KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Ni dhahiri kinachoendelea bungeni kwa sasa ni matumizi tu mabaya ya fedha za walipa kodi.Fedha zetu zinaliwa huku hatma ya shughuli yenyewe ikiwa shakani. Ni ukweli usiopingika kwasasa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika vitu ambavyo huwezi kutarajia ni kitendo kilichotokea jana cha mbunge wa viti maalum bi leticia nyerere kutinga bungeni na kusaini kitabu cha maudhuria kuashiria uwepo wake bungeni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kufuatia hutuba ya Mwenyekiti wa BMK leo Tundu Lissu ameandika haya yafuatayo kwenye ukurasa wake wa Facebook Mbali na Kulaani vikali kauli ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba Ndugu...
17 Reactions
66 Replies
7K Views
Nimekuwa nikiwasikiliza baadhi ya wanasiasa wa CCm wakisema “…Katiba siyo Mwarobaini wa Matatizo ya Wananchi…” Je kuna ukweli gani katika matamshi haya? Nijuavyo mimi ni kwamba katika nchi ya...
0 Reactions
0 Replies
944 Views
Siwezi amini ninachokiona ni kweli shubiri kalishwa au? Nashindwa niamini au nisiamini nabaki nikiduwaa na kushangaa kwani Nondo /jembe niiliyoitegemea imeshaingia shubiri...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
N chi yetu imesha kuwa kawaida kuongozwa na mawazo ya wajanja wanja na wapayukaji na tumepoteza uzalendo kabisa . Hivi sasa Tanzania Tumekubali kabisa kina LUSINDE , Maji marefu na na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Baada ya vikao vya jana kumalizika kwa amani na utulivu huku kukiwa na mahudhurio makubwa ambayo hayajawahi kutokea kwenye siku za awali wabunge wa bunge maalumu la katiba jana walimaliza kujadili...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
MAKUHANI WOGA Katika mapumziko ya Bunge la Katiba kabla ya kuanza tena Agosti 5, wananchi tulitegemea viongozi wa kiimani (Dini) kusimama na kutoa miongozo ya kweli na haki kwa wajumbe wa Katiba...
0 Reactions
1 Replies
787 Views
Amaa kwa hili la katiba mpya hakika ccm wanapigana kupitisha mambo yao yenye shabaha ya kuendelea kulinda maslahi yao binafsi na chama chao,hainiingii akilini hata kidogo yaani mchakato wa katiba...
0 Reactions
1 Replies
862 Views
Ukiijua historia ya mchakato wa Katiba mpya tangu ulipoanza inaweza kukusaidia kujua kwanini mambo yapo kama yalivyo sasa Kwanza, naamini Rais alianzisha huu mchakato wa katiba mpya kwa nia tu...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
KAULI NZITO ZA WAZEE "Katiba inavunjwa, Rais anachekacheka tu". Mzee Joseph Butiku. "Siku hizi hakuna UCHAGUZI, kuna minada tu, mtu yeyote mwenye pesa siku hizi anaweza kununua uongozi". Jaji...
14 Reactions
21 Replies
3K Views
Watanzania wenzangu, tutambue kuwa kinachoendelea kwa sasa huko Dodoma katika Bunge Maalumu la Katiba (BMK), ni Uhaini, unafiki, utapeli, ufisadi na Uzandiki mkubwa (subversion) unaofanywa na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
TAARIFA KWA UMMA YAH: KUTOSHIRIKI AWAMU YA PILI YA BUNGE MAALUM LA KATIBA. Tafadhali husika na somo hapo juu. Mtakumbuka kuwa Chama chetu kwa kushirikiana na vyama vingine vinavyoounda Umoja...
15 Reactions
67 Replies
8K Views
Heshima na wingi wa baraka ziwashukie wana JF wote Kuna sehemu nilipita huko Facebook nkakuta habari inayosema kuwa Bunge la Katiba limeahirishwa mpaka tarehe 2/9/2014 kuna ukweli wa hizi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Chama cha Mapinduzi mkoa wa Mara wameibuka na tuhuma na lawama dhidi ya mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba wakidai kuwa Jaji Warioba ni msaliti kwa Mwl Nyerere kwa kuwa Nyerere alianzisha...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Bunge la katiba bila makubaliano ni kupoteza muda, pesa na heshima ya bunge hilo. Hao wabunge 200 wa kuteuliwa hawata piga kura wengi wao Kama watajua wananchi wataipinga katiba hivyo baada ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katiba ni agano na mkataba kati ya wanadam na Mungu namna na jinsi wataka ishi ndani ya taifa lao,tena maoni ya kila mmoja lazima yaheshimike na hasa ya wananchi wa kawaida kwani wao ndio...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Si kuna hatua ya mwisho ambayo wananchi tutaamua? Sawa, hivi sasa mko kiwanja chenu cha nyumbani, mtakuja tu kwetu wananchi, tutawaonyesha ni nini chenye tunataka. Huku hatulali, siku 90...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni vizuri watu wa idara ya habari wakaandaa sms fupi,zikasambazwa kwa wananchi mikoani kupitia viongozi wa kanda au mikoa kupinga mchakato wa katiba,na zitoe hamasa kila mtu amtumie mwenzake,tuna...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
MM nikiwa mtanzania na mzalendo wa nchi hii nimemuona rais wangu KIKWETE kama shujaa sababu; 1. wakati wananchi tunalalamika juu ya mustakabali wa taifa letu kwann hatupati maendeleo kwa muda...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom