KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Habari Jf kumekuwa na movement nyingi za kudai katiba mpya Tanzania mitandaoni. Naskitika kugundua kuwa watu wamekosa vitu vya kudai kabisa hadi wanaanza kulilia katiba mpya. Pengine mimi...
0 Reactions
6 Replies
883 Views
Habari Wakuu, Katika harakati za kudai Katiba Mpya kutoka kwa watawala, napendekeza moja ya mkakati ni tuwe na siku maalumu ya kitaifa kila mwaka ambapo tutaitumia siku hiyo kutoa elimu kwa umma...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwa mda mrefu mjadala wa katiba mpya umekuwa ukitumia pesa nyingi lakini masilahi ya vyama badala ya utaifa kwanza umekuwa kikwazo kupata katiba mpya. Yupo mzalendo Warioba ambaye akiongezewa...
0 Reactions
2 Replies
542 Views
Kisa kizima kinapatikana hapa 1 Wafalme 13:1-34 Kwa ufupi sana, Mfalme Yeroboamu alimtenda MUNGU dhambi, na dhambi hii ilipozidi kuwa kubwa MUNGU akamwinua Nabii MWINGINE ambaye alikwenda hadi...
12 Reactions
71 Replies
16K Views
WanaJF, Uzi nauandika nikiwa na hofu ya misleading kubwa ktk suala hili la Katiba Mpya, ni kweli Katiba Mpya ni muhimu sana kwa kuwa ya sasa ina matundu makubwa sana lakini nachosikitika...
1 Reactions
5 Replies
531 Views
Ukweli siku alipokufa nilifurahi, sikufurahia kifo chake, bali nilifurahi kwa sababu ameondoka kwenye kiti cha taifa. Nilifurahi kapisha kiti hicho kwa sababu Mimi nilimuona hakufaa kukalia kiti...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Chama kinachojibainisha kama kikuu cha upinzani kimekuwa kinalizungumzia suala la katiba kama vile bado halijashughulikiwa. CHADEMA wamekuwa wanataka wapate aina fulani ya Katiba ambayo...
1 Reactions
13 Replies
843 Views
Askofu Dkt. Benson Bagonza, Askofu Mkuu wa kanisa la KKKT Dayosisi ya Karagwe "Nampongeza mama kwa "100 kwanza". Namwombea "100 tena" zenye maono mapana zaidi" "Haki na uhuru ni misingi imara ya...
38 Reactions
110 Replies
9K Views
Mimi ni mdau ambaye natamani katiba mpya lakini sio wakati wake. Kwenye janga la Corona na baada ya kimpoteza Raisi huwezi kudakia katiba mpya maana watu watakuwa wanajadili wakiwa na matatizo...
0 Reactions
6 Replies
627 Views
Wana JF, Nimeonelea nilete mada hii ili kuonyesha namna kiongozi wetu Mkuu wa nchi Rais Jakaya Kiwete alivyo mnafiki,mwongo,kigeugeu na ndumila kuwili.Hoja yangu itazungumzia maeneo muhimu matatu...
3 Reactions
92 Replies
7K Views
SIKU mbili baada ya Ikulu kutoa taarifa ya kejeli dhidi ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, wanasiasa, wasomi, viongozi wa dini na wanaharakati wameitaka Ikulu ya...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Chonde chonde Mama Samiaa Suluu Hassan,kama hitaji la watanzania kuwa na katiba mpya hutaliona kwa sasa muda si mrefu tutaacha kukuunga mkono,hata ndani ya chama
2 Reactions
5 Replies
780 Views
Utawala uliobora ni ule utawala wa makubaliano baina ya mwanaichi na mamlaka Suala la katiba mpya nalifananisha na ujio wa chupi za watoto maarufu pampas! Zilipo ingia kwa Mara ya kwanza...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Dada yangu Rais Samia Suluhu Hassan alisema "Rais huwa hakosei". Kwa usemi huo tu tayari alikuwa kakosea maana hakuna mtu asiyekosea, hayupo na hatakuwepo! Ndio maana hata kwenye uteuzi wake...
2 Reactions
1 Replies
754 Views
Huwezi kujenga uchumi bila utawala bora na huwezi kuwa na utawala bora bila utawala wa sheria, na huwezi kuwa na utawala wa sheria kama hauheshimu haki za binadamu na uhuru wa mahakama! Na...
0 Reactions
2 Replies
637 Views
Katiba Day ni siku ambayo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeandaa kongamano la kujadili umuhimu wa kuwepo kwa Katiba Mpya itakayotokana na Raia wote, pamoja na mjadala huo pia...
30 Reactions
151 Replies
10K Views
Mama akiongea jana na wana habari alikumbusha kuwa alikuwa pale kwa maongezi zaidi wala hakupenda iwe hotuba. Mama alikuwa pale kubadilishana mawazo. Mama ni mwana diplomasia mahiri. Anajua...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni maneno yaliyonipa tafakari kubwa sana hasa wakati huu ambao kila sehemu kuna praise team kuanzia Upinzani hadi Chama Tawala ni maneno ya kufikirisha toka kwa mdau huyo akisema. "Kadiri kelele...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
She took the office in top tore Mourning the untimely departure Of her friend and predecessor But remained calm, strong and firm Hit the ground running Right from the word go She showed...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Ivi hapa mama Samia kapotea. Inaqezekanaje usisitize juu ya kufuata sheria za nchi wakati huo ukivunja katiba ya nchi kwa kuzuia shughuri za kisiasa? Ni sheria ipi inayotaka vyama vifanye...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom