Kuna Wajumbe walipiga kura za siri kupitisha Rasimu inayopendekezwa jana na leo. Kama zimeshahesabiwa,tunaomba kujua matokeo hata ya awali. Wajumbe wa kura za wazi tumewaona,tunawajua na kuhifadhi...
Roho inaniuma sana kuona jinsi mchakato wa kupata katiba unavyoeuzwa geuzwa ili mradi tu watu flani wapate wanachotaka.
Mpaka sasa imeoshaonekana kwamba viongozi wetu wamefikia kiwango cha chini...
Nitakuomba ujibu maana upo humu.
Hivi unaposema umezunguka wananchi wakaomba Maji, Umeme, Barabara, shule na Zahanati ulimaanisha haya?
1. Wanaomba kwa maana miaka 50 hamjawapatia hayo mahitaji...
Kuna Habari Kuwa Mahakama Ya Waislam Imeingizwa Kwenye Katiba, Nawaonya Wajumbe Wakikristo Waliomo Kwenye Bmk Kutoipigia Kura Katiba Yote Kwa Sababu Kuipigia Kura Baadhi Ya Vipengele Halafu Kwenye...
wanzanzibar zaidi ya 25 wamepiga kura za siri. ili 2/3 ipatikane kura hizo ni muhimu sana.
utata unakuja kua kesho ndo matokeo yake yatatangazwa Je kura hizi muhimu sana kwenye historia ya nchi...
Nimemsikia kupitia ITV taafifa ya habari,akihutubia mkutano huko Tanga leo;
Nape: Je,mnataka katiba au maji?
Wananchi: Majiiiiiii
Nape: Mnataka katiba au barabara?
Wananchi: Barabaraaaaaa
Nape...
Rasimu iko tayari.Wapigakura wako tayari.Tayari kukubali.Tayari kukataa. Waliotoka nje waitwao UKAWA bado wana 'influence' kwenye upigaji wa kura. Mahakama ya Kadhi ilitajwa lakini ikaachwa. Haimo...
Muda mchache ulopita, nimemsikia captain Komba akichangia katika mjadala unaoendelea wa BMK, alichokifanya ni kumshambulia mwenyekiti wa iliyokuwa kamati ya tume ya mabadiliko ya Katiba, mbaya...
Watu wengi tulitarajia wajumbe wengi wa BMK hasa kutoka zanzibar pamoja na waislamu wangepiga kura ya hapana. Ninafatilia Bunge muda huu naona wengi wanapiga kura ya ndio​
SURA YA KUMI
MAHAKAMA YA JAMHURI YA MUUNGANO
SEHEMU YA KWANZA
MISINGI YA UTOAJI HAKI NA UHURU WA MAHAKAMA
12.3 IBARA YA153: Muundo wa Mahakama
(b) Ibara ndogo ya (2):
(vi) Kuongeza ibara...
Ni jambo lisilopingika kwamba CCM wamejipanga kisawasawa kuhakikisha akidi ya wajumbe inatimia bungeni ili katiba yao ipite bila kikwazo chochote. Hili suala liko wazi hasa ukizingatia kwamba CCM...
Mimi binafsi baada ya kumsikiliza mwenyekiti akielezea mchakato mzima wa upigaji kura za kupitisha rasimu ya katiba utakavyoendeshwa nimeingiwa na wasi wasi mkubwa ya kwamba unatoa mwanya mkubwa...
Ni wazi kuwa mh. Sitta na bunge lake wangejikita kujadili rasimu ya wananchi iliyo wasilishwa na tume ya jaji warioba; lisingeibuka swala la mahakama ya kadhi. kwani swala hilo halikuwamo kwenye...
Napatwa na mashakha pale ninapoona mchakato unaenda mwishoni na wajumbe karibu wanapiga kura !!!, japo najiuliza hv ni mzee 6 pekee ndiye anaewajua waliollenda "Macca", waliopo Hospital nk ambao...
mtu aliotuhumiwa ufisadi ya change rada anakuwa mwenyekiti ya uandishi kuhusu zawadi kwa viongozi sijalielewa nimeona kama limefunikwa hapo naona tunazidi kuboresha rushwa ufisadi kwa viongozi...
Suala la kura naliona halijakaa vizuri,nimemsikia sitta anawaambia kwamba kura za siri zisiandikwe majina ya wapigaji,je ndio mantiki yake? Na je hakuna utaratibu mwingine wa kufanya?kama...
So the final draft constitution for Tanzania is here with us, a document that is expected to propel this country forward through the next half century or so. It has been received with mixed...
Wakuu,
Nimeisoma "Rasimu ya Chenge" na kubaini kuwa Zanzibar imeruhusiwa kujiunga na "Jumuiya Yoyote ya Kimataifa" au ya "Kikanda!"
At the same time Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984 iliyofanyiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.