Dodoma. Hoja kuhusu mgawanyo wa mapato ya muungano imeendelea kulitikisa Bunge Maalumu la Katiba na jana watendaji wakuu wa wizara za fedha wa muungano na Zanzibar pamoja na Gavana wa Benki Kuu ya...
Nimefuatilia ile rasimu mpaka nikawa nasisimka maana ilikuwa imeegamia kwa wananchi kwa kiasi kikubwa sana kwa jinsi ilivyokuwa kama isingetupwa wanasiasa wangekoma sio CCM wala CHADEMA. Mfano...
Wazee wa jimbo la biharamulo wamemuomba mbunge wa jimbo la biharamulo magahribi kwa tiketi ya chadema. Kuripoti jimbo la katiba hili kutoeleza migogoro ya ardhi .
Wakimtaka kuchangia sura...
Wanajamvi.
Wakati wananchi wanahaha kupata mlo wa siku moja kwa taabu,wabunge wa bunge la katiba wanalipwa sh 10,000/(elfu kumi) kwa kikombe kimoja cha chai kwa kila mjumbe.
Wanajamvi, Samwel...
Naona hivi ni vituko vya Tanzania...
2010 wapinzani walisema Elimu bora na bure inawezekana Sekondari.... Watawala CCM wakasema haiwezekani! Tena ilani yao wakasisitiza Elimu ya Sekondari...
Ni pale alipopelekewa maoni na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) akayakataa akidai kwamba eti taasisi hiyo SI YA MUUNGANO! Kwa hiyo Warioba alikusanya maoni huku akijua...
...jamani me bado sijaelewa hili bunge letu tumezoea kuliona likirushwa live sasa mbona kimya ? Kwa kulingana hali halisi iliyopo.. Juu ya mchakato huu muhimu wananchi tunahaki ya kujua kinacho...
Wadau,
Nimemsikia mzee Ngwilizi akisema wao wameamua zibaki serikali mbili ila wajue wenzetu wanajichagulia serekali na wana mambo yao wamekuwa wakitubagua hadharani na kutuchagulia rais kamwe...
CCM imekosa muelekeo wa kweli katika kumkomboa Mtanzania.Miradi ya maendeleo inayofanywa ni tone tu la maendeleo ukilinganisha fedha zinazokopwa kupitia migongo ya watanzania, kodi zinazotozwa...
Mweshimiwa Samwel Sitta na BMK kwasababu mumeona maoni ya tume ya Warioba hakutosha. Napendekeza muingize haki ya Watanzania kumiliki Bunduki ya aina yoyote. Nauhakika hili italinda haki zote...
madaraka ya raisi ndio msingi wa vurugu katika nchi nyingi, hebu jiulize kikundi cha watu wakiingia msituni huwa wanatafuta nini? mara nyingi ni kutokana na kuona nafasi nyingi ambazo raisi...
Mjumbe wa Bunge la Katiba, James Mapalala.PICHA|MAKTABA
Mjumbe wa Bunge la Katiba, James Mapalala ametoa siri ya kutokujihusisha na suala la upigaji kura katika kamati yake namba moja kwa...
Kwa mujibu ya matakwa ya wajumbe wa bunge maalum la katiba wanaopendekeza uwepo wa serikali mbili, kwamba kuwepo na rais na makamu wawili mmoja kama mgombea mwenza na rais wa Zanzibar awe makamu...
Akihutubia viongozi wa mkoa wa Morogoro leo, JK amesema katiba mpya haitapatikana endapo viongozi wa kisiasa wataendelea kuvutana!
Aidha amesema yuko tayari kukutana na viongozi wote wa...
WAZEE wa Mkoa wa Dar es salaam wamewaomba Umoja wa Katiba wa Wananchi (UKAWA) kurudi Bungeni ili kuendelea na mchakato wa majadiliano ya Rasimu ya Katiba Mpya yanayoendelea.-
-Wazee hao wamesema...
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika
Michael Sarungi na Grace Shitundu, Dar es Salaama
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kipo katika hatua za mwisho za maandalizi ya maandamano ya kupinga...
Kamati ya uongozi ya bunge la katiba chini ya Mwenyekiti Samwel Sitta hivi sasa ipo katika mkutano hapa mjini Dodoma kujadili yale yaliyojiri na ushauri uliotolewa na kamati kuu ya CCM iliyoketi...
Hii hoja ya kuipa zanzibar uhuru ili isimezwe ni hoja kongwe tangu enzi ya karume, ninavyomuona sitta anataka kujaza mambo kwenye katiba ya muungano ambayo kimsingi hayakuwa maudhui ya kuungana...
Kwa kuwa BMK wameamua kuvunja sheria ya mabadiliko ya katiba na kuvuruga mchakato wa katiba, na kwa kuwa pamoja na uvurugaji huo bado kuna hatari ya kupatikana katiba mpya mimi naomba tupewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.