KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Wakuu salamu kwenu., nimekuwa nafuatilia kila mdahalo wa katiba uliopita ila kwa bahati mbaya naona nguli wa mambo ya katiba kaachwa najiuliza kwa nini waandaaji hawamualiki.? Mwenye taarifa anijuze
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hiki ni kikundi cha wajumbe wa chache sana kwenye BMK. BMK linaendelea vizuri kabisa hapo Dodoma kama tunavyo habarishwa na vyombo vya habari mbalimbali hapa nchini. Makundi mengi ya kijamii...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Dodoma. Kamati za Bunge Maalumu, zimekamilisha kazi ya kujadili na kuchambua Rasimu ya Katiba iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, huku ikiwa imefanyiwa mabadiliko makubwa tofauti na...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Endapo Mh. Rais Jakaya Kikwete atafanikisha mchakato wa kuandaa Katiba Mpya, na ikapatikana Katiba nzuri na muafaka wakati huu wa kipindi chake, basi atakuwa amejiwekea hazina (Legacy)...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mzee Baregu yupo EATV nw,, tumsikilize wakuu. Wanajamvi, Akihojiwa na kituo cha habari-Live. amejibu pia hoja ya kikao cha maridhiano wakati huu ni kwenda kukubaliana kuahirisha Bunge Maalum sio...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Nimeona jana kwenye luninga na nimesoma leo kwenye magazeti niliyobahatika kuyapata ya Mwananchi na tanzania daima mwenyekiti wa baraza hilo Mzee sita akihimiza maoni ya katiba yapelekwe kwake...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Hi to all I hönour each öne of you JF members My argument is grounded on the fact that if a President holds any leadeship position in political party being it senior/operational may pose a...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tanzania imeendelea kuwa ya matukio. Leo viongozi wa dini wako kimya juu ya Yale yanayoendelea Dodoma. Wanasubili hatua za mwisho, utasikia Mchakato haukuwa wa haki, serikali ilipuuza maoni ya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mwanzoni sikuamini niliposikia kuwa CCM wameandaa rasimu yao, lakini kwa sasa ni dhahili kuwa kilichosemwa kilikuwa sahihi. Ili kufanikiasha azma yenu naomba kuwashauri yafuatayo: 1. Wajumbe wa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
WANANCHI wengi wa Tanzania wanaunga mkono Rasimu ya Pili ya Katiba ya Tanzania; ingawa wanaunga mkono wabunge wanaoendelea na Bunge mjini Dodoma, utafiti mpya umeonyesha. Utafiti wa hivi karibuni...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
JUKWAA la Katiba Tanzania (JUKITA), limesema tatizo la mahudhurio katika Bunge Maalum la Katiba, limesababisha baadhi ya kamati za Bunge kuchelewa kuanza kazi au kushindwa kuendelea na kazi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama mmeangalia mahojiano ya leo star tv., unaona ni nani kaongea fact zaidi . Mada ikiwa ; vyanzo vya mapato. ( serikali mbili na serikali tatu).?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jaji Warioba amenukuliwa leo na gazeti la Raia Tanzania akisema kitakachopendekezwa na Bunge la Katiba Dodoma ni Katiba ya watawala na si Katiba ya wananchi, anatoa mifano juu ya kinachoendelea...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Mwenyekiti wa Kamati namba saba ya BMK, Brigedia Jenerali mstaafu Hassan Ngwilizi amesema kamati yake imekataa mapendekezo ya kuingiza suala la Mahakama ya Kadhi katika katiba. Ngwilizi ambaye...
4 Reactions
29 Replies
5K Views
Nchi yetu ni maskini sana, hatuna pesa za kutosha kugharamia mahitaji ya msingi kama vile afya, elimu, maji, umeme, ulinzi, mahakama n.k. Hivyo tungependa kuelekeza kila shilingi katika kusukuma...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Amini usiamini, Mhe. Umeijmaliza kisiasa! Kwishney! Napenda kukuhakikishia kwamba kwa viwango ulivyovionyesha katika bunge la 9 la JMT, wapinzani wako wangepata shida sana. Nimeangalia Star TV...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Hatimaye kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Ndugu Saed Kubenea kutaka tafsiri ya kimahakama juu ya vifungu vya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba,hasa vihusuvyo mamlaka ya Bunge Maalum juu ya Rasimu...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, kupitia kundi la 201, Injiania Pamela Maassay, amesema kuwa, uamuzi wa wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wa kususia bunge hilo, ulimsaidi...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Ndg wana jf, wote walioko bungeni hawana uhakika wa kupatikana katiba mpya lakini kwa vile wana maslahi binafsi wanachukuwa chao mapema.
0 Reactions
2 Replies
861 Views
Back
Top Bottom