KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Katika katiba mpya itafaa sana kama kutabainishwa ukomo wa mikataba inayosainiwa na viongozi wetu akiwemo RAISI, WABUNGE na WENGINEO. Itakuwa beneficial sana kama mikata wowote ule usipozidi miaka...
0 Reactions
0 Replies
642 Views
Kutokana na taarifa za ikulu kuwa raisi atasaini mswada wa katiba mpya, majina ya chenge na sitta ndo yanatajwa zaidi katika kinyanganyiro cha uspika. Na kmbi rasmi bungeni ni cuf kutokana na kuwa...
0 Reactions
111 Replies
16K Views
Nimefika Dodoma tangu wiki iliyopita mwanzoni na nimekuwa nafuatilia mwenendo wa bunge la katiba. Watu wamekuwa wakijiuliza ukimya wa chenge kuthibitisha kutaka kugombea uenyekiti wa bunge kama...
3 Reactions
40 Replies
4K Views
Hili limesemwa na wengine na limesemwa vizuri na Prof. Shivji kwamba Bunge la Katiba lina madaraka ya kuweza kufutilia mbali rasimu ya Katiba ya Tume ya Warioba ambayo kimsingi ni mahali pa...
15 Reactions
167 Replies
13K Views
300000 haitoshi per dy?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WanaJF, Kamati iliyoundwa kushughurikia kanuni za bunge maalumu la katiba, pamoja na mambo mengine, leo imependekeza SIWA MPYA kutengenezwa mahususi kwa ajili ya bunge hili la katiba. Ndugu...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Shibuda amesema msimamo wake ni kuwapo kwa Serikali mbili, huku akisisitiza kuwa ilipaswa wajumbe wa bunge hilo wapewe elimu ya ufahamu ya kazi yao...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kuna mashauri yaliyofikishwa mbele ya mahakama na kufikiwa mamuzi(hukumu) kwa mfano wezi wa mabilioni ya feha za (EPA) mahakama iliwatia hatiani na kuhukumiwa kifungo leo tunaashuhudia mhe...
0 Reactions
0 Replies
964 Views
Pamoja na nia Nzuri ya Raisi kukubali kuanzishwa kwa mchakato wa Katiba Mpya bado kuna wingu zito la upatikanaji wa katiba hiyo kabla ya mwaka 2015. Swala linaloonekana kuwasumbua sana CCM ni Kuwa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Zanzibar. Mjumbe wa Bunge la Katiba kupitia Chama cha Allience for Tanzania Farmers Party (AFP), Rashid Yussuf Mchenga amevuliwa uanachama kwa madai ya kughushi saini ya Naibu Katibu Mkuu wa chama...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Uzoefu wetu wa muda mrefu umetuonyesha pasipo shaka kwamba mambo mengi yanayotendeka Tanzania hayawezi kutendeka katika nchi nyingine. Tanzania imekuwa taifa la...
8 Reactions
18 Replies
3K Views
Posho Bunge Maalumu la Katiba kuwa 500,000 kwa siku. Habari zilizoandikwa na gazeti la Mtanzania la Leo kwamba Kamati ya kufuatilia posho za wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba imependekeza kwa...
11 Reactions
200 Replies
26K Views
Huu ndio ujumbe wa siri ulionaswa ukisambazwa kwa baadhi ya wajumbe wa tume ya katiba: "Bila laki 5 hakuna ku-support hoja ya serikali mbili. Tuunge mkono hoja ya serikali tatu!"
3 Reactions
33 Replies
4K Views
Kituo cha television cha ITV,sasa kinarusha LIVE,Uzinduzi wa kampeni ya uelewa wa rasimu ya katiba
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam wana jamvi, Nikiwa miongoni mwa watz wanaohitaji katiba mpya na walioshiriki kutoa maoni ya mapendekezo ya rasimu ya katiba,ni meona ni vizuri niwakumbushe machache wajumbe wa bunge la...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wizara ya Fedha imepigilia msumari maombi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ya kutaka waongezewe posho na kusema anayeona ameacha kazi inayomlipa zaidi kwenda bungeni afungashe virago na...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
MUHUNGANO SIYO UTENGANO Siyo siri pamoja na kuwapo kwa tafsiri na aina tofati ya miungano duniani kote miungano yote yenye mafanikio ni ile iliyoweza kuzaliwa na kukua kupitia tafsiri na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana janvi kinacho endelea Dodoma kuusiana na bunge la katiba, kinaanza kutia shaka na sintofahamu, ndani ya vichwa vya baadhi ya watanzania mimi nikiwemo, kuna kila dalili kanakwamba serikali...
1 Reactions
2 Replies
990 Views
Salaam wana jamvi, Kumekuwa na tetesi kuwa waziri wa Afrika Mashariki na spika wa zamani wa bunge la katiba mh. Samwel Sitta ni miongoni mwa wanaotaka kugombea uwenyekiti wa kudumu pamoja na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndugu wadau, Kwa miaka mingi sasa sekta ya AZISE (NGOs) inazidi kukua. Lakini fursa za ufadhili kutoka nchi zilizoendelea zinazidi kupungua. Umaskini miongoni mwa wananchi bado ni mkubwa, huku...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom