KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Ni siku ya jumatatu siku ambayo tulitarajia kuanza rasmi kujadili kanuni za bunge maalumu lakini zoezi hilo halitafanyika badala yake tunaendelea kujisomea kanuni kwa siku ya leo hata kesho...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Kikao cha siku 2 cha NEC ya Chama cha Mapinduzi(CCM) kimemalizika na kutoa taarifa kupitia katibu wa Itikadi na uenezi wa chama hicho,bwana Nape Nnauye kuwa wamekubaliana kuendelea na msimamo wa...
0 Reactions
182 Replies
18K Views
Nimekuwa kimya nikisikiliza kila wadau wanapotoa na kujenga hoja zao za ama serikali mbili au serikali tatu; binafsi nakosa mantiki ya nini hasa wanachokitaka kutokana na hizo serikali; ila kama...
0 Reactions
0 Replies
805 Views
Posho ni upotoshaji wa Malengo Muhimu katika Rasimu. Mosi Muhimu katika Rasimuniwapongeze wale waote waliobahatika kuteuliwa kuwa wajumbe wa bunge la katiba na mungu awaongoze katika kila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KWA UFUPI ========== Hii ni mara ya kwanza kwa Sitta ambaye alikuwa Spika wa Bunge la Tisa kuweka wazi uamuzi wake huo. Mwingine anayetajwa ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali wa zamani na Mbunge wa...
2 Reactions
53 Replies
10K Views
Mimi ni Kijana, ninayoyazungumza,ninayoyafanya yana reflect uhalisia huo. Hivyo kwa wito wa Ujana najikuta nashawishika sana kuongeza umakini katika masuala yahusuyo vijana hasa kwenye Katiba. Ni...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Baraza la Vijana wa CHADEMA limejipanga kutumia wabunge wa CHADEMA, Vyama vingine vya upinzania, wajumbe wasio na vyama na wale wote wenye mapenzi mema na taifa ili kuhakikisha Ibara ya 44 ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nilikuwa na jiuliza kwa lipi kumekuwa na mgogoro wa kung'ang'ania muungano na zanzibar bila ya kupata majibu. Kwa mara ya kwanza nimefunuliwa macho na mzee mwenye umri wa miaka 102 wa zanzibar ...
1 Reactions
48 Replies
5K Views
Ndg wanaJF. Naomba mnijuze muundo was serikali mbili zilizoboreshwa ambazo serikali yetu inazipigia chapuo. Nimefuatilia mapendekezo hayo ila sijawahi kuona popote namna muudno huo utakavyokuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
"Katiba mpya itaje wazi Ofisi ya Rais wa Serikali ya Muungano na Ikulu ni Dodoma, na Ikulu Serikali ya Tanganyika itakuwa Dar Es Salaam" Rasimu ya pili ya Katiba Mpya inapendekeza kuwapo kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Umofia kwenu wanajamvi. Natumaini wote mmesikia nguli wawili wa siasa za Afrika Dr. Robert Gabriel Mugabe na General Yoweri Kaguta Museveni wakiilaani vikali dunia ya magharibi kwa kutaka...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakati Bunge Maalum la Katiba likikutana kwa takribani nusu saa tu jana huku wajumbe wakiendelea kulipwa mamilioni ya fedha za kodi za wananchi, baadhi ya wajumbe wa wamelalamika na kupinga...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hakika bunge hili maalum ni la waunguja na wapemba. Sisi watanganyika ndo tunaongoza Tanzania ndani ya serikali mbili, Kule umoja wa mataifa haikuna bendera ya ZANZIBAR hivyo basi serikali yenu ya...
0 Reactions
0 Replies
721 Views
Inasikitisha viongozi wakuu wa CCM kushindwa kutoa tamko kali juu ya madai ya nyongeza ya posho. Huu ni muendelezo wa viongozi na wanachama kutokuwa wazalendo hizo kutaka kujinufaisha wao binafsi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kuna maaskofu wanadai walipeleka majina ya wajumbe wa katiba kwa raisi ili wateuliwe.Swali ni je kikao cha kuteua majina hayo kilifanyika wapi na lini? Waliokaa kupendekeza majina hayo ni akina...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nakua kama naota vile, sijui ni kweli au naota mchana jamani, eti Pandu Kificho mwenyekiti wa muda wa bunge maalum ameinda kamati ya kuchunguza kama malipo ya laki tatu 300,000 wanazolipwa wajumbe...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu, Katika kupata ufafanuzi na tafsiri sahihi juu ya mipaka na mamlaka ya bunge maalumu dhidi ya iliyokuwa tume ya katiba katika uandaaji wa rasimu ya katiba,bila shaka tunahitaji msaada ya...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema Bunge Maalumu la Katiba,litatekeleza majukumu yake kwa kufuata Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na si...
7 Reactions
138 Replies
10K Views
Tumieni wingi wenu Bunge la Katiba kadiri mnavyoweza. Chagueni Mwenyekiti mumtakaye. Mwisho wa sarakasi zenu upo. Tutawaadabisha katika KURA za kuidhinisha KATIBA na kura za 2015 kwa Katiba yoyote...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mwandishi Wetu Toleo la 339 19 Feb 2014 Wataka pia Tume ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom