KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Watanzania wenzangu, tangu tume ya Warioba kutangaza rasimu ya katiba wengi wamekuwa wakilalamika kuwa maoni yao hayakuwa ya kweli kuhusu aina ya Muungano. baada ya kuona hilo nimefikiria nikaona...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
KAULI ZA WANASIASA JUU YA RASIMU YA PILI YA KATIBA. Nimetafakari kidogo kauli za wanasiasa juu ya mapendkezo yaliyomo katika rasimu ya pili ya katiba, Nimeona ni kama vile Rasimu ina ibara moja...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Anaendelea na kipindi now. Anasema baadhi ya watu wanaona serikali mbili kama ushirikina au dogma ya kila kitu katika tanzania kitu ambacho sio sahihi
3 Reactions
79 Replies
9K Views
Mimi bado najiuliza, mathalani kipindi kile huyu mzee mwenye kifimbo bado yupo. Halafu huyu jamaa aliyejishika kiuno kushoto angepewa kazi kama aliyopewa karibuni ya kukusanya maoni ya rasimu ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau, Rasimu ya pili ya katiba mpya imejikita kwenye katiba ya serikali ya Muungano kama muundo wa serikali utakuwa wa serikali tatu. Je ikitokea muundo wa serikali tatu ukakataliwa, nini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu; Maoni yangu ktk katiba mpya ni kwamba naomba katiba yetu ijayo imtambue second lady,third lady au fourth, fifthy lady e.t.c kama watakuwepo ili imani inaporuhusu kuwa na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
SABABU TANO ZA EDWARD LOWASSA KUWA RAISI 2015, HIZI NDIZO SIFA ZAKE Niliwahi kutoa ahadi kuwa nitaweka sababu nzito Tano ambazo mimi binafsi naziona zinafaa sana kumtathmini Edward Lowasa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila anatarajia kufungua kesi Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga kuendelea kwa mchakato wa mabadiliko ya Katiba Mpya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada yakufanya utafiti na kuchambua mazingira yaliyosababisha Tanganyika na Zanzibarkuungana, hasa kutokana na mvutano wa ukomunisti na ubepari katika enzi za vitabaridi, ambapo Zanzibar iliitwa...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Na Salim Said Salim NINAKUMBUKA nilipokuwa mdogo kila tulipokuwa na mchezo wa kandanda na timu nyingine ya mtaani, uwe wa kugombea kikombe au wa kirafiki, tulikuwa tunalishana yamini (kula...
0 Reactions
1 Replies
923 Views
Mbunge wa jimbo la uchaguzi Bukoba Vijijini amesema CCM watapambana kuhakikisha kuwa hakuna atakayefurukuta kupenda kuleta serikali tatu. Serikali mbili zinaepusha vita kama izilivyo nchi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana jopo! Ni furaha yangu kuwapo tena ndani ya jamvi hili la wafikirio chanya kwa mda mrefu kuliko wafikirio hasi..baada ya kupitia majarida,na maandiko tofauti katika vyombo tofauti...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mfumo wa muungano wa serikali tatu. Je, ni kuimarisha au kudhoofisha muungano ?watu watakuwa wakilumbana itv saa tatu tufuatilie kwa pamoja wakuu.
0 Reactions
47 Replies
4K Views
Wazanzibar ni watu walalamikaj sana kuhusu muungano huu wa serikali mbili nashangaa kusikia sasa wakianza kupaza sauti kukataa mapendekezo ya serikal tatu na kutaka kubak na serikali mbili . Watu...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Mheshimiwa Asharose Migilo katika ahadi zake za kutekeleza akiwa waziri wa sheria na katiba amesema atahakikisha katiba inapatikana kama ilivopendekezwa na wananchi wengi, hilo halina ubishi kwani...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo hii katika kipindi cha ITV cha malumbano ya hoja,wanajadili hoja inayouliza, mfumo wa muungano wa serikali tatu.Je,ni kuimarisha au kuudhoofisha muungano? Cha kushangaza, karibu asilimia 99...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Baada yakufanya utafiti na kuchambua mazingira yaliyosababisha Tanganyika na Zanzibarkuungana, hasa kutokana na mvutano wa ukomunisti na ubepari katika enzi za vitabaridi, ambapo Zanzibar iliitwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nionavyo mimi wazenji wanataka haki ya kujitawala na kujisimamia katika mambo yao na ustawi wao kwa ujumla, nadhani hili ndilo lililopelekea mpaka sasa kuunda tume za kushughulikia mambo ya muundo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kadiri ya nilivyosoma mpaka Sura ya Nane, nimeona kuna Ibara kadhaa zinapaswa kufanyiwa marekebisho ili kuwezesha utekelezaji bora wa Katiba, na mustakabali bora kwa Watanzania. 20.Utekelezaji...
0 Reactions
2 Replies
949 Views
Wanajamii, Watu wamekuwa wakitoa mawazo yao kuhusu aina ya serikali itakayotuongoza kwa miaka kadhaa ijayo. Watu wametoa maoni ya serikali moja (Tanzania bila ya bara au Zanzibar), mbili (Kama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom