Hakuna haja ya kuendelea na mchakato huu kwani umeleta mifarakano isiyo ya lazima na pia umeibua siri nzito ambazo zina athari kwa amani na ustawi wa taifa letu.
Haikuwa sera ya ccm kutunga...
Hii ndio iwe slogan ya ukawa kwa upande wa Tanganyika. Haya mambo ya serikali mbili au tatu hayana impact ya moja kwa moja kwa watanganyika kwa sababu wengi wanadhani mambo ya zanzibar hayawahusu...
Ninaamini Rais Kikwete alikuwa na nia njema ya kuacha historia ya Kuandika Katiba mpya, lakini kwa bahati mbaya amezidiwa na Chama chake CCM
Rais wangu jk kuna watu upo nao ndani ya chama na...
Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA na UKAWA katika mkutano wa Aprili 30, 2014, pamoja na mambo mengine, alinukuliwa na gazeti la Mwananchi la Mei mosi, 2014 akiwaeleza wananchi wa Zanzibar kuwa...
Wanabodi.
Kanali huyu wa zamani wa JWTZ Abdulrahman Kinana amekuwa na tabia ya kwenda kinyume na matakwa ya Chama Chake na Mwenyekiti wake Jakaya Kikwete.
Nikifikiria anavyohutubia wanachama...
Tulio wengi wanaotaka mabadiliko nchini tunafurahishwa na movement zenu na tumepata tumaini jipya kuelekea mabadiliko ya kweli. Lakini tuna kila wasiwasi kutokana na uzowefu wa nchi hii pale...
Wana Ukumbi,
Kama ilivyo kawaida kwa askofu Kakobe kuota ndoto mbalimbali kuhusu mambo yanayohusu mstakabali wa taifa letu. Askofu Kakobe ameota ndoto nyingine ambayo inawahusu UKAWA na...
Wafadhilaka si wasaidaka ni wapundaka. Bi Asha Bakari
Zanzibar ingekuwa kama hong kong.Juma Duni
Mbowe na Jussa wanataka kuleta Ushoga. Mwigulu Nchemba.
Kwa tabia hii mhe mwenyekiti...
Kwanza Nianze Kwa Kutoa Onyo Kwa Wanasiasa Kutokana Na Mchakato Wa Katiba Unavyoendelea Bunge La Katiba Yatawatokea Puani Kwa Sababu Ya Mitazamo Yao Kuwa Mbele Kuliko Ya Wananchi.
V/S
Kitendawili cha kuichanganya CCM kuanza kuishiwa pumzi katika kuongoza Zanzibar imefika baada ya UKAWA kuanza kulegeza nguvu ya CCM kwa kuunganisha nguvu kwa vyama vikuu vitatu vya upinzani...
Fuatilia Link ya youtube umuone Mh. Moh'd Razza mwakilishi wa CCM kule Zanzibar alivyokuwa kwenye semina za makongamano kule Zanzibar kabla ya Bunge maalum la Katiba lakini Bunge la Katiba akaamua...
Naungana na wananchi wazalendo wa taifa ili,kuwapongeza [UKAWA] kimsingi nawapongeza,profesa Iibrahim Haruna Lipumba,ndg James Fransiss Mbatia,ndg Freeman Aikaeli Mbowe,Christoper Mtikila,na...
jumuiya ya uamsho zanzibar kwa kipindi kirefu kikundi hichi kimekua na nia ya kuikomboa zanzibar koloni la muungano. si support kuchoma makanisa au nyumba za wakristo na watanganyika, lakini mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.