KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Kwanza inabidi tukubali kuwa CCM walifanya kosa kubwa saana la kuiba uchaguzi kishamba last year. Kupitia wizi ule ndo maana wazo la katiba liliibuka na kwa hali ilivyo sioni wa kuuzima huu Moto ...
20 Reactions
68 Replies
5K Views
Naendelea kuwasisitiza watanzania wenzangu, jitahidini kusoma Rasimu ya Katiba Toleo la Pili, nasema hivi kwasababu ili muweze kuona tofauti kati ya Rasimu na Katiba inyopendekezwa ni lazima uijue...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Habarini wakuu, Tangu mjadala wa wapinzani wengine kudai tume huru ya uchaguzi na wengine katiba mpya kuingia katika taswira mpya baadhi yetu tumeingiwa na mashaka. Je, kwa nini wasimamie kitu...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Katiba ni mwongozo au msahafu wa nchi uliotungwa na wananchi, ambayo ni sheria mama yenye msingi madhubuti wa kutoa mamlaka za kisheria zinazo akisi matakwa ya wananchi. Katiba ya Jamhuri ya...
5 Reactions
5 Replies
1K Views
Tunaposema ZITTO na CHAMA chake Sio WAPINZANI ni pamoja na Kuamua Kudai TUME ya UCHAGUZI badala ya KATIBA MPYA. KATIBA ndio kila Kitu hiyo TUME ya Uchaguzi Waitakayo kina ZITTO lazima IONGOZWE na...
10 Reactions
44 Replies
3K Views
SURA YA SITA MUUNDO WA JAMHURI YA MUUNGANO Ibara ya 60 Muundo wa Muungano a. Maudhui ya Ibara Ibara ya Rasimu ya Katiba inaainisha muundo wa Muungano wa Shirikisho la Serikali tatu, ambazo ni...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Nchi yetu hii ilifikia hatua nzuri sana ya watu kuwa huru kutoa mawazo yao,bahati mbaya baada ya Jakaya Kikwete kutoka madarakani tulianza kutunga sheria kali dhidi ya wenye mawazo kinzani. Wenye...
1 Reactions
0 Replies
628 Views
Wanabodi, Mada hii ni kutokana na kongamano la kujadili siku Mia moja za Rais Mama Samia Suluhu Hassan, Wasimamizi wa taasisi zote kwa kuzitaja TRA, Bandari, TCRA na Uhamiaji wamejitokeza kwenye...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Spika anajiuzuru anaandika barua kwa katibu mkuu wa ccm na sio Katibu wa Bunge.Katiba haioneshi chochote. Spika anapendekezwa na mwenyekit wa chama ambaye ni mkuu wa mhimili wa dola.Katiba...
0 Reactions
1 Replies
654 Views
Kipindi kirefu viongozi wa upinzani wameshupaza shingo kuhamasisha uhuni wa maandamano dhidi ya serikali halali ya nchi yetu. Nafikiri muda umefika sasa na najua viongozi wote wana watoto wakubwa...
2 Reactions
23 Replies
38K Views
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania Katiba mpya ndio mjadala mkubwa kwa sasa Lakini kama haya mambo ndio yenye gumzo kubwa basi uwepo wa katiba mpya ni swala la lazima na sio...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau kumekuwa na nguvu kubwa inayotumiwa na watawala kupitia jeshi la polisi kuwakamata wananchi wanaodai katiba mpya. Najiuliza kama wananchi walishirikishwa kutoa maoni na mapendekezo yao...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
MALUMBANO YOTE MSINGI WAKE MKUU NI KATIBA. Na Elius Ndabila 0768239284 Kumekuwa na majibizano na hoja nyingi zinazoibuliwa na baadhi ya watu Mashuhuri. Majibizano haya yamezua mijadala mikubwa...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Lazima kuweka maneno ambayo yanaamsha hisia za watu kuwa hil ni la kwetu na si la serikali kama wanavyotaka kufanya kuuteka tena mchakato wa katiba. Napendekeza 1. Wananchi Ndio wenye Nchi Katiba...
8 Reactions
17 Replies
1K Views
Wengi alipokabidhiwa kiti cha Urais Mama Samia tulipongeza uzuri wa Katiba tliyonayo hasa kifungu kinachoeleza Rais aliyepo madarakani akifariki Makamu wake anaapishwa kuwa Rais. Mimi naona haya...
6 Reactions
6 Replies
1K Views
Akiongea na waandishi wa habari Leo 11/8/2021 ametoa maelekezo mwenye halmashauri na kisha kukaribisha maswali. Moja ya swali ilikuwa Katiba mpya. Muuliza swali amejenga hoja kwa kubalance vizuri...
13 Reactions
166 Replies
9K Views
Wadau kati ya katiba iliyopo na tume ya uchaguzi tatizo kubwa ni katiba iliyopo Hata ikatokea Mh. Zitto kabwe akateuliwa kuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi atake asitake lazima atatii maagizo ya...
0 Reactions
3 Replies
646 Views
Walianza na kile walichokiita Kongamano la Katiba. Kongamano lilikuwa linatawaliwa na bendera za CHADEMA, na kuonesha kwamab ni movement ya CHAMA wala haina uhalali na mashiko mbele ya Watanzania...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa Katiba yetu hii mbovu ktk ibara ya 52 (2). (..)Rais atamteua mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi, kuwa waziri Mkuu (..) N.B. Kila kwenye (..) kuna maneno...
39 Reactions
99 Replies
8K Views
Binafsi naonelea ni vizuri zaidi kurekebisha Katiba yetu kuliko kuiandika upya. Sababu zangu: 1- Katiba ni waraka wa kihistoria hivyo ni vyema baadhi yake kuachwa kama ilivyo itukumbushe...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…