KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

- Toka siku ya kwanza Kamati hii ilipotoa Rasimu ya kwanza ya Katiba Mpya nilishauri Rais wa Jamhuri kuifutulia mbali hii kamati kwa sababu, imeanza pole pole ku-behave kama Institution badala ya...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nimewaona hawa makada wakiwaelekeza kiujanjaujanja Vijana wa ccm wa mkoa wa DSM kuhusu maoni ya Rasimu ya Katiba . Tusipoangalia hii Katiba itakuwa ni Katiba ya ccm badala ya Kuwa Katiba ya...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Katika kipindi cha Dakika 45 jioni hii Ndg J Ndugai kwa kweli amenikosha sana. Amesema yale ambayo wana CCM wengi wanaogopa kusema hadharani, Na amelisema suala la serikali tatu ndani ya muungano...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Nakubaliana na muundo wa muungano wa serikali tatu,kama ilivyo ainishwa kwenye rasimu ya katiba mpya lakini naomba jina la serikali ya Tanganyika na siyo serikali ya Tanzania bara na jina la...
0 Reactions
0 Replies
644 Views
Wana JF Roho inauma na mawzo kichwa tele, kuna mawingu ya giza na kujawa na magharibi ya moyo, ni hunzuni na masikitisho makubwa kuona binadamu anadhalilishwa kisaikolojia ndani ya nchi yake...
0 Reactions
2 Replies
917 Views
Kwa mshangao mkubwa leo nimeshuhudia katika taarifa ya habari channel 10 eti Wazanzibar wanapendekeza serikali mbili ziendelee. Nadhani walikuwa wanawapima Watanganyika wakidhani sisi tunahusudu...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
serikali tatu ni muhimu na muundo utakuwa hivi, Rais mmoja wa muungano, makamu wa rais 2 yaani Tanganyika na zanzibar na hivyo kufuta waziri mkuu na waziri kiongozi ambapo hao makamu 2 watakuwa...
0 Reactions
0 Replies
812 Views
Huu si muungano Bali ni dhulma za wazi kabisa upande mmoja dhidi ya upande mwingine wa muungano, kwanini tuendelee kuwadhulumu? Tusivunje muungano kila upande uendeshe mambo yake? Tumeunda tume...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Njama zimesukwa kuhakikisha kwamba mgombea wa Urais mwenye nguvu zaidi Dr Wilbroad Slaa kutokea Chadema hapati nafasi ya kugombea Urais. Wapanga mkakati huo wamepenyeza kifungu kwenye Rasimu ya...
2 Reactions
52 Replies
6K Views
Maombi yangu naomba katiba isifanyiwe siasa kama siasa zinavyofanyika kwenye mambo ya msingi sana kama vile uwaz wa serkali na kutoa maisha bora kwa kila mwanachi. Endapo katiba itafanyiwa siasa...
0 Reactions
1 Replies
814 Views
MJUMBE wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Prof. Mwesiga Baregu amewataka wajumbe wa mabaraza ya katiba kujenga hoja kuhusu muundo wa Serikali wanayoitaka badala ya kung'ang'ana wakiwalaumu wasomi kwa...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
Tume ya mabadiliko ya katiba Imetoa mapendekezo ya serikali tatu, mengi yamesemwa na yatasemwa, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ndo ulizaa Tanzania, yaan ilikuwa hivi, Tanganyika+Zanzibar...
3 Reactions
32 Replies
9K Views
Jaji Warioba Mchakato wa kujadili rasimu ya mapendekezo ya Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umechukua sura mpya baada ya baadhi ya wajumbe kueleza kuwa mfumo wa serikali tatu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa mara nyingine napenda kuungana na Watanzania wenye mapenzi MEMA kuhusu Muungano wetu kuwapongeza wajumbe wote wa tume ya kutunga katiba ya Jamhuri ya Muungano, wengi tumefurahishwa hasa katika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
"CCM yapeleka balaa mikutano yaKatiba ; Waraka wake wazua tafrani Iringa" Waraka wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa wanachama wake kushinikiza watetea matakwa ya chama hicho kwenye maoni yao katika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
CCM wanasema wanautaka muungano lakini hawataki serikali tatu, hii imekaaje?. Ninavyo jua mimi serikali mbili tayari zipo ambazo ni Zanzibar na Tanganyika ambayo imejificha, na serikali ya tatu...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni jambo la kushangaza kuona ccm kikitoa Waraka wa kuwaelekeza wanachama wake nini cha kusema na vifungu gani vya Rasimu hiyo wavikubali na vipi wavikatae. Waraka huo wa kurasa 32 hakika unabeba...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Napata shaka na hadi kufikia kuhoji integrity ya mzee Warioba. Hivi ni kweli haoni jinsi rasimu hii ilivyotekwa kichama na hasa ku-CCM kwani hata mawaziri wa CCM wanatamka wazi juu ya nini wajumbe...
0 Reactions
0 Replies
881 Views
Kwa ufupi *.Mnyika asema mjadala wa Katiba ya Tanganyika unapaswa kuanza sasa sambamba na huu wa Rasimuya Katiba ya Jamhuri ya Muungano *.Butiku asema hakuna cha kuogopakwani Zanzibar...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Siku moja nilikuwa nafundisha kuhusu Muungano wetu katika shule moja ya sekondari. Niliwafafanulia jinsi Nchi mbili za Zanzibar na Tanzania Bara zilivyoungana na kuunda nchi moja "Tanzania" yenye...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…