KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Katika kipindi cha dakika 45 jana cha ITV Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Sinde Warioba amewaomba wananchi hasa katika mabaraza ya katiba watoe maoni mapya ya kuboresha kile kilichopo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
  • Closed
Source BBC Kwa mujibu wa taarifa ya habari bwana Nape Nnauye kasema atatoa tamko la chama juu ya rasimu ya katiba kwani wao kama chama tawala na wana wabunge wengi na wanauwezo wa kukaa kama...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Chanzo cha habari hii ni kutoka katika gazeti la Habari leo (http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/12645-makamu-wa-rais-atikisa-muungano) Makamu wa Rais wa Zanzibar bw Seif...
22 Reactions
142 Replies
10K Views
Kwanin wameamua kuja na pendekezo la serikali tatu ilihal wananch hawakuambiwa kama muundo utakuwa hv? wanataka waendelee kuandika rasimu na katiba ya Tanganyika na zanzibar! Serikali tatu ni...
0 Reactions
33 Replies
2K Views
Dodoma. Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimepinga muundo wa Muungano wa Serikali tatu unaopendekezwa katika rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba mwanzoni mwa wiki...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kamati Kuu inaipongeza Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini kwa kazi nzuri na kukamilisha kazi kwa wakati. Kamati Kuu imepokea rasimu hiyo na kuelekeza kuwa; Kwa kuwa rasimu hii ni ya kwanza...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Katika mahojiano na Idhaa ya Kiswahili ya BBC, Nape kapingana na katibu wake ambaye hapo awali alidai kuwa wanaitisha kikao cha dharura kuijadili rasimu ya katiba mpya kwa maana hawajakubaliana...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Rais anapotoa ahadi katika kipindi cha miaka 5 ya kwanza na asizitimize katika kipindi husika asiruhusiwe kugombea kipindi cha miaka 5 inayofuata! Hoja hii iingizwe kwenye Rasimu ya Katiba Mpya...
0 Reactions
4 Replies
925 Views
CCM YAONYESHA UKOMAVU YAIPELEKA RASIMU KWA WANACHAMA WAKE YAJIVUNIA IDADI KUBWA YA WANACHAMA MILIONI SITA ILIYOKUWA NAO Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imekutana jana tarehe...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Tume ya katiba wameficha ripoti na1 ambayo ilizaa rasimu. Ni vyema ripoti iwekwe wazi hasa ktk website ili tujue yaliyojili
0 Reactions
1 Replies
975 Views
Chama cha mapinduzi ccm kimedai kuwa rasimu ya katiba mpya inatakiwa itoke matoleo matatu na kuitaka tume ya kurekebisha katiba kujitokeza na kuwaeleza wananchi juu ya hilo. Wanajamvi walioisona...
0 Reactions
2 Replies
869 Views
Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru...
8 Reactions
173 Replies
10K Views
Pamoja na upole na sauti yake isiyo na makeke Rais wetu, sauti yake wakati anaadress kamati kuu inaonyesha ya unyonge sana, je ? ana hofu kuingia kwenye historia ambayo itaandika kwamba Muungano...
0 Reactions
3 Replies
915 Views
Naona watu wanahofu na serikali tatu mimi sijajiuliza sana kuhusu hilo lakini kwa nini Jaji Warioba hakupendekeza serikali moja chini ya Utawala wa Majimbo?? Zanzibar tuwe na majimbo mawili Pemba...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
11 June 2013 Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha Maalum ya CCM ‘Kamati Kuu’ kilichokutana jana usiku mjini Dodoma kwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Haiingii akilini kwamba wajumbe wa tume bado wana woga wa kutumia neno Tanganyika na wakajikuta wanalazimika kutumia neno Tanzania Bara. Huku wakijua kabisa kwamba huu muungano ni wa Tanganyika na...
0 Reactions
1 Replies
901 Views
Siku ya kwanza nilipo sikia serikali tatu ndani ya rasimu hii ya katiba, nilijiuliza juu ya uongozi wa serikali hizi tatu, (yaani maraisi watatu makamu wa raisi mawaziri wa kuu nk). Lakini pia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
‘Rasimu imechemka umri wa urais’ na Edson Kamukara MHADHIRI wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE), Dk. Kitila Mkumbo, amesema kuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, imechemka kwa...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Ndani ya rasimu hii tumeingiziwa serikali tatu yaani Ya Tanganyika,Zanzibar na ya Muungano,na mpaka sasa Zanzibar wanayo katiba yao kwa sasa tunahangaikia ya katiba ya Muungano ambayo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katiba mpya yafuta urasimu wa kutoa habari Na Salome Kitomary 11th June 2013 Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba, Jaji Joseph Warioba. Rasimu ya Katiba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…