KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Wadau; Wengi wa wananchi wamekuwa wakilalamika sana kuhusu mwenendo wa Bunge la Katiba kuendelea ili hali ukweli ni kuwa kundi la wanaotetea maslahi halisi ya Wananchi (UKAWA) hawapo na pia...
3 Reactions
16 Replies
5K Views
Mwenyekiti wa Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila amesema ameanza kukusanya saini za Watanzania wanaopinga kuendelea kwa Bunge hilo ili kufungua kesi Mahakama Kuu ya Tanzania...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Na Daniel Mjema Dar es Salaam/Moshi. Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeanza kumeguka baada ya baadhi ya wabunge wake ambao ni Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kuunga mkono kauli ya Naibu Katibu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hiki kikosi cha Ukawa bado sikielewi vizuri kama kinatumiwa na Serikali ILI TUSIPATE katiba AMA kinatumiwa na Mataifa ya Nje ili KUVURUGA AMANI Maana wanadai maoni ya rasimu ya katiba...
0 Reactions
94 Replies
6K Views
Baada ya UKAWA kujitoa kushiriki BMK palikuwa na miito toka sehemu tofauti ya kuwataka kurejea humo lakini imeshindikana, sasa pana maombi (sijui kwa nani) ya kutaka BMK lisitishwe/vunjwa kwa kuwa...
0 Reactions
2 Replies
745 Views
Tanzania Daima SIKU chache baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amejibu akisema si busara kutumia vibaya...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Dodoma. Wakati kukiwa na malalamiko kwamba Bunge la Maalumu la Katiba linagharimu fedha nyingi za walipakodi, uongozi wa taasisi hiyo umetumia Sh142.56 milioni kukodi vipaza sauti kutoka Kituo...
0 Reactions
2 Replies
992 Views
Niliwahi kutupa mtama hapa ujiuzulu hukunisikia ,umefanywa babu jinga inajulikana wazi kuwa bunge lako la Katiba unaloliongoza halina na limeshapoteza muelekeo ,Raisi yupo Marekani anakula kuku...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwenye taarifa sahihi za wadhifa alionao Lukuvi kwenye bunge maalumu la katiba, atupashe habari. Nimeshitushwa na kauli zake katika tangazo linalotolewa na ITV, ambapo anategemewa kuwa mgeni...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wazalendo na wanamageuzi wenzangu, nitumie fursa hii kuwaasa wanaharakati Mama Ananilea na Bi Hellen Bisimba kuhusu kusudio la kuufikisha mchakato wa Katiba Mpya Mahakamani, Maana ukifungua...
2 Reactions
105 Replies
9K Views
Wana jf, mlioangalia mdahalo uliofanyika leo mchana kupitia ITV mtakubaliana na mimi kuwa ulikuwa wa bora na wakizalendo. Si vibaya ukarudiwa kuonyeshwa tena yaani recorded kwa mafufaa ya...
12 Reactions
125 Replies
13K Views
Rais saidia nchi hii yenye amani tele saidia kufunga hili bunge letu wanaotumia pesa zetu bure kwa janja ya bunge la katiba, bunge gani la katiba lenye wabunge takribani 50%? hizi hela zetu kweli...
0 Reactions
0 Replies
776 Views
na East African Eagle; Mkulima hahitaji serikali tatu anachotaka ni serikali moja itakayompa uhuru wa kumiliki ardhi na kulima popote na kuuza popote Mfanyabiashara anachotaka ni serikali moja...
0 Reactions
0 Replies
823 Views
Naibu Waziri wa Fedha, Dr Mwigulu Nchemba amesema kwamba hakuna fedha za kuwalipa wabunge wa Bunge Maalum la Katiba na ameomba bunge hilo lisitishwe. Nchemba alisema hayo wakati akiongea na...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Wakati huu ambao Bunge Maalumu la Katiba limeingia katika awamu ya pili ya kujadili na hatimaye kupitisha Rasimu ya Katiba mpya, tulitarajia kwamba wajumbe wake, wakiwamo viongozi wa Bunge hilo...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
0Tundu Lisuu na Slaa wamekuwa wakitoa vitisho hadharani kwa wajumbe wa bunge la katiba toka vyama vyao wakiwashinikiza wasiende bunge la katiba.Hii ni kinyume na katiba ya nchi ambayo iko juu ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nitangaze dhahiri kwamba katika uwasilishaji wa mawazo yaliyo huru kama raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mimi ni mmoja wa wanaovutiwa na kuukubali muundo wa serikali mbili. Ninazo sababu...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kificho alikuwa na hekima,Kificho alikuwa na busara.Tulimwona wote wakati wa kutunga kanuni za kuendesha BMK.Alikuwa na uvumilivu mkubwa,alikuwa mpole,alikuwa mnyenyekevu na aliweka maridhiano...
0 Reactions
1 Replies
868 Views
Nimepata tetesi kwamba bwana Samwel Sitta amekuwa katika hatihati ya kupata wana CCM kutoka kundi la 201 ili wasome maoni ya wachache. Mara baada ya maoni ya wengi kusomwa bungeni, na ili...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
TAREHE: 09/08/2014 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI YAH: KUOMBA RADHI KWA KUFIKA MAENEO YA BUNGE Jana kunabaadhi ya vyombo vya habari viliandika kuhusu mimi kufika maeneo ya bunge la...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom