KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

m a new comer but hop iwill gate a good coparation, Ihave a simple question whats wrong, because every one in his/her contribution concerning new contitution talking about Madaraka ya rais iv its...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kusiwe na wazir mkuu mstaafu iwe kama israel.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Watanzania tutambue umuhimu wa nafasi iliyo mbele yetu ya 'UTUNGAJI WA KATIBA MPYA' katiba tuliyo nayo ni ya miaka 50 iliyopita. mawazo na mazingira ya wakiti ule mbali ya kua yalikua ya wachache...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Warioba`s commission `locking us out` - CSOs By Lusekelo Philemon 30th July 2012 The Constitution Review Commission has been criticised for monopolising everything in the...
0 Reactions
2 Replies
968 Views
Wana Jamvi ni maoni yangu tu, hivi hatuwezi kuwa na maoni ya pamoja juu ya katiba mpya? Maoni hayo tunakuwa tunayawakilisha kwenye tume sehemu mbali mbali punde inapofika. Hii itapelekea maoni...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
1. Muundo wa serikali tatu. (TANGANYIKA, ZANZIBAR NA Jamhuri Ya Muungano). 2. Mikoa na wilaya ipunguzwe na idadi iwe kwenye katiba. Iwe mitano, sita lakini isizidi kumi. 3. Wizara ziwe kwenye...
0 Reactions
0 Replies
971 Views
Monday, 18 June 2012 13:37 Nafasi ya Urais Urais ndio alama kubwa ya Muungano. Urais unashika nguvu zote za dola na kwa hivyo Mtanzania anaekuwa Rais ndiye mwenye amri ya mwisho katika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jaman kwa wale watakao bahatika kutoa maoni kwenye tume, waniwasirishie dukuduku langu kwenye tume,darasa la saba wasiruhusiwe kugombea ubunge kwenye chaguzi zijazo,kuwe na limitation kwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
TUME YA KUKUSANYA MAONI JUU YA KATIBA MPYA- DUNGA 9/7/2012 Dunga maoni leo: Walosema mfumo wa sasa wa Muungano uendelee ni 59, walotaka mfumo wa Serikali mbili huru zenye mamlaka kamili...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Bila kujali itikadi za vyama ningeomba watu wenye uchungu na uzalendo na nchi hii watutengenezee muhtasari ambao utatumika kama dira kwa watu kutoa maoni yatakayotupa katiba nzuri. Najua watu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tanga Wapendekeza Katiba Mpya ifute Muungano...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jaji Joseph Warioba Tume ya kuratibu maoni kwa ajili ya kuandika Katiba mpya inatarajia kuzindua zoezi la ukusanyaji wa maoni kutoka kwa wananchi muda wowote kuanzia sasa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna taarifa nimezipata muda huu kwa njia ya simu, kuwa CCM wameamua kuchakachua maoni ya Katiba Mpya kwa kusambaza Fomu kwa Wanachama ambao wanajua wataficha siri hasa viongozi katika matawi ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
1. Raisi aliyepita ni wa Bara, na wa sasa ni Bara, atakaekuja atatoka Bara au Visiwani? 2. Raisi wa sasa ni Muislamu, na ajaye atakuwa Muislamu kwa kuwa awamu ya tatu itakuwa ngumu kuacha kuwapa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kukutana Diamond Ijumaa Mikoa Yote Nchini Kushiriki Abas Syskes, Masheikh Kuunguruma Gazeti la LULU la leo Jumanne - 03 Januari 2012 linaripoti: Kongamano la Kitaifa la Uzinduzi wa Jukwaa la...
1 Reactions
163 Replies
18K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Col. Issa Njiku, amechakachua maoni ya wananchi wa Missenyi kwa kuanzia na kata za Kyaka na Kilimililie ambako wananchi walipaswa kutoa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani wananchi wote wenye uwezo wa kufikia na kutumia internet naomba tutoe maoni yetu kupitia mtandao wa tume ya katiba www.katiba.go.tz Ila sasa sijui watamjuaje kwa haraka kuwa mtoa maoni sio...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Isee upepo wa katiba unapita kwa kasi ya ajabu Huko nyuma niliwai kuandika kuwa ikifika muda wa kukusanya maoni TISS wataleta dude moja la kututoa kwenye reli naona wamefanikiwa kwa kiasi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimefuatllia kwa karibu sana vipindi vya midahalo ya upatikanaji wa katiba mpya TBC kutoka sehemu mbalimbali nchini, kwa sasa, na kwa kweli wananchi wanaonyesha ukomavu na ujasiri wa hali ya juu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimejitahidi kufuatilia kwa ukaribu zoezi la ukusanyaji wa maoni juu ya uandishi wa Katiba linalohitimika sasa kwa Mkoa wa Kagera. Palipo wezekana nimefika na kushiriki kwenye "uwanja wa vita" ...
7 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom