Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Binafsi naamini sana kuwa na sehemu yako ya kuishi bila bugudha ya kodi wala maudhi ya wapangaji wengine. Mambo machacho kuhusu mimi 1. Niko under 30 2. Kipato changu ni kati ya 500k - 550 k kwa...
126 Reactions
297 Replies
56K Views
Mafundi na wazoefu wa ujenzi, kujenga fensi kwenye kiwanja cha 400 sqm nahitaji tofali za blocks ngapi? Na hela ya ufundi niandae kiasi gani? Kiwanja ni tambarare. Naomba mwongozo.
2 Reactions
21 Replies
16K Views
Kuna ka eneo kangu ka urefu wa 13M kwa 20M ,eneo ni tambarare kabisa ilaa naona katavamiwa na majirani maana ujenzi eneo hilo umepamba sana moto. Nataka nijue niandae Tofari ngapi Simenti mifuko...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Habari waungwana na wadau wa ujenzi. Nawajaribisha tushirikiane kujadiliana aina hii ya ujenzi kwa wataalam na wadau wa ujenzi wa aina hii....karibuni 1.Je una changamoto katika ujenzi wa nyumba...
20 Reactions
152 Replies
49K Views
Huwa napenda kupita mtandao wa Jiji.co.tz kuangalia nyumba na vitu mbalimbali. Nimeshangazwa na rangi ya baadhi ya nyumba za Mwanza. Ukipita humo utaziona. Huwa mnawaza nini watu wa Mwanza?
24 Reactions
61 Replies
7K Views
Habarini wadau Naomba kuuliza kwenye ishu ya kuvuta maji je unaweza kumalizia mwenyew baada ya mita 50 za dawasa Kwa kutumia fundi wako, maaan nnapoweka ni kama 200M na gharama zao Kwa huo umbali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeona design nyingi ya miradi ya serikali hasa majengo , ni ya hovyo hovyo na ya kitoto , design inapelekea jengo kuwa Baya na baada ya miaka miwili ya kupigwa jua jengo linaanza kupoteza mvuto...
9 Reactions
39 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu Nina kiwanja cha 20*20 hapa hapa Dar maeneo ya Tegeta Madare plan yangu ni kujenga nyumba kubwa ya vyumba vinne sebule daining jiko store. Lakini kwa sasa nipo na 7,000,000...
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Heri ya mwaka mpya ma great thinker!. Naombeni ushauri wa material za kupaua kama zatosha kwa nyumba ya sqm 179. Bati 140 ft 10 alaf Bati 10 za kofia Mbao 350 Wire Kech pc 10 Misumari bati 25kg...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Nahisi shida ni moja tu sisi wenye hela tunatamani kujenga kumpita fulani wakati asiye na hela hawazi anajenga vyovyote, anakwenda kisebule na chumba na kistoo na choo kisha anakuja kukupangisha...
26 Reactions
80 Replies
6K Views
Juzi hapa nilikua na ka project ka nyumba.sasa nikafika kariakoo.kununua bidhaa.za rangi.kufika pale nikapiga piga window shopping wee nikajua binder ni bei gani.duka la kwanza nikapata kwa...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakubwa katika bwana nahitaji good desing and very good economy ambaye anaweza kunipa hiyo mambo kama jaribio akiweza kuitimiza within budget nampa kazi nyingine ila awe mkweli kwangu uongo sijui...
0 Reactions
21 Replies
1K Views
Atakayeweka ramani nzuri nitamtaka anipe namba yake nimtumie laki anipe ramani kamili yenye vipimo nianze ujenzi. Nahitaji ramani ya nyumba ambayo haina kelele nyingi: vumba 4 viwili master, jiko...
3 Reactions
61 Replies
16K Views
nilipita sehemu mwaka juzi nikaona Ceiling nzuri kama hii. Nilipiga picha. Watalaam twambieni inahitaji makario kiasi gani cha pesa Sitting room kama hii. Fundi kama yupo tuanze kazi as soon as...
3 Reactions
42 Replies
5K Views
Wakuu mambo vipi nahitaji kudecoration sebule mwenye picha kali za decorations naomba atupie apa niweze kumuonyesha fundi wangu aweze kunijengea.
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Siku njema wana JF Kuna wakati unafika unaona kuendelea kulipa kodi kwa mama mjengo sio chaguo sahihi,, hivyo unachagua kuingia kwenye nyumba yako ikiwa bado haijakamilika. Je, uliingia kwenye...
5 Reactions
33 Replies
4K Views
Karibu mwezi na kitu baada ya mke wangu kuwa na homework ya kutafakari umiliki wa nyumba niliyojenga kwenye kiwanja chake sasa amefunguka na kusema atapendelea tuandike Majina yetu wote (Mimi na...
1 Reactions
8 Replies
668 Views
Duuh wajenzi tuna shida sana, Nimekwenda kununua cement Leo. Hardware 2 wakaniambia hawana cement. Ikabidi niende dukani Kwa mshkaji ninayemfahamu akaanza kulalamika kwamba hauzi sijui anataka...
1 Reactions
11 Replies
9K Views
Habari nahitaji Ramani ya Chumba kimoja sebule na jiko , iwe simple not complicated NB ukiwa maeneo ya Morogoro ni contact tuonane Naomba approximation YA HII NYUMBA YA CHUMBA KIMOJA SEBULE NA...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
UMEJENGA? Kipi unatamani kingekuwepo kwenye nyumba yako na kipi umegundua hakina mahitaji ya lazima lakin unacho? Let’s share ideas!
3 Reactions
49 Replies
5K Views
Back
Top Bottom