KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Ile Operesheni iliyotikisa nchi kwa kuhamasisha wananchi juu ya umuhimu wa katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, ambayo ishatikisa na kuamsha watu wa mikoa 24, sasa imeingia kwenye mkoa wa DSM...
7 Reactions
27 Replies
3K Views
Bofya link (picha) uangalie mameno makali kuyoka kwa Kakoe kuhusu Nyerere na Mungano na Tnganyika pamoja na Zanzibar Nyerere sio Mungu Nyerere alikuwa shughuli.........:-Kakobe
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa kadri joto la kudai katiba mpya linavyozidi ndivyo ninavyojiuliza maswali mengi sana. Maswali haya yanatokana na kwamba tulishuhudia jirani zetu Kenya walitunga katiba mpya kwa mbwembwe...
7 Reactions
82 Replies
5K Views
Kama Katiba Mpya haikuwekwa kwenye Irani ya chama chetu nashauri kwa kuwa KATIBA si Mali ya chama chochote kama nilivyosikia leo chama Fulani kinasema ni "Jambo letu na sisi ndo tume asisisi "...
2 Reactions
3 Replies
546 Views
Naelekeza hili swali kama nilivyotumiwa kwa Mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni, Ndg Godwin Gondwe. Waumini wa msikiti wa Kisumu, Magomeni mikumi wana mgogoro wa kikatiba kuwa Mkutano mkuu...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Ni ukweli usiopingika kuwa kwa hali ya siasa ilivyo kwa sasa CHADEMA wameshindwa kupata ajenda ya kuwafanya watanzania washawishike kuwa wao ni mbadala na hii ni kutokana na ukweli kwamba...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Wanasiasa wakae pembeni watuachie wananchi tudai katiba yani Viongozi wa dini Asasi za kiraia Waandishi wa habari Wakulima Wafanya biashara Wafanyakazi Machinga, boda na bajaj Nk Kila kundi...
1 Reactions
6 Replies
861 Views
Hakika rais mstaafu awamu ya 4 Jakata Kikwete atabaki katika historia ya tanzania kama baba wa demokrasia aliyethubutu kuwapatia watanzania katiba mpya licha ya ndoto yake kutokutimia kutokana na...
0 Reactions
1 Replies
633 Views
Tuseme ukweli Kenya wana moja ya Katiba Bora kabisa kwa mazingira ya Afrika. Yaani ukiangalia Mazingira ya Africa yalivyo basi hawa jamaa wana katiba nzuri sana aangalia Kesi ya BBI yao...
6 Reactions
53 Replies
3K Views
Wasalaam Wakuu!. Leo CHADEMA walikuwa na jambo lao waliloliita KATIBA DAY ambapo viongozi wao wakuu wa Chama pamoja na wanachama wao mashuhuri walihudhuria katika kongamano hilo. Suala la Katiba...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Kumbe Rais Samia alikuwa na mkutano na kundi fulani la watu! Sikufuatilia aliongea nini, kwa sababu huwa napata taabu sana kufuatilia mikutano ya Wanasiasa iwe wa chama tawala au upinzani. Hata...
9 Reactions
16 Replies
1K Views
Rais Samia amesema CAG ameshakamilisha ripoti ya CAG kuhusu Benki kuu kwa kipindi cha kuanzia January hadi March 2021 na ataikabidhi kwake siku ya Jumatano au Alhamisi. Umma utaelezwa yaliyomo...
7 Reactions
135 Replies
11K Views
Habari wanabodi! Nilikuwa nashauri kwamba kwa sasa tumpe nafasi mama akuze uchumi maana uchumi wetu kiukweli ulipo si pazuri ukilinganisha na huko nyuma tulipotoka kabla ya hili janga la uviko...
0 Reactions
11 Replies
914 Views
Nimesikia kuwa kesho ndo siku ya katiba. Sina hakika hasa ni akina nani ndo wameipanga ila nahisi ni akina mwafulani. Shughuli itafanyika hapo Segerea. Tundu Lissu atakuwa mtoa mada. Au labda...
10 Reactions
81 Replies
5K Views
Kutokana na vurugu zinazoendelea huko Eswatini baada ya wananchi kuchoka umaskini na udikteta wa mfalme Mswati aliye busy kuponda raha na vidosho inasemekana jamaa kaamua kukimbia nchi...
10 Reactions
96 Replies
11K Views
Hii nchi wote sisi ni wafungwa au mahabusu watarajiwa, tusipojiandaa kuishi vyema mahabusu tukadhani tupo salama tutaingizwa huko na patakua si sehemu salama kiafya na kimalazi kukaa. Nchi za...
6 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwasababu bado sina chama cha siasa, nataka kuwashauri viongozi wakuu wa CCM. 'Msijitenge na hoja ya katiba na kuwaachia upinzani pekee, mnafanya kosa kubwa'. Nimeangalia trend mpaka sasa huko...
12 Reactions
38 Replies
2K Views
Habari wakuu Mimi binafsi nimekuwa nikipenda namna mh Rais anaongoza nchi yetu, ana maneno ya busara ,hekima na matumaini ,ana huruma mpaka akitoa ahadi huoni namna ya kumpinga wala kuwa na...
2 Reactions
15 Replies
995 Views
Katiba mpya ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa hata chama bila katiba hakiwezi kuendelea. Katiba ya sasa ina mapungufu mengi sana. Kwanza swala la elimu halikuzingatiwa kabisa katika kuwapata...
1 Reactions
4 Replies
551 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…