KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Wapendwa wazima Wandugu, hivi ni kweli kwamba iliyokuwa Tume ya kukusanya maoni ya wananchi, TUME YA WARIOBA haikufanya jambo lolote la maana? Ni kweli kabisa. Maana tangu nimeanza kufuatilia...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kukosekana kwa Waziri na pia mwanasheria Mkuu kujiondoa wote wakiwa wanaiwakilisha Zanzibar ,wajumbe walio wengi wameichukulia hali hiyo kama kujitoa kwa Zanzibar katika kutunga Katiba mpya kwani...
6 Reactions
25 Replies
5K Views
Ndugu wapendwa, Nianze kwa kuwatakieni siku njema ya Jumatatu. Dodoma kumekucha salama kabisa tofauti na siku zingine, leo hali ya hewa ni ya Mawingu, baridi na Manyunyu ya Mvua. Baada ya salamu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA MHE. SAMUEL SITTA Hakuna shaka kua hali inavo onekama mbele kiza kitupuuu, Katiba ni jambo la maridhiano na sio nguvu wala jazba kama anavyo fanya Mh...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Dodoma. Pendekezo la Rasimu ya Katiba kuwa wabunge walau wawe na elimu ya kidato cha nne limetupiliwa mbali na wajumbe wa Bunge Maalumu, baada ya Kamati karibu zote kulikataa. Kamati hizo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Katibu wa BMK Bw. Yahaya hamisi amewaambia waandishi wa habari leo kuwa thelusi 2 ya wajumbe wote toka pande mbili za muungano (Tanganyika na Zanzibar) imepatikana. Source: Televisheni ya...
0 Reactions
44 Replies
7K Views
KIKAO kati ya Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kimeshindwa kupata muafaka baada ya pande hizo mbili kuendelea kuvutana hadi jana jioni...
0 Reactions
156 Replies
23K Views
Kesho tutajua nini hatma ya mchakato wa katiba mbaya wakati rais atakapokutana na umoja wa katiba ya wananchi ukawa. Tunasubiri kitakacho tokea. ============== Wenyeviti na Makatibu Wakuu wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
CCT YAWAKANA VIONGOZI WA DINI BUNGE LA KATIBA Wakati huo huo, katika kile ambacho kinaweza kutafsiriwa kuwa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) imelivua nguo Bunge Maalumu la Katiba, ni hatua yake...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
HATUA ya kujiondoa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Othman Masoud Othman katika ujumbe wa Kamati ya Uandishi wa Katiba, huku waziri wake, Abubakar Khamis Bakari akiwa...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Serikali ya Tanganyika imeendelea kupingwa, ambapo wajumbe wa Kamati mbalimbali za Bunge Maalumu la Katiba, wamesema haiwezi kuwa na tija kwa Watanzania. Kamati nyingi kati ya 12 zilizoundwa kwa...
0 Reactions
73 Replies
5K Views
Kwa mujibu wa taarifa ya wawakilishi wa taasisi za dini katika bunge maalum la katiba iliyotolewa kwenye vyombo vya habari,bunge maalum la katiba linajadili rasimu tofauti na iliyopendekezwa na...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
ETI Hii katiba inayotungwa BUNGENI sikatiba ya CHAMA KABISA sio KATIBA YA WANANCHI,,kila nikifuatilia Vipengere vya Rasimu niliyonayo na Vipengele vya Rasimu inayotumika bungeni ni TOFAUTI...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Sina cha kuongezea .ila somo hapo kwenye heading linajitosheleza ,Ninachomshauri Mheshimiwa Sitta asiwe mnyonge ,WaTanzania wengi wanaelewa kilichotendeka kwani wengi wao wakilifuatia kwa karibu...
8 Reactions
46 Replies
5K Views
Rasimu ya Katiba yaendelea kuchanwa chanwa na MA CCM baada ya kukataa elimu ya kidato cha nne kwa wabunge. Najiuliza wana fanya hivi ili kuwabeba wakina LUSINDE walioishia darasa la saba au...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwishoni mwa mwaka 2010, wakati Jakaya Kikwete, akilihutubia Taifa kupitia vyombo vya habari kuwa anataka Tanzania iwe na katiba mpya, itakayolivusha Taifa hili kwa miaka 50 ijayo, wengi wa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Baada ya ubishani wa kisheria ulio dumu kwa muda mrefu mahakamani huku upande wa kubenea ukitaka mahakama kutoa amri ya kusitisha bunge maalum la katiba mpaka kesi ya msingi itakapo sikilizwa...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Shibuda aungana nao, awashambulia UKAWA kwa kususuia Bunge Kamati za Bunge Maalum la Katiba zinazoendelea kuwasilishwa bungeni, zimetoa taswira ya dhamira ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
BAADHI ya Kamati za Bunge Maalumu la Katiba zimependekeza Msajili wa Vyama vya Siasa nchini apewe nguvu na Katiba awe na mamlaka ya kufuta chama chochote cha siasa kinachokiuka masharti ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom