- za Ujenzi wa Shule Mpya za Msingi na...
0 Reactions
1 Replies
390 Views
Nimetafuta raman ya nyumba simple simple nimekutana na hii naomben ushaur kwenye hii ramani BAADA YA MAONI YA WATU NIMEKUJA NA UPDATES YA RAMANI YA PILI HII HAPA NAYO MNAIONAJE MSICHOKE WAKUU...
5 Reactions
54 Replies
3K Views
Wadau naomba mnisaidie ushauri ,nina kiwanja cha sqm 1000 nawaza nikiuze au nijenge apartment ya chumba ,sebule,choo na jiko !! Lengo la kukiuzaa nataka nibadilishe eneo nikanunue sehemu nyingne...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hawa mafundi kuna wakati wanatia hasara sana, anaweza kukupigia makadirio ya vifaa vya kujenga, aidha kubwa sana au ndogo sana kulingana na uhalisia. Unakuta umepigiwa gharama ya mifuko 50 ya...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Tunatoa offer ya urembo safi kwa mwezi mtukufu kama ifuatavyo .... Dirisha 30000 ...nguzo 40000 ... skirting 100000 ..arch ya baraza 10000 ... Arch ya ndani 70000 0719999526/0747618315 WhatsApp
1 Reactions
0 Replies
488 Views
Tunatoa offer ya urembo safi kwa mwezi mtukufu kama ifuatavyo .... Dirisha 30000 ...nguzo 40000 ... skirting 100000 ..arch ya baraza 10000 ... Arch ya ndani 70000 0719999526/0747618315 WhatsApp
2 Reactions
0 Replies
362 Views
Hivi ni kwamba fisha board ya kawaida ina chongwa hadi kuwa hivyo au kuna design maalum ya fisha board iko hivyo, au pvc board? ..
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Msaada tafadhari. Nyumba ambayo bati haiendi juu sana. Kimo ambacho ni normal na standard
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Wadau mnaweza toa maoni yenu kuhusu ramani hii.
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Uliza chochote kuhusiana na harakati za upimaji wa ardhi kiwanja au shamba na namna ya kupata hatimiliki.... Mtaalamu nipo na Kama una ABC khs ardhi uje tubadilishane mawazo hapa...atupokubishana...
5 Reactions
26 Replies
5K Views
Mambo yasiwe mengi wakuu. katika kujitafuta nimeona niweke vyeti pembeni niingie rasimi kujifunza fani ninayovutiwa nayo inayohusu mambo ya Gypsum design, wall skimming,perfic finishing and paint...
2 Reactions
6 Replies
821 Views
Habari wataalamu nauliza fremu za namna hii Zina bei gani?
0 Reactions
1 Replies
671 Views
Kwa nje hili dirisha ni kama kioo kabisa hivyo ndege akipita anajiona, sasa wengine wanakingonga kama wanapambana na dege mwe1nginee, wameweka mikwaruzo mingi nahofia wataweka na cracks. Pia ni...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…