KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Muundo wa Muungano: Tunatafuta Haki, Usawa au Ustawi? July 22, 2013 Katika siku za karibuni baada ya kuzinduliwa kwa Rasimu ya Kwanza ya Katiba ya Tanzania, pamekuwepo na mjadala mkubwa kuhusu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Zanzibar kesi inayotaka Muungano waTanganyika na Zanzibar ufutwe imefunguliwa katika Mahakama Kuu yaZanzibar. Kesi hiyo iliahirishwa jana MahakamaKuu ya Vuga mjini hapa na Mrajisi wa Mahakama Kuu...
1 Reactions
46 Replies
5K Views
"Katiba ijayo lazima sasa iondoe kinga kwa marais ili mtu yeyote aweze kumshtaki Rais na hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa," Mateo Qaresi (July 2013).
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu JF, Amani iwe Nanyi Kuna watu wameshaanza tayari ,nina uhakika watu hawa wanatumiwa. Wanapinga Rasimu ya Serikali tatu kwa kigezo cha Gharama. Eti Nchi itakuwa na Gharama Kubwa ku Run na...
4 Reactions
45 Replies
4K Views
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Deus Kibamba akizungumza na Baraza la Katiba la Wakulima wadogo kupitia Muungano wa Vikundi Vya Wakulima (Mviwata) hivi karibuni. Kwa ufupi *.Pamoja na kwamba...
0 Reactions
1 Replies
787 Views
Ndugu wanaJF, huu ni mtazamo wangu lakini unaangalia kwa kina zaidi swala la katiba mpya ya serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania. Muungano maana yake ni kitu zaidi ya kimoja vinaungana kuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mjadala wa Katiba mpya. Yupo Kibamba, Mama Akilimali na mwongozaji Mwaipaya. Karibu. Radio One
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mjadala wa Katiba - live. Yumo Kibamba na Mama Akiliamali, wakiongozwa na Mwaipaya. Source. RADIO ONE
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MAONI JUU YA RASIMU YA KATIBA MPYA. 1. Kwa vile maoni yaliyokusanywa na tume ya katiba kutoka kwa wananchi yalikuwa mengi na yote yasingeweza kuingizwa kwenye rasimu, naomba kupendekeza...
0 Reactions
0 Replies
999 Views
Dhumuni hasa la mwenge wa Uhuru ilikuwa ni kulinda Amani ndani na nje ya mipaka yetu, Kuleta matumaini kwa watu walio kata tamaa, Upatanishi penye mfarakano, heshima pale palipojaa dharau. Pia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
WAZIRI wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amewasihi Watanzania wazuie katiba mpya isitoe rais dikteta na mwenye kutumia madaraka vibaya kwa kuinufaisha familia yake au jamaa walio karibu naye...
2 Reactions
41 Replies
5K Views
Kuwa na serikali moja ni vizuri zaidi na jambo jema kuliko serikali mbili au tatu ikiwezekana nchi igawanywe kimajimbo na zanzibar iwe kama jimbo ikiwezekana na wawe na sheria zao za kijimbo na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tume ya Uundwaji wa Katiba mpya nchini Tanzania inayoongozwa na Jaji Joseph Sinde Warioba imeshatoa Rasimu ya Katiba mpya.Ni Rasimu ya Kwanza. Bado Rasimu mbili.Moja itajadiliwa na kuidhinishwa na...
0 Reactions
3 Replies
916 Views
Amani iwe kwenu, fikiri maswali haya nawewe uanze kutafakari upya juu ya kuuboresha muungano wetu... 1. Iwapo tofasiri ya muungano ni kuungana kwa serikali 2 zenye mamlaka, ni kwa malengo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Baadhi ya wajumbe wa kikao cha baraza la katiba wilaya ya Singida wakinyanyua mikono juu kuomba nafasi ya kutoa maoni yao kuhusu uboreshaji wa uundwaji wa katiba mpya. (Picha zote na Nathaniel...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Leo ikiwa ni siku ambayo mchakato wa mabaraza ya kujadili Rasimu ya Katiba mpya unaendelea nchini, leo ni zamu ya Manispaa ya Bukoba ambapo kituo ni Rugambwa Sekondari. Chakushangaza ni hali ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu Wanajumuiya ya JF. Baada ya salamu zangu kwenu ni swali ambalo huwa najiuliza kila siku je nikweli baada ya mapinduzi ya zanzibar ya 12 JAN 1964 na 26 April 1964 TUKAPATA...
0 Reactions
1 Replies
949 Views
Katika kile kinachoonekana kutapatapa kwa CCM Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nauye amekishushia tuhuma Chama kikuu cha upinzani nchini Chadema. Akizungumza katika kongamano la katiba jana...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
- Sio siri kwamba CCM tuna nafasi kubwa sana ya Kuandika Katiba mpya kwa sababu ndicho Chama kinachokubalika sana na Wananchi wengi na ndio chama tawala chenye nafasi kubwa na Mabaraza ya katiba...
4 Reactions
40 Replies
3K Views
Na Haji Mtumwa,Zanzibar TUME ya Mabadilikoya Katiba imeshauriwa kuzipa uwezo wakumiliki Bank Kuu nchiwashirika wa Muunganowa Tanzania ili kuzifanyakuwa na uhuru wamatumizi ya kibenkiambayo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom