Hii habari ya UKAWA kusimamisha mgombea urais mmoja kwenye uchaguzi mkuu ujao imenikumbusha mistari hii ya Mshairi nguli kutoka Uganda Okot P' Bitek kwenye shairi lake la ''When the Buffaloes of...
Ukawa umeibuka dodoma na kuanza mikutano zanzibar, swali langu je vyama vyao vilikaa vikao gani kuizinisha muungano wa ukawa? Maana sijasikia baraza kuu la cuf, cdm wala nccr je muungano una...
Ndugu wana bodi habari za leo,
Nimeona niwadokezee hili ndugu zangu wa CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi kwamba muungano wao wa UKAWA ni sawa na virusi vya ukimwi ambavyo vinaathiri nguvu zao za...
Mbeya. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya, Godfrey Zambi amefichua sababu za chama hicho kushikilia msimamo wa muundo wa serikali mbili katika mjadala wa Katiba Mpya, akisema ni...
Jamani huyu rais wetu wa zanzibar anawadhifa gani katika bunge la jamhur ya muungano mbona simuonii kuzungumzia lolote juu ya shughuli zozote zinazoendelea bungeni iwe ni bajeti au rasimu ya...
Umoja wa vijana wazalendo Zanzibar kuwasilisha mswaada wa kura ya maoni kuhusu kuwepo au kutokuwepo muungano iwapo mchakato wa katiba mpya utushindikana.
Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA umekuwa tatizo kuu linalo isumbua CCM kiasi cha kuanza mikakati kudhoofisha jitihada zinazofanywa na umoja huu kivyovyote vile hata kwa kufanya makosa ya jinai...
Wadau,
Taifa hili maskini sana duniani limeshuhudia utawala mbovu, rushwa na ukandamizaji mkubwa wa haki za umma, mikataba mibovu kabisa inayolinda viongozi hovyo na waliojaa wizi wa Mali asili...
Ndugu, nimetoka kuwasikiliza kwa umakini wazee hapa canteen kwetu walikuwa wanazungumzia kuhusu muundo wa serikali, wamesema kuwa CCM haiwezi kukubali muundo wa serikali tatu hata kwa bunduki...
Hivii kwanini jamii inaumiza vichwa bila sababu kutaka ukawa warudi mjengoni?
Nawashangaa sana viongozi weeengi haswa maaskofu mashekhe napia viongozi wa vyama na serikali kubembeleza ukawa warudi...
Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amemtaka Rais Jakaya Kikwete kujitokeza hadharani kutafuta suluhu ya kupata mwafaka wa mchakato wa Katiba Mpya kwa kuwa hakuna mamlaka...
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amemtaka Rais Jakaya Kikwete kujitokeza hadharani kutafuta suluhu ya kupata mwafaka wa mchakato wa Katiba Mpya kwa kuwa hakuna mamlaka nyingine zaidi...
Wanajamvi ccm wanaeneza propaganda ya hatari kwa mustakabari wa taifa letu ya udini na ukanada dhidi ya upinzani.
Hii ni kwa sabababu CCM walishapoteza misingi imara iliyojengwa na waasisi wa...
Huu unaweza kuwa ushauri wa ajabu kuwahi kutolewa! lakini ni ushauri muhimu sana...
Kwa hakika umoja wa UKAWA ni umoja dhaifu wa vyama vya siasa uliowahi kutokea hapa nchini, lakini jambo la...
Nilibahatika kumsikia raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania na viongozi waandamizi wa ccm akiwepo waziri mkuu P. Pinda,hali kadhalika kusoma baadhi ya maoni na comment za wana ccm kupitia...
Ndugu wana JF,
Nilikuwa najiuliza maswali mengi sana,nguvu inayotumika kujaribu kuwarudisha au kuwaomba ukawa warudi bungeni ni kubwa sana,sina maana ya pesa tu but energy pia ya mtu ina count...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.