MAELEZO YA MGOMBEA
WA BAVICHA TAIFA
FRANCIS BONIFACE
MARWA
UTANGULIZI
Ndugu zangu watanzania,
awali ya yote niwashukuru sana, ninyi nyote mtakaobahatika kukutana na huu...
Wana jf,
Bmk limeendelea kupokea maoni ya wananchi wakati tume ya kupokea maoni chini ya jaji Warioba ilishavunjwa. Sheria ya mabadiliko ya katiba ipo kimya juu ya hili la kuendelea kupokea maoni...
Mlitutangazia kuwa kutakua na maandamano nchi nzima kupinga BMK, sasa mbona kimya? Jamaa wamebakiza siku chache kutoka Dodoma.Hebu fanyeni Fasta fasta tuandamane wandungu.
Taarifa ya Saed Kubenea kuhusu kesi ya kupinga BMK
Saed Kubenea akifafanua kitu mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani).
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
30 Agosti 2014
Ndugu...
*Adai mabilioni yalichangwa kuwapa wajumbe rushwa wasimchague kuingia Nec
Kizitto Noya, Mwananchi
Uamuzi wa Kamati Kuu ya CCM wa kuwadhibiti kwa mwaka mmoja makada wake sita waliobainika...
Mjumbe wa Bunge la Katiba, Hamad Rashid Mohamed amewataka wajumbe wenzake kufanya utafiti ili kuelewa iwapo ndoa zitakuwa salama watakapoenda katika mfumo wa asilimia 50 kwa 50.
Alisema hayo...
Wanasiasa wamechukua nafasi kubwa katika mchakato wa katiba kiasi cha kuhodhi mchakato mzima;
1.Mathalani Rasimu inasema kuwa Waziri asitoke miongoni mwa Wabunge halafu wanaojadili kipengele hiki...
Iringa
Waraka uliotolewa juzi na Jukwaa la Wakristo Tanzania wakitaka mchakato wa Katiba Mpya usitishwe, jana ulisomwa katika baadhi ya makanisa na sasa utasambazwa katika jumuiya ndogo za...
Mwenyekiti wa Bunge Maalum, Samwel Sitta, alisema bunge hilo lina mamlaka makubwa kuliko tume ya Mabadiliko ya Katiba. Amesema hata wajumbe wa bunge hilo wanaoendelea kupitia rasimu hiyo, siyo...
Iringa. Waraka uliotolewa juzi na
Jukwaa la Wakristo Tanzania
wakitaka mchakato wa Katiba Mpya
usitishwe, jana ulisomwa katika
baadhi ya makanisa na sasa
utasambazwa katika jumuiya ndogo
za...
Heshima Zenu Wakuu!
Kama heading yangu inavyosema hapo juu...
MIMI NI MUUMINI WA SEREKALI TATU...JE WENZANGU NI WAUMINI WA SEREKALI NGAPI?
MA-ENTARAHAMWE NADHANI HUU UZI HAUWAHUSU ILA...
Dodoma. Wakati Rais Jakaya Kikwete akikutana na viongozi wa vyama vya siasa vinavyounda Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) ili kuzungumzia mchakato wa Katiba, Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF)...
Kwamba waziri wa katiba na sheria wa Zanzibar hayuko kwenye BMK ni kichekesho.
Hiyo katiba mpya inayoandaliwa na ccm huko Dodoma itakuwa na uhalali gani wa kisiasa kutumika Zanzibar ambako...
wadau ni dhahili ccm wameamua kwa makusudi kuamua kukataa kusikiliza sauti za watanzania wanyonge katika katiba yao. kwa manguvu yao ya madaraka wamejifanya wao ni kama GOLIATI eti kwa kuwaona...
Mwenyekiti wa Tanzania Kwanza ambao ni umoja wa muungano wa vyama saba vya siasa ikiwamo CCM katika bunge maalum la katiba Ndugu.Agustino Matefu amesema leo kuwa UKAWA inatumiwa ili kuleta...
Hakuna atakaerudi labda aje kuchukua hela na mwisho aingie mitini si wameamua kura zipigwe mwisho ? Na udikteta wa CCM ndio umezidi kuwaweka ukawa mbali na bunge hilo .
Wananchi waliowengi wa...
Unaweza kushangazwa na hili lakini ndio ukweli wa mambo ulivyo. Kamati hii yenye wajumbe hawa wawili (Chenge na Dr Migiro) ambayo inaongozwa na Hamad Rashid Mohamed, imekubaliana kuanzishwa kwa...
CCM ni Chama kibaya sana sana na ubaya wao ni wa kuivuruga Nchi. Soma kwa makini na tafakari ni jinsi gani uzembe wa CCM unaweza kupigwa vita kwa pamoja ,wasiachiwe kabisa wafanye watakavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.