KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Hapa tumeonesha ni jinsi gani sisi Waznz tuliowengi chaguo letu ni "mkataba" huu ambao unaweza kutuvuusha kwenye hii katiba mpya, nadhani hili kwa vingozi wetu wa serikali ya CCM wanaliona ni zito...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Inafurahisha na kutia moyo sasa kuona kwamba ndugu zetu wa Bara kwa mujibu wa Rasimu hii ya 2 wamefumbua macho na kufahamu identity yao kurudi katika jina lao la awali TANGANYIKA badala ya...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
wakati mwenyekiti Jaji Warioba akikabidhi rasimu ya katiba kwa mh Rais kikwete jana na kuonekana wazi kuwa asilimia kubwa ya wananchi wa Tanzania wakitaka serikali tatu,leo baadhi ya wenyeviti na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Vipo vitu vichache ambavo sijavipenda katika rasimu ya pili ya katiba mpya lakini kwa zaidi ya 75% iko vizuri, moja kati ya vitu nilivyovipenda ni kwamba kama ikipita basi angalau tunaweza kupata...
1 Reactions
47 Replies
5K Views
Mchanganuo wa takwimu hizi unaonyesha kuwa kwa upande waTanzania Bara, 13% walipendelea Serikali moja, 24% walipendekeza Serikali mbili na 61% walipendekeza Serikali tatu. Kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tayari rasimu ya pili ya katiba imesha toka na Rais amesha kabidhiwa tayari,kwa ajili ya kuandaa bunge la katiba mapema katikati ya mwezi huu lakini tayari vyama vya siasa vimeshaanza kuuteka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
sijafanikiwa kuipata, Kwa wale walio pata na kuisoma Rasimu ya 2 inasemaje swala la mgombea binafsi naomba msaada wenu
0 Reactions
11 Replies
2K Views
katika sehemu ya sita, Masharti ya Mpito ya rasimu ya katiba, Inasema kutakuwa na muda wa mpito utakaoisha tarehe 31/12/2018.Katika muda huo kutafanyika maandalizi muhimu ya utekelezaji wa katiba...
0 Reactions
2 Replies
950 Views
Naomba wanajamii niwasilishe mada hakika kunamambo yananikera sana hadi hii leo lakini kwa waliopitia rasimu wanaweza nisaidia pia ktk hili Tanzania inahitaji mabadiliko ktk kila nyanja hususani...
0 Reactions
0 Replies
992 Views
Ndugu wanajamvi nimeipitia Rasimu hii karibu kurasa zote sioni kifungu wala ibara ya inayomruhusu mshirika wa JMT kujitoa kwenye muungano iwapo ataamua kujitoa kwa sababu zao? Nisaidieni ndugu.,
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ukatili uliofanyika kwenye operation tokomeza ni mbinu iliyosukwa kiufundi na mtandao waa majangili. Mbinu hii wamesuka kiufundi wakiwatumia viongozi wa operesheni hiyo. Na kati ya mbinu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii Rasimu ya katiba imejaa ubaguzi kwanini mtu wa darasa la saba asigombee ubunge Warioba kama jaji unasimamiaje maamuzi ya kubagua watu ubunge nikazi ya kisiasa haihitaji taaluma Tuungane...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Kuna vuguvugu kubwa la kisiasa linaloendelea nchini ambalo lengo lake ni kuhakikisha kuwa bunge la katiba halipitishi rasimu ya katiba! Ili rasimu ya katiba ipitishwe kunahitajika theluthi mbili...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Sina mengi lakini je, kuna yeyote kati yetu ameshaipata draft ya katiba mpya. Turushieni mlio nayo.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
RASIMU YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ________ YALIYOMO ______ Ibara Kichwa cha Habari UTANGULIZI SURA YA KWANZA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kwa wale wenye taarifa zaidi na za uhakika ,nini hatma ya mgombea binafsi ndani ya rasimu mpya ya katiba.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hii ni taarifa ya Ikulu ya hivi Punde TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Taasisi mbali mbali za kijamii, vyama vya kitaaluma na vyama vya siasa vipatavyo 50 hadi leo, Jumanne, Desemba 31, 2013...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
ukipitia vipengele vyote zanzibar inatambulika kama jamhuri ya watu wa zanzibar tanganyika inatambulika kama jamhuri ya tanganyika swali ni kwamba mbona tanganyika aijitambulishi kama...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba,bwana Deusi Kibamba amesema kuna njama zinafanywa ili Bunge la Katiba lisionyeshwe "live" kwa wananchi. Bwana Kibamba amesema jambo hilo halikubaliki...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Rais amekuwa akisisitiza sana kama katiba mpya haitapatikana basi ya zamani itaendelea, tunajua wapo watu wengi ndani ya utawala hawataki katiba mpya wanaweza kutuletea kitu cha hovyo ili...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom