Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Nimeipenda nyumba hii nikawaz nibadilishe iwe frem lakini huku madirisha ya mbele nayabadilisha kuwa mlango , jumla inakuwa na frem 3 . Buget yangu ya ujenzi mpaka kupaua bila finishing ni milion...
0 Reactions
6 Replies
828 Views
Wanajf habari zenu nna eneo langu nataka nianze ujenzi so nikaamua kutafuta karamani simple cha rooms tatu but nikaona nishare nanyi wadau nini cha kuongeza nini cha kupunguza kwenye ramani hii...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari wakuu ... Hapa tumepopanga nyumba inatatizo la earth rod, unatakiwa kubadilisha, Sasa nimezunguka dukani kuuliza naambiwa Kuna za 8000, Hadi 25000, kwa mafundi wa umeme ni earth rod ipi...
4 Reactions
58 Replies
4K Views
Habari, Nyumba imeezekwa takriban mwaka sasa, bati Gauge 28 ya Alaf, Tatizo ni kelele za bati pindi jua libapowaka na usiku likipoa ( thermal expansion noise). Nashindwa kuelewa, tatizo ni fundi...
1 Reactions
4 Replies
752 Views
First of all, heshima kwa wote waliojenga. Hoja zangu hazimaanishi kuwakosoa ila ni kutofautiana na mapendeleo. Mimi binafsi sipendelei aina ya ujenzi ufuatayo: ■ Uongezaji kimo wa nyumba kwa...
22 Reactions
54 Replies
7K Views
Kuna vitu ambavyo zamani kidogo vilikuwa vinafanyika katika ujenzi na sasa hivi vimeonekana ni vya kizamani na wengi hawavifanyi tena mfano 1. Kidirisha kidogo kutoka jikoni kwenda Dinning cha...
10 Reactions
50 Replies
8K Views
Naomba kujuzwa kuhusiana na bei ya bati tajwa hapo juu geji 28 futi kumi Kwa kampuni ya alafu au kiboko imara
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Wadau kwa yoyote anayeweza kunipa mawasiliano ya fundi mzuri wa kupaua anayepatikana Mwanza naomba namba tafadhali
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu habarini za asubuhi, Nashukuru Mungu nimemaliza kujenga boma na sasa nimebakiza kupaua km Mungu atajilaalia. Sasa nataka kupaua na bati za Alaf hasa zile zenye umbo km vigae. Naomba...
4 Reactions
40 Replies
16K Views
Wasalaam, Msaada kwenye tuta ili kuepukana na changamoto ya kuuziwa mbao zisizo na ubora kwa kuaminishwa kuwa zina dawa na baada ya muda mfupi wadudu waharibifu wanaanza kubungua mbao. Mwenye...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wadau. Naomba niende kweny maada moja kwa moja. Kitaalamu unaweza kushauri mjenzi atumie kipi kati ya mlango wa mbao au chuma Mfano wa mlango wa chuma huo hapo chini
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Hapo katikati pana uwazi wenye upana wa 3m hadi 3m
3 Reactions
41 Replies
3K Views
Ujenzi ni mgumu sana na unahitaji kujitoa sana na uvumilivu mkubwa . Jenga nyumba ambayo unaweza Kwa kipato chako. Narudia kipato chako sio kiwango cha pesa ulizokopa au ulizosave kwenye...
10 Reactions
63 Replies
5K Views
Nyumba hii tunafumua bati tunapiga kozi moja baadae tunaezeka kisasa fundi alipiga bati kizamani sisi kazi yetu hapa kufanya maajabu ukitaka kazi zetu Tumeokoka tunapiga kazi safi hatuna shida...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Wakuu ndoto yangu mwenyezi Mungu akinijalia uzima ni lazima nijenge kighorofa chumba kimoja tu! Kutema mate ukiwa juu aisee kuna raha yake! Kupiga bao ama kushangilia goli ukiwa juu! Wataalamu...
11 Reactions
83 Replies
7K Views
Habari yenu wakuu. Niko Arusha, natafuta mtaalam wa kukata mti mkubwa ulio karibu na nyumba bila kuathiri mazingira yaliyo zungukwa na mti huo ikiwa ni pamoja na fence na miti midogo chini...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Je? Umeshawahi kujenga nyumba kwa muda mfupi zaidi na kuhamia? Je, ilikuwa kwa muda gani? Njoo share uzoefu wako please! Mimi binafsi sijawahi hata kujenga choo!
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Wanachafua ukuta tu. Tuwafanyeje? Binafsi nimeamua nimewapiga picha na kuwapost hadharani waaibike sasa😒. Sio dawa? Dawa yao nn.....
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Naomba kuuliza hasa ukiacha urembo unafuu wa maisha ya kujenga uko wapi kwenye roof ya kawaida na zile za hidden?
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Nilimuamini sana anapiga kazi ambayo ata graduate wa civil anasubiri lakini huu ndio muandiko wake nimechoka.
0 Reactions
9 Replies
915 Views
Back
Top Bottom