Wakuu naomba kujuzwa kama muda wa kutoa maoni ya katiba bado unaendelea maana leo ITV wameonyesha wasanii wakipeleka maoni yao yaingizwe kwenye katiba.
Sijajua sheria ya mabadiliko ya katiba...
Hii inatokana na mifumo ya mabunge itakuwaje yeye adai Kama watajadili mfumo wa serikali 2 yeye atakaa pembeni Mimi nadhani wanasubiri wafike Wengi ndio waamini Kama watu wanataka serikali tatu...
wapo mbumbumbu wengi wa mambo ya utawala ambao wanawahadaa wananchi kuwa ni kupoteza mda na kodi za wananchi kuzungumzia uongozi au utawala wa nchi. hapa watanzania ndipo wanatakiwa kuwa makini...
Mjumbe wa Bunge la Katiba, Ali Mohamed Kessy ambaye pia ni Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM)
akiwatangazia waandishi wa habari kuunga mkono muundo wa serikali tatu uwepo katika Katiba Mpya, mjini...
Mjumbe wa Bunge Maalumu, Said Arfi.PICHA|MAKTABA
Na Sharon Sauwa, Mwananchi
Jumatatu, Agosti 25 2014 saa 9:24 Asubuhi
Kwa ufupi
Akizungumzia kesi hiyo iliyofunguliwa na Kubenea, Arfi...
Na Humphrey Polepole
Kwa ufupi
Ukiharibu Muundo wa Jamhuri kwenye Bunge utavurugakabisa.
Ukiharibu Muundo wa Jamhuri kwenye Bunge utavurugakabisa
Wakati Bunge Maalumu la Katiba likiendelea na...
Kwa hili nimpongeze Mh Mwigulu Lameck Nchemba kwa kusema kweli.nanukuu"UKIONA VIONGOZI WANANG'ANG'ANIA KUJADILI IDADI YA SEREKALI BADALA YA MAADILI YA VIONGOZI NA MAMBO YANAYOMGUSA MTU WA CHINI...
Makamu Mwenyekiti wa Bunge
Maalumu la Katiba, Samia Salum
Suluhu, amesema kamati namba saba
na nane zimeshindwa kupata theluthi
mbili, kutokana na uchache wa
wajumbe kutoka Zanzibar...
Ukisoma vizuri historia ya muungano. Hata karume hakuutaka ila hakuwa na namna ila kuukubali haya yanathibitishwa na Joseph Mihangwa HAPA alipokuwa akimuandika John Okello. Lakini pia hata kile...
Wakati Rais Jakaya Kikwete akishinikizwa na makundi mbalimbali ya kijamii yakimtaka kusitisha kwa muda Bunge Maalum la Katiba, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, amejiweka mbali kabisa na Bunge hilo na...
Baada ya jamaa wa UKAWA kususa (tabia ya kike) CCM imeamua kuvaa sura mbili ili kuwahadaa watanzania Wakurupukaji/ Mashabiki/Misukule ya zidumu Fikra za mwenyekiti. Sura hizo ni:
1. CCM halisi...
Wakazi wa Kijiji cha Letto kilichopo Wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, wamedai kuwa hawakuwahi kuiona Tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya kwenye kijiji chao na kata yao.
Wanajiuliza je wao...
Dodoma. Mjumbe wa Bunge Maalumu, Said Arfi amesema anakusudia kwenda mahakamani kupata ufafanuzi wa uhalali wa Bunge hilo kuachana na Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba na badala yake kufanya...
Kila kukicha Mamilioni ya shilingi hupanguka na kuingia kwenye mifuko ya watu wanaojiita Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba kama posho.
Picha nzima ya Bunge hili na Changamoto za chaguzi mbali...
Mjumbe wa Bunge Maalumu, Said Arfi amesema anakusudia kwenda mahakamani kupata ufafanuzi wa uhalali wa Bunge hilo kuachana na Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba na badala yake kufanya kile...
mchakato wa katiba mpya unaoendelea unaonyesha viongoziwengi ni vihiyo ambao hawakupata madaraka kutokana na uwezo wao wa kuongozabali walipata madaraka kwa ujanjaujanja kama kuwa na mtu wa...
Mwenyekiti wa Kamati Namba Kumi, Anna Abdalah, amesema Bunge siyo mwarobaini wa matatizo ya nchi kwa kutaka kila kiongozi wa kuteuliwa athibitishwe na Bunge kwani kufanya hivyo ni kugonganisha...
Katika hali ya mchakato wa Katiba unaoendelea Bungeni,UKAWA na Chadema wameshindwa kusoma alama za nyakati. Kwa hali ilivyo nawashauri kurudi bungeni ili kusaidi kuboresha mapendekezo yaliyoletwa...
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Ali Omar Juma, amesema hatua ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kueleza kuridhishwa na utendaji wa Bunge hilo wakati hakuna mwakilishi aliyechaguliwa kwa kura na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.