KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Katika hali siyo kawaida Watanzania wamepeleka maslahi yao binafsi bila kujali maslahi ya nchi! Na bila kusahau kuwa wao ni mavumbi tu na katika mavumbi watarudi! Usikose kufuatilia bunge la...
0 Reactions
3 Replies
938 Views
Ni wakati wa kuahirisha semina kwa wabunge wa Bunge maalum la Katiba, mwenyekiti wa muda wa bunge hilo mh,Kificho alitoa tangazo linalowataka Viongozi na wabunge wa vyama vya Chadema,Cuf na Nccr...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Binafsi ninaamini kuwa wapo watu wengi sana ndani ya Chama cha Chadema ambao ni 'smart' zaidi yangu lakini mara nyingi huwa nashangaa sana juu ya maamuzi wanayoyafanya na huwa na-question kama...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Hivi watanganyika wenmzangu tatizo lenu nini? Kwa nini tuendelee kubebeba hii misumari? Tunafaidika nini na huu muungano ? Ni wakati umefika tubwage manyanga JITAMBUE!
2 Reactions
30 Replies
3K Views
Dodoma. Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) amesema ameupokea kwa furaha, uteuzi na uamuzi wa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta wa kugombea Uenyekiti wa Bunge...
3 Reactions
63 Replies
7K Views
WABUNGE na Wawakilishi kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamepongeza hatua ya kiongozi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo kueleza kuwa kanisa halikutoa...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Najiuliza so many question why in most cases watanzania tunapenda kucheza ngoma inayopigwa na CCM hata kwenye mambo ambayo hata hayahitaji kuyatizama beyond physical reality? Taking example hii...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Ndugu zanguni Naomba mjiulze Mtu mweusi asili yake wapi? Na muarabu asili yake wapi? Inakuwaje leo muarabu aje kudai uzanzibari wakati katokea yemen? Kwa nini wewe mtanganyika unakubali...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Lile vuguvugu lililoanzishwa na Wajumbe Huru (WAHU) la kutaka Samwel John Sitta kuwa Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge la Katiba limefikia pazuri.Sasa,karibu kila Mjumbe anamtaja Sitta kwa hili au...
2 Reactions
35 Replies
5K Views
Kitila Mkumbo Haya mambo mimi ndio yananishinda. Nimeshasema hili jambo la Katiba ni la jamii. Ni la kitaifa. Ni kwamba hatuwezi kwenda wote Dodoma kuiandika hiyo katiba na ndio maana inabidi...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wanawake, wataka kama mwenyekiti akiwa mwanaume basi makamu awe mwanamke,,,,,bunge limewakas moto hapa,,,,
0 Reactions
130 Replies
11K Views
Ndugu zanguni Uchadema na UCCM pembeni Naitwa CHRISTOPHER LUKOSI natopkea Kalenga Iringa Tanganyika ambako toka nizaliwe sijawahi kuona wala kusikia faida ya kuwa na kipande kinachoitwa...
0 Reactions
42 Replies
3K Views
KWA HILI CCM MMEZIDI ’’ IT’S A SHAME’’ Ni jambo la ajabu kuona watu tena viongozi wakituaminisha UONGO WA WAZI WAZI.Ni jambo la ajabu sana kuona mjumbe wa bunge maalumu...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau, kama mjuavyo ni kuwa, kuanzia chana jioni, bunge maalum limeanza zoezi la kupitisha kanuni za bunge hilo. Hii ni baada ya Rasimu ya Pili ya Kanuni hizo kuwasilishwa na Mwenyekiti wa Kamati...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari wanaJF, Kama tunavyojua kuwa leo tarehe 5/03/2014 kikao cha Bunge la Katiba kinaendelea,itakuwa ni vyema tukiwa tunajulishana hapa jamvini ili kuweza kusaidia wadau wengine ambao hawana...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Mimi nchi yangu inanishangaza sana. Mara nyingi huwa inaingia gharama kununua mitambo ya kisasa tena kwa majigambo makubwa lakini mara nyingi huwa haitumiki. Majuzi tuliaminishwa kuwa serikali...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Kumekuwa na mkanganyiko kutokana na views za watu tofauti kuhusiana na rasimu ya pili ya katiba ya Tanzania,Proffesor Issa shivji anasema kuwa rasimu siyo Msaafu mpaka isobadilike huyu ni moja wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
PANDU, MAHALU LISU SIMBACHAWENE MDEE MWL OLOCHU UMMY MWALIMU MNYIKA OLESENDEKA VICENT MBOWE MACHALIII LIPUMBA wengine tuwataje mtzamo wangu...
0 Reactions
6 Replies
995 Views
Nimefatilia sana semina hii/bunge hili la katiba, mambo madogo yanachukua muda sanaa na makubwa hawayaoni kabisa... wanarudiarudia mambo yaleyale na kupoteza muda mwingi sanaaa Wabunge hawa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tuesday, March 4, 2014. HabariLeo Kamati ya Uongozi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imempitisha Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, kwa kauli moja kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge...
0 Reactions
126 Replies
20K Views
Back
Top Bottom