KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

kijamii kama za afya(mawasiliano mazuri) picha na Dinna Maningo Na Fredy Azzah Posted Alhamisi,Novemba22 2012 saa 8:28 AM Kwa ufupi "Katiba ikubali kuwa waumini wachinje wanyama wao...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Najiuliza hv mdudu accountability amepotelea wapi? Serikali ilishasema payday ni tar 23 lkn kila siku tunasikia sbb za mitaani juu ya ucheleweshwaji, mara epicol mara utumbo gani sijui, kwakweli...
0 Reactions
0 Replies
886 Views
Wednesday, November 28, 2012 Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba Tanzania Mhe. Joseph Sinde Warioba, akitowa maelezo kwa Wananchi kuhusu kuchangia Katiba ya Tanzania wakati wa Mkutano...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
JOHN MNYIKA - Mbunge wa Wananchi wa Ubungo. Shime tujitokeze kutoa maoni yetu kupata Katiba Mpya Rejeeni mikutano ya hadhara na vikao mbalimbali ndani ya jimbo letu la Ubungo katika kata...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Na B. OLE, Baada ya kufuatilia kwa makini maoni na ya tume ya katiba inayoongozwa na Jaji Warioba kuhusu mchakato wa katiba mpya inayotegemewa ifikapo hapo mwaka 2014 ,nimepatwa na wasi wasi juu...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
MCHAKATO wa kutoa maoni kwa ajili ya Katiba mpya mkoani Dar es Salaam, umeanza kwa kasi ya aina yake, baada ya jana suala la ugaidi kuibuka. Katika mkutano huo, waumini wa dini ya Kiislamu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau katika hii katiba mpya naona ni vyema iwapo ibara za 108(2) na 109(1)(8)(9)(10)(11)zikasawazishwa, kana kwamba, raisi asiwe wa kuchagua principle judges wala commitee ya majaji.....either...
0 Reactions
2 Replies
930 Views
Jaji Agostino Ramadhani Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Katiba, Jaji Agostino Ramadhani akizungumzia mwelekeo wa utoaji maoni kuhusu Katiba Mpya unavyoendelea Zanzibar amekaririwa na gazeti la...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nikiwa MTZ, ninaomba katiba ijayo irejeshe nchi na serikali mikononi mwa wananchi, katiba iseme wazi namna tunavyoweza mtoa rais kwa kupitia bunge na kupitia wananchi bila kutumia nguvu au vurugu...
0 Reactions
0 Replies
803 Views
Kama kwenye katiba wataweza kupunguza serikali kujihusisha na biashara ambazo ambazo zinatakiwa kuachiwa wananchi Tanzania itaendelea sana. Sababu kubwa ya Tanzania kuwa masikini ni kwa kutokuwa...
0 Reactions
0 Replies
929 Views
MWONGOZO KUHUSU UTARATIBU WA WATANZANIA WANAOISHI UGHAIBUNI KUSHIRIKI KUTOA MAONI YAO KUHUSU UPATIKANAJI WA KATIBA MPYA _________________________ Kwa kuwa mchakato wa kupata Katiba Mpya ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa mkutano wa kuchangia maoni ya Katiba ya Tanzania, Profesa Mwesiga Baregu, akiwa na wajumbe wezake Mhe Fatma Said Ali na Mhe.Ali Saleh, wakifuatilia maoni ya Wananchi wa Shehia ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
ITV leo imemwonesha m/kiti wa Jukwaa la Katiba Bw.Deus Kibamba akidai kuwa kamwe kwa hali iliyopo hatutaipata katiba mpya 2014. Na kuwa utawala haujaliweka bayana hilo. MADHARA YAKE NI VITA IWAPO...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Kanisa katoliki katika jimbo la arusha parokia ya Roho mt ngarenaro limetoa ujumbe mzito kuhusiana na katiba mypya. Ujumbe huo umetolewa huku kukiuzwa picha za madhehebu ya dini ambazo zinaupinga...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Watanzania suala la kutunga katiba mpya ni jambo la msingi sana. Jambo la kwanza la kuangalia majukumu ya Rais kwa ujumla katika katiba hii iliyopo ni makubwa sana. Mfano wa kuteua wakuu wa...
0 Reactions
2 Replies
961 Views
Jaji Joseph Warioba Awamu ya nne, ambayo ni ya mwisho ya kukusanya maoni binafsi ya wananchi kuhusu Katiba Mpya, kunakofanywa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Profesa Shivji Mimi nilidhani kwamba kabla ya kuanza kwa mchakato wa kuunda Katiba Mpya kungekuwa na dira ya mpango wa maendeleo ili kujua tunataka Katiba ya aina gani,”alisema Profesa Shivji...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wadau eeeh,hv mnaonaje kwenye mapendekezo ya Katiba yetu hii mpya tunayoitarajia,kwa nini kusiwe na dirisha dogo la uchaguzi hasa kwa Raisi ili kuwapa nafasi wananchi kupima kama wana Haja ya...
1 Reactions
0 Replies
845 Views
Katika uchaguzi 2010 Tanzania tulishuhudia CCM wakiikimbia midahalo iliyokuwa inaendeshwa TBC na hata kuwakataza wagombea wao kushiriki. Midahalo hii ni fursa muhimu kwa wananchi na...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom